Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Katika maisha lazima tukubaliane wazazi wetu ambao tangu tukiwa watoto walijisahau hawakuwekeza nyakati hizi utaziona ngumu kwa sababu
1. Kama wazazi hawakufanikiwa kumiliki assets kama vile nyumba,viwanja,mashamba nyakati zile vitu vilikuwa bei rahisi basi kipindi hiki haya yote upambane uwafanyie haya yote
2. Kama hawakujengea mazingira ya kujiajiri au kuajiriwa basi nyakati hizi utaziona ngumu kwani kila kitu ili ufanye kinaitaji rasimali
3. Kama hawakufanikiwa kukutengenezea mazingira ikitokea umesoma na haujajiriwa nini unachotakiwa kukifanya
4. Kama hawakufanikiwa kujiwekea akiba ya badae wataishi vipi basi ni jukumu lako kuwasimamia maswala ya fedha kila siku kuwatumia
Haya tuendeleee kama una kuongezea
1. Kama wazazi hawakufanikiwa kumiliki assets kama vile nyumba,viwanja,mashamba nyakati zile vitu vilikuwa bei rahisi basi kipindi hiki haya yote upambane uwafanyie haya yote
2. Kama hawakujengea mazingira ya kujiajiri au kuajiriwa basi nyakati hizi utaziona ngumu kwani kila kitu ili ufanye kinaitaji rasimali
3. Kama hawakufanikiwa kukutengenezea mazingira ikitokea umesoma na haujajiriwa nini unachotakiwa kukifanya
4. Kama hawakufanikiwa kujiwekea akiba ya badae wataishi vipi basi ni jukumu lako kuwasimamia maswala ya fedha kila siku kuwatumia
Haya tuendeleee kama una kuongezea