Ukweli Mchungu: Chadema Bado Haiko Tayari Kupewa Dola

mpiga domo

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
852
1,502
Habari Wakuu,

Kwa maoni yangu ambayo nimejitahidi nisiwe biased and subjective as much as possible nimekuja kufikia hitimisho kwamba Chadema kimfumo, kichama, kiuongozi na kitaasisi hawako tayari kupewa dhamana ya kuongoza nchi ama kushika dola. In simple language Chadema is still at its very infant stage.

Chadema kwa uchambuzi wangu yakinifu kimekua ni chama ambacho hakina ilani, filosofia na mrengo wa kisiasa unaoeleweka. Wamekua ni watu wa kuchukuliwa na siasa za matukio zaidi na siasa za ku'play victim ili kupata sympathy kutoka kwa wananchi.

Leo hii ukitaka kuamini ninachokisema mchukue mwana Chadema on the grass root level na umuulize ilani yenu ni nini au filosofia yenu ni nini?

Am sure hatakua na majibu yanayoeleweka zaidi ya kulalamikia mfumo uliopo. Ukimuuliza what next after mmefanikiwa kuundoa huu mfumo hatakua na majibu zaidi ya kutaka mzee Lowassa na Mbowe wapewe nchi.

Me nafikiri tatizo hili limesababishwa hasa na uongozi wa Chadema, pale watu wako unawaongoza hawajui what is your vision unakua ume"fail" kwenye majukumu yako kama kiongozi.

Kiongozi imara anatakiwa awasilishe vision yake na ya chama kwa wanachama wake ili waeze kuishi na kufanya jitihada za pamoja kuifikia hyo vision. Na sio ku'play victim na ku'comment matukio ya "kiki" ili kupata sympathy.

Weaknesses za Chadema ni nyingiiii ila kubwa inao'wacost zaidi ni uongozi wao na wasipobadilisha kuchukua nchi wasahau.

Huu ndo ukweli mchungu ambao Chadema hawataki kuusikia.

Get well soon TL.
 
Habari Wakuu,

Kwa maoni yangu ambayo nimejitahidi nisiwe biased and subjective as much as possible nimekuja kufikia hitimisho kwamba Chadema kimfumo, kichama, kiuongozi na kitaasisi hawako tayari kupewa dhamana ya kuongoza nchi ama kushika dola. In simple language Chadema is still at its very infant stage.

Chadema kwa uchambuzi wangu yakinifu kimekua ni chama ambacho hakina ilani, filosofia na mrengo wa kisiasa unaoeleweka. Wamekua ni watu wa kuchukuliwa na siasa za matukio zaidi na siasa za ku'play victim ili kupata sympathy kutoka kwa wananchi.

Leo hii ukitaka kuamini ninachokisema mchukue mwana Chadema on the grass root level na umuulize ilani yenu ni nini au filosofia yenu ni nini?

Am sure hatakua na majibu yanayoeleweka zaidi ya kulalamikia mfumo uliopo. Ukimuuliza what next after mmefanikiwa kuundoa huu mfumo hatakua na majibu zaidi ya kutaka mzee Lowassa na Mbowe wapewe nchi.

Me nafikiri tatizo hili limesababishwa hasa na uongozi wa Chadema, pale watu wako unawaongoza hawajui what is your vision unakua ume"fail" kwenye majukumu yako kama kiongozi.

Kiongozi imara anatakiwa awasilishe vision yake na ya chama kwa wanachama wake ili waeze kuishi na kufanya jitihada za pamoja kuifikia hyo vision. Na sio ku'play victim na ku'comment matukio ya "kiki" ili kupata sympathy.

Weaknesses za Chadema ni nyingiiii ila kubwa inao'wacost zaidi ni uongozi wao na wasipobadilisha kuchukua nchi wasahau.

Huu ndo ukweli mchungu ambao Chadema hawataki kuusikia.

Get well soon TL.
Hilo huamui wewe.....bali watanzania kupitia sanduku la kura. Take note of that!
 
Habari Wakuu,

Kwa maoni yangu ambayo nimejitahidi nisiwe biased and subjective as much as possible nimekuja kufikia hitimisho kwamba Chadema kimfumo, kichama, kiuongozi na kitaasisi hawako tayari kupewa dhamana ya kuongoza nchi ama kushika dola. In simple language Chadema is still at its very infant stage.

