Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
Hii elimu ya hisa fans wa simba hawana kabisa! Ukisoma comments zao utasikia sisi tunachotaka ni ushindi tu
Na pia kumtetea huyo Moo! Ukitaka wakutukane na kukukejeli, basi wewe mguse tu Moo uone!!Hii elimu ya hisa fans wa simba hawana kabisa! Ukisoma comments zao utasikia sisi tunachotaka ni ushindi tu
watanzania ni watu wa ajabu sana aisee, nakupa hii, liverpool ilinunuliwa kwa £300M mwaka 2010,...... hivi karibuni kuna watu wamebid £3b (yani hapo ndani ya miaka 10 tu toka inunuliwe na Henry),.....Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao.
Tumekuwa tukifuatilia mijadala mingi inayohusu mkataba wa mabadiliko ya Klabu hizi mbili kongwe Tanzania bi maana Simba na Yanga. Mijadala ilianza muda mpaka tumefika pahali mabapo tunaenda pazuri. Hongera kwa Simba kwani wameenda haraka sana. Lakini pia niwapongeze wanayanga kwa kulifanya jambo hili polepole na kwa Umakini sana.
Wakati huu ambao wanasimba ni kama wako hatua za mwisho za kuhitimisha jambo lao kuna maswali kadahaa yameanza kutrend mitandaoni na mabarazani hasa baada ya watani zao wa jadi kuingia mkataba na kampuni ya Azam. Kiuhalisia mjadala mkubwa ni thamani halisi ya klabu ya Simba , lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal . Ugumu wa hili suala ni kama vile Siasa zetu za vyama vingi hapa nchini kwamba kila mmoja anaona upande wake uko sawa lakini hakuna anayetaka kubase kwenye fACTS HALISI.
Bila kusema valuation ya Simba SC imefanyikaje, wapi na ni taasisi gani zimefanya hiyo Valuation nakwenda moja kwa moja kwenye thamani iliyopatikana ambapo imegawanywa kwenye vipande 100 kama shares (100%). Mohammed Dewji "Mo" yeye amewekeza hapo na kuchukua 49% yote ambayo mwekezaji anatakiwa kuichukua kwa Shilingi Bilioni 20 za kitanzania. Kiuhalisia wengine wanapinga kuwa sehemu ya Simba haijanunuliwa lakini ukweli nikwamba takribani nusu ya klabu ya Simba imenunuliwa na "Mohammed Dewji" na wanachama wamebaki na nusu iliyobaki.
HII INATHIBITISHWA HAPA:
"A stock is an investment. When you purchase a company's stock, you're purchasing a small piece of that company, called a share.
Investors purchase stocks in companies they think will go up in value. If that happens, the company's stock increases in value as well. The stock can then be sold for a profit.
Definition: What are stocks?
Stocks are securities that represent an ownership share in a company. For companies, issuing stock is a way to raise money to grow and invest in their business. For investors, stocks are a way to grow their money and outpace inflation over time.
When you own stock in a company, you are called a shareholder because you share in the company's profits."
Kwa hiyo tukubaliane kuwa takribani nusu ya Klabu ya Simba imeuzwa. Swali vipi thamani ya Simba: Hii ni Hesabu nyepesi ya 51% iliyobaki ukijumlisha na ile ile ya 49% utapata Bilioni 40.8 kwa Brand, Assets na klabu yote kwa ujumla.
Kinachogonga vichwa sasa ni ukweli huu mchungu kukubalika sasa na isiwe baadae ambapo utaleta mgogoro ikitokea kuna mgongano wa Maslahi kati ya Wanachama na Mwenye 49%.
Yanga wameingia Mkataba wa miaka 10 wa Shilingi Bilioni 41 pamoja na VAT .Kwa ajili ya Televisheni yake tu "Yanga TV" . Yaani huu Mkataba hauhusu Mambo mengine ya Klabu.
Kwa akili za viongozi wetu kufanana, huu mkataba wa Simba na Mo utaakisi mktaba ambao Yanga wanaweza kuingia na Mwekezaji wake atakayekuja. Wanaweza kufanya kuiga wa Simba halafu waweke Value kubwa kidogo ili waseme wamewazidi wenzao lakini pia nao Thamani halisi ya Yanga itakuwa haijatizamwa. Nao wanapaswa kuwa makini sana. Ni heri hii mikataba iwe na ukomo ili kuziba makosa yatakayofanyika.
