The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Wakuu salama
Kuna ukweli watu hatutaki kuusema, ndoa bila kuwa na watoto sio ndoa hiyo. Watu wanahangaika usiku na mchana kutafuta watoto ili tu kunusuru ndoa isivunjike.
Wanaume na wanawake ni vema kwanza kabla hamjaanza maandalizi ya ndoa muhakishe mna hata mtoto mmoja.
raha ya ndoa uwe na watoto, kama ujana wako uliuchezea kwa kuchoropoa mimba hovyo hovyo sasa ndio utakuja kuikumbuka.
Wanaume tasa wapo ila mara nyingi wao utasa wao ni wa kibiological kuliko wanawake ambao wao utasa wao mara nyungi ni wa kutengenezwa.
Kuna ukweli watu hatutaki kuusema, ndoa bila kuwa na watoto sio ndoa hiyo. Watu wanahangaika usiku na mchana kutafuta watoto ili tu kunusuru ndoa isivunjike.
Wanaume na wanawake ni vema kwanza kabla hamjaanza maandalizi ya ndoa muhakishe mna hata mtoto mmoja.
raha ya ndoa uwe na watoto, kama ujana wako uliuchezea kwa kuchoropoa mimba hovyo hovyo sasa ndio utakuja kuikumbuka.
Wanaume tasa wapo ila mara nyingi wao utasa wao ni wa kibiological kuliko wanawake ambao wao utasa wao mara nyungi ni wa kutengenezwa.