Chadema kwa uchambuzi wangu yakinifu kimekua ni chama ambacho hakina ilani, filosofia na mrengo wa kisiasa unaoeleweka. Wamekua ni watu wa kuchukuliwa na siasa za matukio zaidi na siasa za ku'play victim ili kupata sympathy kutoka kwa wananchi.

Leo hii ukitaka kuamini ninachokisema mchukue mwana Chadema on the grass root level na umuulize ilani yenu ni nini au filosofia yenu ni nini?

Am sure hatakua na majibu yanayoeleweka zaidi ya kulalamikia mfumo uliopo. Ukimuuliza what next after mmefanikiwa kuundoa huu mfumo hatakua na majibu zaidi ya kutaka mzee Lowassa na Mbowe wapewe nchi.

Me nafikiri tatizo hili limesababishwa hasa na uongozi wa Chadema, pale watu wako unawaongoza hawajui what is your vision unakua ume"fail" kwenye majukumu yako kama kiongozi.

Kiongozi imara anatakiwa awasilishe vision yake na ya chama kwa wanachama wake ili waeze kuishi na kufanya jitihada za pamoja kuifikia hyo vision. Na sio ku'play victim na ku'comment matukio ya "kiki" ili kupata sympathy.

Weaknesses za Chadema ni nyingiiii ila kubwa inao'wacost zaidi ni uongozi wao na wasipobadilisha kuchukua nchi wasahau.

Huu ndo ukweli mchungu ambao Chadema hawataki kuusikia.

Get well soon TL.
Chama hakiwezi kukosa ilani vision and mission.currently hakijashika dola hivyo huwezi kuiona implementations za ilani yake ukumbuke siasa zimezuiliwa kufanyika hasa za majukwaani ambazo ndio zilikua kama darasa kwa wananchi kuhusu ilan/vision / mission of any political party.fair analysis of CURRENT political SITUATION need more than what you hear from social networks as long as ccm+ dola fighting a fallen asleep opponent
 
Habari Wakuu,

Kwa maoni yangu ambayo nimejitahidi nisiwe biased and subjective as much as possible nimekuja kufikia hitimisho kwamba Chadema kimfumo, kichama, kiuongozi na kitaasisi hawako tayari kupewa dhamana ya kuongoza nchi ama kushika dola. In simple language Chadema is still at its very infant stage.

Chadema kwa uchambuzi wangu yakinifu kimekua ni chama ambacho hakina ilani, filosofia na mrengo wa kisiasa unaoeleweka. Wamekua ni watu wa kuchukuliwa na siasa za matukio zaidi na siasa za ku'play victim ili kupata sympathy kutoka kwa wananchi.

Leo hii ukitaka kuamini ninachokisema mchukue mwana Chadema on the grass root level na umuulize ilani yenu ni nini au filosofia yenu ni nini?

Am sure hatakua na majibu yanayoeleweka zaidi ya kulalamikia mfumo uliopo. Ukimuuliza what next after mmefanikiwa kuundoa huu mfumo hatakua na majibu zaidi ya kutaka mzee Lowassa na Mbowe wapewe nchi.

Me nafikiri tatizo hili limesababishwa hasa na uongozi wa Chadema, pale watu wako unawaongoza hawajui what is your vision unakua ume"fail" kwenye majukumu yako kama kiongozi.

Kiongozi imara anatakiwa awasilishe vision yake na ya chama kwa wanachama wake ili waeze kuishi na kufanya jitihada za pamoja kuifikia hyo vision. Na sio ku'play victim na ku'comment matukio ya "kiki" ili kupata sympathy.

Weaknesses za Chadema ni nyingiiii ila kubwa inao'wacost zaidi ni uongozi wao na wasipobadilisha kuchukua nchi wasahau.

Huu ndo ukweli mchungu ambao Chadema hawataki kuusikia.

Get well soon TL.

Chadema bado sana kukabidhiwa dola labda baada ya miaka 50 tena wanaCCM makini wahamie huko ili wawasaidie siyo wakina Nyarandu, Sumaye (Mr Zero) na Lowassa (Fisadi Kuu).
 
