SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Wiki iliyopita Wabunge wa Bunge la Tanzania walichanga michango ya rambirambi na kumpa mwenzao aliyekuwa anaiba mume wa mtu na kusababisha matatizo makubwa kwa familia hiyo ikiwemo kutishia ndoa kuvunjika.
Catherine Magige alikuwa ni mwizi wa mume halali wa Aziza Msuya hivyo Bunge likiwa kama chombo cha kutunga Sheria kuwalinda Wananchi ilibidi lipinge vikali mwenzao kuvunja Sheria kwa kuiba mume halali wa mwanamke mwingine na hatimaye kutaka kunyang'anya shughuli ya mazishi.
BUNGE HILI NI LA AJABU SANA. LIACHE KULINDA WATU WAOVU. SISI WANANCHI TUMESIKITISHWA SANA KUONA BUNGE LINATOA RAMBIRAMBI KWA MDANGAJI.
Catherine Magige alikuwa ni mwizi wa mume halali wa Aziza Msuya hivyo Bunge likiwa kama chombo cha kutunga Sheria kuwalinda Wananchi ilibidi lipinge vikali mwenzao kuvunja Sheria kwa kuiba mume halali wa mwanamke mwingine na hatimaye kutaka kunyang'anya shughuli ya mazishi.
BUNGE HILI NI LA AJABU SANA. LIACHE KULINDA WATU WAOVU. SISI WANANCHI TUMESIKITISHWA SANA KUONA BUNGE LINATOA RAMBIRAMBI KWA MDANGAJI.