Boss Man
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 458
- 991
Wajuzi wa mambo naomba nielewesheni jambo, ni kwanini sisi tuko nyuma ya Kenya katika mambo ambayo yakufanywa na mtu Binafsi na si serikali.
Mambo ya flyover, mabarabara na Hospitals nk hayo ni mambo ya Serikali so tusiongelee huko, ila nitazungumzia mambo Binafsi ambayo mm na wewe tunaweza kuyafanya.
Tuanzie kwenye Magari, Kenya wenzetu hasa Nairobi wanamchanganyiko wa magari brands tofauti tofauti, kuanzia Benz, Mazda, Mitsubishi, Honda, Subaru. kama hizi Mercedes Benz ambazo wabongo tunaziogopa kule ndio kama IST Sasa Kila Kona zimezagaa.
Na hata kwa hizi Toyota wao machaguo yao ni tofauti na sisi au sijui niseme wao wapo mbele ya muda au ni sisi ndio tupo nyuma ya muda, hizi Toyota IST ambazo huku ndio zinatamba wao walizitumia miaka mitano nyuma, huwezi kukuta IST namba D Kenya, Barabarani zipo chache sana ambazo ni namba B.
(Kwa wale wasiofahamu)....namba plate za Kenya na zetu Tz zinautofauti kidogo japokuwa wote tupo namba D lakini D yetu ipo mwishoni wao ndio kumekucha, mara ya mwisho nipo kule mwezi may namba yao ya mwisho ilikuwa inasoma KDH nadhani Sasa hivi watakuwa kwenye KDJ (not sure) sisi tupo DZQ.
Ukiachana na magari kitu kingine ambacho sio lazima serikali itufanyie au ituambie, ni kwann Bongo hakuna Supermarkets za kutosha? Watu watasema Wabongo hawana utamaduni wa kufanya manunuzi Supermarket lakini pengine ni labda tu hazipo za kutosha, Wenzetu Kenya Supermarkets hadi uswahilini, yaani Uswazi haswa zaidi ya Tandale lakini utakuta Supermarket, lakini Bongo Sasa Supermarket utazikuta town tu na ushuani tena hata Ushuani kwenyewe ni Mini supermarket.
Hata makazi ya kuishi wenzetu wao kuishi kwenye Apartments ni japo la kawaida lakini huku kwetu wanaoishi kwenye Apartments ni Wahindi hapo Kariakoo na Upanga, wabongo ni wakuhesabu.
Hivi ni kwanini tupo nyuma hivyo ndugu zangu, Yani tupo nyuma kweli kweli sababu hayo ni machache tu na siwezi kuongelea mambo yote hapa Uzi hautaisha.
Mambo ya flyover, mabarabara na Hospitals nk hayo ni mambo ya Serikali so tusiongelee huko, ila nitazungumzia mambo Binafsi ambayo mm na wewe tunaweza kuyafanya.
Tuanzie kwenye Magari, Kenya wenzetu hasa Nairobi wanamchanganyiko wa magari brands tofauti tofauti, kuanzia Benz, Mazda, Mitsubishi, Honda, Subaru. kama hizi Mercedes Benz ambazo wabongo tunaziogopa kule ndio kama IST Sasa Kila Kona zimezagaa.
Na hata kwa hizi Toyota wao machaguo yao ni tofauti na sisi au sijui niseme wao wapo mbele ya muda au ni sisi ndio tupo nyuma ya muda, hizi Toyota IST ambazo huku ndio zinatamba wao walizitumia miaka mitano nyuma, huwezi kukuta IST namba D Kenya, Barabarani zipo chache sana ambazo ni namba B.
(Kwa wale wasiofahamu)....namba plate za Kenya na zetu Tz zinautofauti kidogo japokuwa wote tupo namba D lakini D yetu ipo mwishoni wao ndio kumekucha, mara ya mwisho nipo kule mwezi may namba yao ya mwisho ilikuwa inasoma KDH nadhani Sasa hivi watakuwa kwenye KDJ (not sure) sisi tupo DZQ.
Ukiachana na magari kitu kingine ambacho sio lazima serikali itufanyie au ituambie, ni kwann Bongo hakuna Supermarkets za kutosha? Watu watasema Wabongo hawana utamaduni wa kufanya manunuzi Supermarket lakini pengine ni labda tu hazipo za kutosha, Wenzetu Kenya Supermarkets hadi uswahilini, yaani Uswazi haswa zaidi ya Tandale lakini utakuta Supermarket, lakini Bongo Sasa Supermarket utazikuta town tu na ushuani tena hata Ushuani kwenyewe ni Mini supermarket.
Hata makazi ya kuishi wenzetu wao kuishi kwenye Apartments ni japo la kawaida lakini huku kwetu wanaoishi kwenye Apartments ni Wahindi hapo Kariakoo na Upanga, wabongo ni wakuhesabu.
Hivi ni kwanini tupo nyuma hivyo ndugu zangu, Yani tupo nyuma kweli kweli sababu hayo ni machache tu na siwezi kuongelea mambo yote hapa Uzi hautaisha.