Upumbavu unapokuja Sasa mkereketwa wa Simba bila kufikiria mwaka 2035 timu itakuwa na hali gani wakati 20B zimeisha na Mo & Family wakiendelea kula matunda ya 49% ya Klabu kwa uwekezaji mdogo sana. Huyuhuyu Mkereketwa atakwambia Simba ina thamani kubwa kuliko Yanga, Nami nakubaliana naye kuwa Simba ina thamani kubwa sana kuliko Klabu yeyote si Tanzania tu balia Afrika Mashariki. Lakini hii thamni Mbona haijaheshimiwa wakati wa kuuza Nusu ya hii klabu. Mbona imeuzwa kwa hela ya Mboga?. Bilioni 40 kumiliki klabu kubwa Tanzania kama Simba , assure you kuwa ni Ndogo sana. Maana wengi sana wangeweza kumiliki hizi timu zenye uwekezaji wa Miaka zaidi ya 60 huko nyuma.
Kutokana na Mkataba wa Yanga Tv na Azam tena ni wa miaka 10 tu kuwa mkubwa zaidi ya Simba, huu ni ukweli mchungu kuwa Thamani ya ya Yanga TV ni kubwa kuliko Simba na inaweza pia kuweka kwenye Rekodi za Kibiashara kuwa Yanga ina thamani kubwa kuliko Simba kwa sasa kwani kama Tv yao tu imewaingizia hicho kiasi, vip kuhusu klabu?, pia vipi kuhusu mkataba wa Tv ukiisha? Maana wanaweza kuongeza tena mwingine wenye thamani zaidi.
Tutakazania kufurahia kwenye Mataji na current form ya klabu. Tukumbuke form siyo Parmanent, Ndo maana Recently Chelsea FC amechukua makombe kadhaa kuliko Man Utd lakini Thamani ya Man utd ni kubwa kuliko Chelsea based on Market value. Tukubali kuwa hii dili ya Simba imekosewa Sana. Ni heri ingepelekwa kwa namna yeyote ile kwnye soko la hisa kwa bei ya juu.
Ni jambo la furaha sana upande Mashabiki lakini vikombe na ushindi havidefine hali ya uchumi ya klabu kwa ukanda wetu huu. Lakin hatujui pia huo upande wa furaha ya vikombe miaka 3 ijayo watani nao watakuwa na Nguvu gani kwenye vikombe. Tusiwabeze kwani wanaonekana wanaboresha kikosi kila uchwao na ndani ya miaka hii mitatu watakuwa na ushindani mgumu sana na SIMBA. Na wanaweza pia kutakeover ufalme wa soka. Furaha ya ushindi itaondoka, itakuja hali ya kiuchumi ya klabu na kibiashara sasa, Hapo ndo failure itaonekana kuwa Thamani halisi ya Simba SC haikuheshimiwa.
Mashabiki na wapenzi wataanza movement zao. This time haitakuwa kumvua mwenyewkiti madaraka bali kuvunja mkataba wa kisheria. Ngumu sana Time will tell
Kazi na iendelee!
Unataka kusemaje?watanzania ni watu wa ajabu sana aisee, nakupa hii, liverpool ilinunuliwa kwa £300M mwaka 2010,...... hivi karibuni kuna watu wamebid £3b (yani hapo ndani ya miaka 10 tu toka inunuliwe na Henry),.....
nakupa nyingine hii, Azam tv wametoa mkataba wa miaka 10 (tshs 225b) kuonesha ligi kuu ya tanzania, lakini mtu akitaka kununua Azam tv mwaka huu, atanunua for less than tsh 300b.......!!
watanzania ndio mana biashara hatuwezi, tunachanganya thamani halisi ya bidhaa na thamani ya mikataba
Kwani GSM wanamiliki % ngapi ya hisa za Yanga?Kwenye hizo pesa zilizowekwa Yanga kwa mkataba wa haki ya matangazo,unajua GSM wanalamba ngapi?
Thamani ya Simba inatokana na wao kufika Robo Fainali au kutokana na assets zake?!Kumbuka Fatma Dewj ana hisa Yanga kama mwanachana..
