tunahamia dodoma
Senior Member
- Jan 23, 2017
- 119
- 81
Chaka limechomwa moto wote wanakimbilia cdm. Chukulia mfano mliyemwita fisadi papa kwa sasa yuko wapi?Kama ulikuwa hujui ccm ndo chaka la kila aina ya majambazi hapa Tanzania.
Aliyeharibiwa kizazi na urefu wa mitulinga mbalimbali kwa sasa yuko wapi?