Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,199
- 4,670
Wengi mnadhani matatizo ya Syria yanatokana na sababu za Maslahi ya Kiuchumi na Kisiasa
Ni Kweli kabisa hizo ndizo sababu za msingi kwa mujibu wa uchambuzi wa Wasomi wetu!
Hata hivyo tambueni Kuwa zipo sababu nyingine za msingi zisizotajwa sana lakini ni za msingi na zinazopelekea Ndugu zetu hao kuishi Kwenye shida!
Wahenga wa Kiroho walishatabiri miaka mingi sana
Edomu alilaaniwa!
•Je! Esau siye ndugu yake Yakobo? Asema Bwana; ila nimempenda Yakobo;
bali Esau nimemchukia na kuifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa nyikani.
•Ijapokuwa Edomu asema, tumepondwa-pondwa, lakini tutarudi na kupajenga mahali palipoachwa hali ya ukiwa; Bwana wa majeshi asema hivi, Wao watajenga, bali mimi nitaangusha•
Karibuni tujadili
Ni Kweli kabisa hizo ndizo sababu za msingi kwa mujibu wa uchambuzi wa Wasomi wetu!
Hata hivyo tambueni Kuwa zipo sababu nyingine za msingi zisizotajwa sana lakini ni za msingi na zinazopelekea Ndugu zetu hao kuishi Kwenye shida!
Wahenga wa Kiroho walishatabiri miaka mingi sana
Edomu alilaaniwa!
•Je! Esau siye ndugu yake Yakobo? Asema Bwana; ila nimempenda Yakobo;
bali Esau nimemchukia na kuifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa nyikani.
•Ijapokuwa Edomu asema, tumepondwa-pondwa, lakini tutarudi na kupajenga mahali palipoachwa hali ya ukiwa; Bwana wa majeshi asema hivi, Wao watajenga, bali mimi nitaangusha•
Karibuni tujadili