Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,985
- 144,312
Niwaambie tu, hawa CCM na serikali yao, japo kwa sasa wanaonekana kugawanyika, ila ukweli ni kwamba wote ni wale wale tu (wapigaji), hivyo msitarajie jipya kutoka kwao zaidi ya maigizo ya kuwahadaa kwa muda na kisha waendelee kulindana.
Ripoti za CAG tangu enzi za Kikwete ni madudu matupu, na kwakuwa hakuna hatua serious zinazochukuliwa, ndio maana madudu haya yanaendelea kujirudia kama yalivyojirudia safari hii na kama yatavyojirudia mwakani.
Zinabadilika tawala tu ila ukweli shehe ni yule yule isopokuwa kanzu ndio mpya- chama kile kile na watu ni wale wale na tabia na hulka zao ni zile zile.
Hata yule bosi wa Bandari aliesimamishwa kazi, mwisho wa siku atahamishiwa na kupangiwa kazi nyingine, au hata kurudishwa kwenye nafasi yake.
Mjue tu hawa watu wameshatuona sisi ni vilaza na wajinga tulioshindwa kuungana na kuwa kitu kimoja kuwataka wote wajiuzulu tutafute watu au chama kingine kuongoza hii nchi.
Kwahiyo, kwa sasa wanasubiri tupoe baada ya hizi kelele zinazoendelea kwani wanajua kelele zetu hizi ni maji ya moto ambayo mwisho wa siku ni lazima yatapoa tu.
Huko CCM hakuna wa kumfunga paka kengele kwani wote ni wale wale, na kama unabisha, jiulize ni nani au ni wangapi wamewahi kwenda jela kutokana na ripoti za CAG tangu enzi za Kikwete na hata Magufuli.
Tumekuwa tukitumia nguvu kubwa ku-deal na matokeo badala ya chanzo cha matatizo halafu tunatarajia mambo yatabadilika( insanity)!
Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results- Albert Einstein.
Wazee wa pamba za mabakamabaka mtusaidie kwa kufanya kinachohitajika vinginevyo nchi hii itabaki mifupa mitupu tu
Poleni wadanganyika.
Ripoti za CAG tangu enzi za Kikwete ni madudu matupu, na kwakuwa hakuna hatua serious zinazochukuliwa, ndio maana madudu haya yanaendelea kujirudia kama yalivyojirudia safari hii na kama yatavyojirudia mwakani.
Zinabadilika tawala tu ila ukweli shehe ni yule yule isopokuwa kanzu ndio mpya- chama kile kile na watu ni wale wale na tabia na hulka zao ni zile zile.
Hata yule bosi wa Bandari aliesimamishwa kazi, mwisho wa siku atahamishiwa na kupangiwa kazi nyingine, au hata kurudishwa kwenye nafasi yake.
Mjue tu hawa watu wameshatuona sisi ni vilaza na wajinga tulioshindwa kuungana na kuwa kitu kimoja kuwataka wote wajiuzulu tutafute watu au chama kingine kuongoza hii nchi.
Kwahiyo, kwa sasa wanasubiri tupoe baada ya hizi kelele zinazoendelea kwani wanajua kelele zetu hizi ni maji ya moto ambayo mwisho wa siku ni lazima yatapoa tu.
Huko CCM hakuna wa kumfunga paka kengele kwani wote ni wale wale, na kama unabisha, jiulize ni nani au ni wangapi wamewahi kwenda jela kutokana na ripoti za CAG tangu enzi za Kikwete na hata Magufuli.
Tumekuwa tukitumia nguvu kubwa ku-deal na matokeo badala ya chanzo cha matatizo halafu tunatarajia mambo yatabadilika( insanity)!
Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results- Albert Einstein.
Wazee wa pamba za mabakamabaka mtusaidie kwa kufanya kinachohitajika vinginevyo nchi hii itabaki mifupa mitupu tu
Poleni wadanganyika.