Ukweli mchungu: Ndoa za sasa zinaishi kimwili wakati kiroho zilishakufa

Liko tatizo moja kubwa hapa. Ndoa ya kweli ni ipi hasa? Mwanaadamu ameuacha msingi wa ndoa tangu kuumbwa ulimwengu na kujifanyia utaratibu wake. Hata yanayojiita makanisa hivi leo yameanguka kwenye mtego huo pia.


Iko amri moja kuu inayosimamia maisha ya mwanadamu hapa duniani:

Mathayo 22
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³⁷ Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
³⁸ Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
³⁹ Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
⁴⁰ Katika amri hizi mbili hutegemea torati yote na manabii.


Sasa mtu anaoa ama kuolewa na mtu ambaye amempenda yeye kuliko kumpenda Mungu, halafu wanajidanganya wamefanana. Huu ujinga unaenezwa mpaka kwenye majumba ya ibada. Ndoa ya kweli ya kati ya wenza wanaompenda Mungu zaidi ya chochote, kwamba hakuna anayeweza kubadili msimamo wa mwingine kuhusu mungutkusudi tu wafunge ndoa. Umegundya kwamba tangu awali ndoa nyingi ni FAKE!?

Ndoa ni tendo la rohoni, kuoana kwa sababu ya sifa za nje pekee ni kumkana aliyeanzisha ndoa. Mke aliye na hofu ya Mungu, anawezaje kuruhusu mawazo ya uzinzi yatawale mwili wake? Ndiyo ilivyo kwa mume pia.

Matthew 22 (KJV)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³⁷ Jesus said unto him, Thou shalt love the Lord thy God with all thy heart, and with all thy soul, and with all thy mind.


Mpende Mungu wako kwa vitu vitatu:
1. Heart
2. Soul (nafsi - sio roho kama ilivyotafsiri Kiswahili)
3. Mind

Hii ni amri ya kiroho, sio kwa jinsi ya mwili kama Mungu alivyo Roho. Inalenga kujenga mahusiano yetu na Mungu. Ndio maana haiongelei kumpenda KWA MWILI WAKO WOTE. Maeneo hayo matatu yakiwa chini ya mamlaka ya Mungu nani awezaye kukushawishi utende zinaa? Akutongozaye amtongoza Mungu, si wewe!!

³⁸ This is the first and great commandment.
³⁹ And the second is like unto it, Thou shalt love thy neighbour as thyself.
⁴⁰ On these two commandments hang all the law and the prophets.


Amri ya pili ni kujenga mahusiano yetu na wanadamu TUNAOWAONA KWA MWILI. Ni ya jinsi ya mwili:

Mpende jirani yako kama WEWE MWENYEWE UNAJIVYOJIPENDA! Hii inajenga mahusiano na wanadamu wenzetu. Sasa kama mke au mume naye ni mwanadamu basi anaangukia kwenye amri hiyo. Wako watu wajinga kweli kweli ambao wamebadili amri hii na sasa wanapenda wake zao ama wayme zao kuliko Mungu kiasi cha kuwakabidhi mioyo yao.

Ndipo sasa tunakuja kwenye NDOA YA KWELI. Mume anampenda Mungu kuliko mke na mke naye anampenda Mungu kuliko mume. Wote wawili wana hogu ya Mungu, wanaishi katika neno lake. Wajapoooana wanaunganishwa na mapenzi yao kwa Mungu, sio hips wala upuuzi mwingine. Hapa ndipo tunaweza kusema, ALICHOKIUNGANISHA MUNGU, MWANADAMU ASIKITENGANISHE!! Ndipo immeandikwa mke bora atoka kwa Bwana na ni heri kume ampataye mwanamke huyo. Matamko na maagano ya madhabahuni sio kusudio la Mungu, huo ni mpango wa wanadamu tu kama ilivyo madhehebu na uchafuzi mwingine wa aina hiyo.

Study the word of God to be approved.

Amen
Mkuu umenena Kweli tupu... Kwa wengine hapa Kuna kitu tumejifunza
 
Been in marriage for years. I'm not talking out of nowhere mkuu. I've already addressed the issue of love in my first post. You shall only love the Lord your God with all your heart, soul, etc. No creature deserves this kind of love, unless one is mentally impared.

Now when love is directed whole heartedly to God, the two will be joined by His love to become one. With such love there is no external force that can bring down the marriage. But if the love is built upon how one looks and the like, following physical characteristics, failure is imminent. It becomes the matter of time.

People change with time, but God never changes.
Totally taken & digested
 
Nafikiri watu wanaowa au kuolewa kwa kutimiza wajibu. Lakini commitment ya kwamba yupo kwenye ndoa haipo. Na ndio maana kuna kitu kimechukua nafasi kubwa kati ya wanandoa. ( Uchepukajinism). Laiti wanandoa wangezingatia wajibu wao ndani ya ndoa, ndoa nyingi zingekuwa hai kiroho.
 
Then, kama kweli unaweza kuishi maisha yako yote bila sex, ni heri usiingie kwenye ndoa LAKINI KWA AJILI YA BWANA. Imeruhusiwa hivyo, tena utakuwa na nguvu kubwa sana za kiroho, Mungu mwenyewe atsjaxa hiyo vacuum iliyoachwa na mume.

Pia unakosea sana unapojifunza KUPITIA WATU WENGINE. Utajifunza nini kupitia wahalifu? The only source of revelation ni Kristo, sio wanadamu. Badili chanzo cha maarifa yako nawe utapata ndoa njema. Ukijifunza kwa wanadamu utapata yaliyo ya wanadamu, lakini ukijifunza kwa Mungu, utapata hekima yake.

Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa.
Naam.
 
Unaweza ukaamka asubuhi, unamuangalia wife kwa nguvu kisogoni, anakuambia mbona unaniangalia kwa dharau......... Kumbe unajaribu kuchunguza kama ana ubongo au la........

Ivi wanawake wana ubongo????.......samahani lakini
Dah🙌🏽😅
 
Back
Top Bottom