Miss Bunyeta
Member
- Feb 22, 2015
- 70
- 14
Watoto ni mungu anayepanga..mimi na mama gaude wangu miaka 9 ndoa ndoano hakuna wAtoto wala nini na mahaba moto moto mwanzo kati mwisho..kwanza mitoto inasumbua tu kuja kuanza kuvunja simu zangu buree.aaagh
nimecheka hadi basi utafkr mazuri kha