Habari Wakuu,

Kwa maoni yangu ambayo nimejitahidi nisiwe biased and subjective as much as possible nimekuja kufikia hitimisho kwamba Chadema kimfumo, kichama, kiuongozi na kitaasisi hawako tayari kupewa dhamana ya kuongoza nchi ama kushika dola. In simple language Chadema is still at its very infant stage.

Chadema kwa uchambuzi wangu yakinifu kimekua ni chama ambacho hakina ilani, filosofia na mrengo wa kisiasa unaoeleweka. Wamekua ni watu wa kuchukuliwa na siasa za matukio zaidi na siasa za ku'play victim ili kupata sympathy kutoka kwa wananchi.

Leo hii ukitaka kuamini ninachokisema mchukue mwana Chadema on the grass root level na umuulize ilani yenu ni nini au filosofia yenu ni nini?

Am sure hatakua na majibu yanayoeleweka zaidi ya kulalamikia mfumo uliopo. Ukimuuliza what next after mmefanikiwa kuundoa huu mfumo hatakua na majibu zaidi ya kutaka mzee Lowassa na Mbowe wapewe nchi.

Me nafikiri tatizo hili limesababishwa hasa na uongozi wa Chadema, pale watu wako unawaongoza hawajui what is your vision unakua ume"fail" kwenye majukumu yako kama kiongozi.

Kiongozi imara anatakiwa awasilishe vision yake na ya chama kwa wanachama wake ili waeze kuishi na kufanya jitihada za pamoja kuifikia hyo vision. Na sio ku'play victim na ku'comment matukio ya "kiki" ili kupata sympathy.

Weaknesses za Chadema ni nyingiiii ila kubwa inao'wacost zaidi ni uongozi wao na wasipobadilisha kuchukua nchi wasahau.

Huu ndo ukweli mchungu ambao Chadema hawataki kuusikia.

Get well soon TL.
Subiri matusi,
Ila umenena ikweli. Sasa hivi wamedandia treni ya kamanda Kakobe.
20171228_125834.png
 
Chama hakiwezi kukosa ilani vision and mission.currently hakijashika dola hivyo huwezi kuiona implementations za ilani yake ukumbuke siasa zimezuiliwa kufanyika hasa za majukwaani ambazo ndio zilikua kama darasa kwa wananchi kuhusu ilan/vision / mission of any political party.fair analysis of CURRENT political SITUATION need more than what you hear from social networks as long as ccm+ dola fighting a fallen asleep opponent
Wewe ni great thinker wa chadema eti, dah!!
 
Hilo huamui wewe.....bali watanzania kupitia sanduku la kura. Take note of that!
Unataka watanzania tuamue mara ngapi?? JPM yuko ikulu anapiga kazi kwa ajili yetu mimi na wewe, uchaguzi wa madiwani 42-1. Unataka wananchi wasemw nini??
Nyie hamna sera, ikulu mtaisikia tbccm.
 
Chama hakiwezi kukosa ilani vision and mission.currently hakijashika dola hivyo huwezi kuiona implementations za ilani yake ukumbuke siasa zimezuiliwa kufanyika hasa za majukwaani ambazo ndio zilikua kama darasa kwa wananchi kuhusu ilan/vision / mission of any political party.fair analysis of CURRENT political SITUATION need more than what you hear from social networks as long as ccm+ dola fighting a fallen asleep opponent

Kwa nini wabunge wao sitangaze hilo ilan na vision ya chama kwenye majimbo yao?? Sababu kuu ya wabunge wa chadema kushindwa kutangaza ilani na vision ya chama ni kunyimwa ruzuku na wenye Saccos (Mbowe na Lowassa) hivyo nao wameamua kugoma kutangaza ilani na vision ya chama kwenye majimbo yao mpaka wapewe ruzuku ambayo ni haki yao.
 