So familia ya Dewj inamiliki zaidi ya 50% ya hisa za Simba. Pia thamani yaSimba ni zaidi ya Bil 20 alizoweka Mo kwa sababu wakati Mo alitaka kuweka hizo hela Simba hukufika hata robo final ya club bingwa
Hoja yako ingekuwa na mantiki kama hiyo 38 Billion ingekuwa ni mauzo ya hisa za club but blaza, hizo ni za mauzo ya haki ya maudhui tu!!Na kinachonishangaza ni pale mtu anaposhangilia 38bn inayotoka kidogo kidogo na kidharau 20bn iliyotoka Cash.Hivi huyu mwenye 20bn akiiwekeza baada ya hiyo 10yrs itakuwaje? Hili Utopolo hawalifikirii kabisa.
Azam alitaka kuweka ngapi kisha akawagomea?!Asante MO kuwagomea Azam,kama wanataka waweke pesa ya kueleweka.Next ni Sportpesa,naona na wao wakipewa masharti mazito,hakuna cha usawa hapa wa Simba na Yanga.Kila mtu atavuna alichopanda.
Hii elimu ya hisa fans wa simba hawana kabisa! Ukisoma comments zao utasikia sisi tunachotaka ni ushindi tu
Hoja yako ingekuwa na mantiki kama hiyo 38 Billion ingekuwa ni mauzo ya hisa za club but blaza, hizo ni za mauzo ya haki ya maudhui tu!!
And guess what... kama Yanga akitaka mpunga wa mara moja, anaweza kwenda benki na kuchukua hata 30 Billion kama 10 years loan itakayokuwa financed na hizo hizo pesa unazosema zinatoka kidogo dogo!
Ni namna tu ya kucheza na financial management!
Azam alitaka kuweka ngapi kisha akawagomea?!
Kama kweli aliwagomea, ulishawahi kujiuliza kwamba inawezekana aliwagomea kwa sababu alikuwa hajaingiza mpunga wake Simba, na kwahiyo alikuwa na hofu angeonekana hana chake kwenye huo mpunga wa Azam?
Hivi una habari kwamba hatimae Mo ni officially mmiliki wa 49% ya Simba?
Hivi una habari hivi sasa Azam akiingiza mzigo Simba unaweza kufanya thamani ya Simba ikaongezeka?
Hivi una habari thamani ya Simba (Market Value) ikiongezeka kutokana na mpunga wa Azam, maana yake na thamani ya 49% ya hisa za Mwamedi nayo inaongezeka?
Guys...
Kusoma neno "crocodile" ukutani, hamjui, kwani picha ya mamba hamuioni?
Ukiulizwa "what's that?" Achana na neno crocodile,we jibu tu "that's mamba"... simple like that!!!
In short, mmepigwa....
Na wewe familia yako inajivunia kua na kijana msomi,Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao.
Tumekuwa tukifuatilia mijadala mingi inayohusu mkataba wa mabadiliko ya Klabu hizi mbili kongwe Tanzania bi maana Simba na Yanga. Mijadala ilianza muda mpaka tumefika pahali mabapo tunaenda pazuri. Hongera kwa Simba kwani wameenda haraka sana. Lakini pia niwapongeze wanayanga kwa kulifanya jambo hili polepole na kwa Umakini sana.
Wakati huu ambao wanasimba ni kama wako hatua za mwisho za kuhitimisha jambo lao kuna maswali kadahaa yameanza kutrend mitandaoni na mabarazani hasa baada ya watani zao wa jadi kuingia mkataba na kampuni ya Azam. Kiuhalisia mjadala mkubwa ni thamani halisi ya klabu ya Simba , lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal . Ugumu wa hili suala ni kama vile Siasa zetu za vyama vingi hapa nchini kwamba kila mmoja anaona upande wake uko sawa lakini hakuna anayetaka kubase kwenye fACTS HALISI.
Bila kusema valuation ya Simba SC imefanyikaje, wapi na ni taasisi gani zimefanya hiyo Valuation nakwenda moja kwa moja kwenye thamani iliyopatikana ambapo imegawanywa kwenye vipande 100 kama shares (100%). Mohammed Dewji "Mo" yeye amewekeza hapo na kuchukua 49% yote ambayo mwekezaji anatakiwa kuichukua kwa Shilingi Bilioni 20 za kitanzania. Kiuhalisia wengine wanapinga kuwa sehemu ya Simba haijanunuliwa lakini ukweli nikwamba takribani nusu ya klabu ya Simba imenunuliwa na "Mohammed Dewji" na wanachama wamebaki na nusu iliyobaki.
