Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Kiongozi anaenda kusemelea Mambo ya nchi nchi nyengine.. huyu anatakiwa awekwe vizuri.
Hafai kupewa nchi, ataiuza kwa mabeberu.
Kiongozi anaenda kusemelea Mambo ya nchi nchi nyengine.. huyu anatakiwa awekwe vizuri.
Kweli kamandaKama Jiwe amekuwa rais, basi yeyote anaweza kuwa Rais! hata Kingwendu!
Narudia tena kwa mgombea kama lissu kushika dola bado
Hata Kingwendu
Angeshakuwa mbowe na mrema na lowasa na maalim sefu sembuse huyo mgonjwa wa mwili na akili lisu,mnakwama wapi bawacha?Kama Jiwe amekuwa rais, basi yeyote anaweza kuwa Rais! hata Kingwendu!
Jichunguze mkuu....kila mtu anamadhaifuHata mm najiulizaga Magufuli ilikuwaje akawa raisi mtu ambae hana break wala staha?
Kwahiyo aliepo ni kama kingwendu au?
Atayaongelea wapi ikiwa hata akiitwa mkutano wa ACT mamlaka ya mawasiliano inaonya sauti yake isisikikeKiongozi anaenda kusemelea Mambo ya nchi nchi nyengine.. huyu anatakiwa awekwe vizuri.
Mabeberu uku unawakopaHafai kupewa nchi, ataiuza kwa mabeberu.
kijana baba ako ana kula kupitia CCM lazima uogopeNarudia tena kwa mgombea kama lissu kushika dola bado
Badilisha katiba kuwe na tume huru uone,kama JPM,mwinyi,kikwete wameweza huyo lissu atashindwa vipi na ukiona yupo mile 1000 kuzidi hao niliowataja.Narudia tena kwa mgombea kama lissu kushika dola bado