Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,175
- 22,573
Huu ni ukweli, ukweli utakaowaumiza wengi mliopo na mnaotarajia kuwepo kwenye ndoa.
Ndoa za sasa asilimia kubwa zinaishi kimwili tu na kiroho zilishakufa zamani. Mlikubali kuwa mwili mmoja kanisani. Na roho moja iishi kati yenu
Lakini sasa mnaishi kimwili tu ,roho kila mmoja kaihamisha kwa MTU mwingine. Mwanaume kaihamisha roho yake kwa mwajuma. Mkewe kahamisha kwa chidi boda boda.
Hata mkisema muachane unakuta tayari mna watoto na watapata tabu tu ya bure kulelewa na wazazi wa kambo. Unaona bora muishi hivyo kimwili ni wanandoa ,kiroho mlikwishatengana miaka mitano nyuma. Kila mmoja anaitafuta furaha nje ya ndoa kwengineko apate tulizo.
Funzo: Ukimnunulia mchepuko deli la ice cream, mkeo mletee fridge.
Ndoa za sasa asilimia kubwa zinaishi kimwili tu na kiroho zilishakufa zamani. Mlikubali kuwa mwili mmoja kanisani. Na roho moja iishi kati yenu
Lakini sasa mnaishi kimwili tu ,roho kila mmoja kaihamisha kwa MTU mwingine. Mwanaume kaihamisha roho yake kwa mwajuma. Mkewe kahamisha kwa chidi boda boda.
Hata mkisema muachane unakuta tayari mna watoto na watapata tabu tu ya bure kulelewa na wazazi wa kambo. Unaona bora muishi hivyo kimwili ni wanandoa ,kiroho mlikwishatengana miaka mitano nyuma. Kila mmoja anaitafuta furaha nje ya ndoa kwengineko apate tulizo.
Funzo: Ukimnunulia mchepuko deli la ice cream, mkeo mletee fridge.