HII INATHIBITISHWA HAPA:
"A stock is an investment. When you purchase a company's stock, you're purchasing a small piece of that company, called a share.
Investors purchase stocks in companies they think will go up in value. If that happens, the company's stock increases in value as well. The stock can then be sold for a profit.
Definition: What are stocks?
Stocks are securities that represent an ownership share in a company. For companies, issuing stock is a way to raise money to grow and invest in their business. For investors, stocks are a way to grow their money and outpace inflation over time.
When you own stock in a company, you are called a shareholder because you share in the company's profits."
Kwa hiyo tukubaliane kuwa takribani nusu ya Klabu ya Simba imeuzwa. Swali vipi thamani ya Simba: Hii ni Hesabu nyepesi ya 51% iliyobaki ukijumlisha na ile ile ya 49% utapata Bilioni 40.8 kwa Brand, Assets na klabu yote kwa ujumla.
Kinachogonga vichwa sasa ni ukweli huu mchungu kukubalika sasa na isiwe baadae ambapo utaleta mgogoro ikitokea kuna mgongano wa Maslahi kati ya Wanachama na Mwenye 49%.
Yanga wameingia Mkataba wa miaka 10 wa Shilingi Bilioni 41 pamoja na VAT .Kwa ajili ya Televisheni yake tu "Yanga TV" . Yaani huu Mkataba hauhusu Mambo mengine ya Klabu.
Kwa akili za viongozi wetu kufanana, huu mkataba wa Simba na Mo utaakisi mktaba ambao Yanga wanaweza kuingia na Mwekezaji wake atakayekuja. Wanaweza kufanya kuiga wa Simba halafu waweke Value kubwa kidogo ili waseme wamewazidi wenzao lakini pia nao Thamani halisi ya Yanga itakuwa haijatizamwa. Nao wanapaswa kuwa makini sana. Ni heri hii mikataba iwe na ukomo ili kuziba makosa yatakayofanyika.
Upumbavu unapokuja Sasa mkereketwa wa Simba bila kufikiria mwaka 2035 timu itakuwa na hali gani wakati 20B zimeisha na Mo & Family wakiendelea kula matunda ya 49% ya Klabu kwa uwekezaji mdogo sana. Huyuhuyu Mkereketwa atakwambia Simba ina thamani kubwa kuliko Yanga, Nami nakubaliana naye kuwa Simba ina thamani kubwa sana kuliko Klabu yeyote si Tanzania tu balia Afrika Mashariki. Lakini hii thamni Mbona haijaheshimiwa wakati wa kuuza Nusu ya hii klabu. Mbona imeuzwa kwa hela ya Mboga?. Bilioni 40 kumiliki klabu kubwa Tanzania kama Simba , assure you kuwa ni Ndogo sana. Maana wengi sana wangeweza kumiliki hizi timu zenye uwekezaji wa Miaka zaidi ya 60 huko nyuma.
Kutokana na Mkataba wa Yanga Tv na Azam tena ni wa miaka 10 tu kuwa mkubwa zaidi ya Simba, huu ni ukweli mchungu kuwa Thamani ya ya Yanga TV ni kubwa kuliko Simba na inaweza pia kuweka kwenye Rekodi za Kibiashara kuwa Yanga ina thamani kubwa kuliko Simba kwa sasa kwani kama Tv yao tu imewaingizia hicho kiasi, vip kuhusu klabu?, pia vipi kuhusu mkataba wa Tv ukiisha? Maana wanaweza kuongeza tena mwingine wenye thamani zaidi.
Tutakazania kufurahia kwenye Mataji na current form ya klabu. Tukumbuke form siyo Parmanent, Ndo maana Recently Chelsea FC amechukua makombe kadhaa kuliko Man Utd lakini Thamani ya Man utd ni kubwa kuliko Chelsea based on Market value. Tukubali kuwa hii dili ya Simba imekosewa Sana. Ni heri ingepelekwa kwa namna yeyote ile kwnye soko la hisa kwa bei ya juu.
