Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,932
Halafu huyo mchepuko anakuwa naye anasomesha wanaye huko walioterekezwa na baba kama huyo mchunwaji, fainal abdulSijui kwanini nawaamini Sana WANAWAKE? Hata akiwa mdangaji atafanya kwa ajili ya watoto wake. Kama amechuna huko mabuzi, watakaofaidika ni watoto wake. Ila mwanaume akiwa tu na kamchepuko. Anasahau kabisa nyumbani hela zote zinaishia kwa mchepuko