Ni jambo la furaha sana upande Mashabiki lakini vikombe na ushindi havidefine hali ya uchumi ya klabu kwa ukanda wetu huu. Lakin hatujui pia huo upande wa furaha ya vikombe miaka 3 ijayo watani nao watakuwa na Nguvu gani kwenye vikombe. Tusiwabeze kwani wanaonekana wanaboresha kikosi kila uchwao na ndani ya miaka hii mitatu watakuwa na ushindani mgumu sana na SIMBA. Na wanaweza pia kutakeover ufalme wa soka. Furaha ya ushindi itaondoka, itakuja hali ya kiuchumi ya klabu na kibiashara sasa, Hapo ndo failure itaonekana kuwa Thamani halisi ya Simba SC haikuheshimiwa.
Mashabiki na wapenzi wataanza movement zao. This time haitakuwa kumvua mwenyewkiti madaraka bali kuvunja mkataba wa kisheria. Ngumu sana Time will tell
Kazi na iendelee!
Kama Paulo sio?Simba na Yanga ni bidhaa zenye thamani kubwa sana. Hata kama una njaa haifai kula chakula kwa pupa tena kwa mikono michafu.
Hapa utaruka sarakasi zote ila ni wazi Yanga TV ina thamani kubwa kuliko club nzima ya Simba Sports Club.Kumbuka Fatma Dewj ana hisa Yanga kama mwanachana..
So familia ya Dewj inamiliki zaidi ya 50% ya hisa za Simba. Pia thamani yaSimba ni zaidi ya Bil 20 alizoweka Mo kwa sababu wakati Mo alitaka kuweka hizo hela Simba hukufika hata robo final ya club bingwa
Sawa.Hapa utaruka sarakasi zote ila ni wazi Yanga TV ina thamani kubwa kuliko club nzima ya Simba Sports Club.
Mkuu, hizo hisa 51% ziko reserved kwa ajili ya WANACHAMA WA SIMBA.Hoja yako ingekuwa na mantiki kama hiyo 38 Billion ingekuwa ni mauzo ya hisa za club but blaza, hizo ni za mauzo ya haki ya maudhui tu!!
And guess what... kama Yanga akitaka mpunga wa mara moja, anaweza kwenda benki na kuchukua hata 30 Billion kama 10 years loan itakayokuwa financed na hizo hizo pesa unazosema zinatoka kidogo dogo!
Ni namna tu ya kucheza na financial management!
Azam alitaka kuweka ngapi kisha akawagomea?!
Kama kweli aliwagomea, ulishawahi kujiuliza kwamba inawezekana aliwagomea kwa sababu alikuwa hajaingiza mpunga wake Simba, na kwahiyo alikuwa na hofu angeonekana hana chake kwenye huo mpunga wa Azam?
Hivi una habari kwamba hatimae Mo ni officially mmiliki wa 49% ya Simba?
Hivi una habari hivi sasa Azam akiingiza mzigo Simba unaweza kufanya thamani ya Simba ikaongezeka?
Hivi una habari thamani ya Simba (Market Value) ikiongezeka kutokana na mpunga wa Azam, maana yake na thamani ya 49% ya hisa za Mwamedi nayo inaongezeka?
Guys...
Kusoma neno "crocodile" ukutani, hamjui, kwani picha ya mamba hamuioni?
Ukiulizwa "what's that?" Achana na neno crocodile,we jibu tu "that's mamba"... simple like that!!!
Nyie subirini muone Fatma nae ananunua angalau 1% ya hisa, na Da' Babara nae ananunua at least 1% kutoka kwenye 51% ya Wanachama...
Baada ya hapo, the end game unakuta Mwamedi anamiliki 49% + At least 1% of Fatma, + 1% of Babara= At least 51% na hatimae anakuwa majority shareholder by using his proxies!
In short, mmepigwa, na mtaendelea kupigwa kwa ujanja ujanja tu wa Mwamedi!!
Na wewe familia yako inajivunia kua na kijana msomi,
Udhamini na shareholder ni vitu viwili tofauti, tufanya mahesabu ya kawaida, we mtu anakuambia anakupa Milioni kumi ndani ya miaka miaka kumi na atakua ana million moja kwa mwaka, na mwingine anakuambia anakupa million tano cash, ni msaada upi bora kwako?
Usilete hesabu za hovyo, hizo billion 20 zinaenda kuwekwe kwenye fixed account ambazo zitakua zinaleta faida