Kwa nini wabunge wao sitangaze hilo ilan na vision ya chama kwenye majimbo yao?? Sababu kuu ya wabunge wa chadema kushindwa kutangaza ilani na vision ya chama ni kunyimwa ruzuku na wenye Saccos (Mbowe na Lowassa) hivyo nao wameamua kugoma kutangaza ilani na vision ya chama kwenye majimbo yao mpaka wapewe ruzuku ambayo ni haki yao.
Nadhani wewe ni kijana mdg soon you will have a family futa dhana ya ujenzi wa majibu mafupi yaliyofungika( enclosed answers) kwenye maswali ya wazi hasa yanayoweza kulenga kuupima ufahamu wako( during self assessment you may hang yourself and loss your life ).Siasa za majimboni baada ya uchaguzi ni kwa ajili ya kujibu na kuchukua hoja za wananchi tena kwa mujibu wa ilani ya chama tawala na hivyo vinafanyika ila kama chama lazima kijinyumbulishe kwa wananchi pia let's say tulishinda majimbo 80 kati ya 360 ko hayo majimbo 280 yanayobaki ndio tusifanye siasa ? ???
 
Nadhani wewe ni kijana mdg soon you will have a family futa dhana ya ujenzi wa majibu mafupi yaliyofungika( enclosed answers) kwenye maswali ya wazi hasa yanayoweza kulenga kuupima ufahamu wako( during self assessment you may hang yourself and loss your life ).Siasa za majimboni baada ya uchaguzi ni kwa ajili ya kujibu na kuchukua hoja za wananchi tena kwa mujibu wa ilani ya chama tawala na hivyo vinafanyika ila kama chama lazima kijinyumbulishe kwa wananchi pia let's say tulishinda majimbo 80 kati ya 360 ko hayo majimbo 280 yanayobaki ndio tusifanye siasa ? ???
Ndiyo unatakiwa ukawaelimishe wapigakura wako sasa unataka ukawaelimishe wapi?? Kumbe uliomba kura tu baadae usepe? Hakikisha unakuwa karibu na wapigakura wako lasivyo 2020 hurudi bungeni...!!
 
Unataka watanzania tuamue mara ngapi?? JPM yuko ikulu anapiga kazi kwa ajili yetu mimi na wewe, uchaguzi wa madiwani 42-1. Unataka wananchi wasemw nini??
Nyie hamna sera, ikulu mtaisikia tbccm.
Ulimuelewa yule Askofu wa Zanzibar. Alisema ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa Madiwani uligubikwa na Mizengwe. Hata kama ukibisha kwa andiko lakini am pretty sure 100% hapo ulipo moyo unakuhukumu.
 
Ulimuelewa yule Askofu wa Zanzibar. Alisema ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa Madiwani uligubikwa na Mizengwe. Hata kama ukibisha kwa andiko lakini am pretty sure 100% hapo ulipo moyo unakuhukumu.
Mtaendelea kulishwa maneno mpaka akiliniwaingie siku moja.
 
Post za kugangia njaa tu hizi pale kwenye mabenchi ya Lumumba
Mkuu embu angalia post zangu za nyuma uone nilikua mrengo upi, nimekuja kujenga na sio kubomoa.

Shida yenu pia nyingie upinzani mnajiona mpo too perfect. Mnapigania uhuru wa mawazo ila mtu akiwapinga mnaanza kumtukana na kumpa majina ya kila aina.

Kwa style hii kweli ndo mtapewa nchi. Si ndo mtakua madikteta mara 100.
 
[HASHTAG]#PombeAkatubuMadhambi[/HASHTAG]
refer my post. Hamna itikadi inayoeleweka. you are proving am right kwamba mnafuata siasa za matukio mkija kushtuka 2020 hii hapa.

Sasa hivi mpo na issue ya Kakobe mmeshasau ya Nassari kuuliwa mbwa wake, ya watu kuvunjiwa nyumba zao, ya ben kupotea, ya TL kupigwa risasi and so on and on....
 
Chama hakiwezi kukosa ilani vision and mission.currently hakijashika dola hivyo huwezi kuiona implementations za ilani yake ukumbuke siasa zimezuiliwa kufanyika hasa za majukwaani ambazo ndio zilikua kama darasa kwa wananchi kuhusu ilan/vision / mission of any political party.fair analysis of CURRENT political SITUATION need more than what you hear from social networks as long as ccm+ dola fighting a fallen asleep opponent
tuchukulie scenario ya interview katika kampuni flani kwa ajili ya kazi ya Manager.

Hivi kweli unaweza kupewa kazi bila kusema umefanya nini hapo nyuma, umesoma nini, umeweza ku'accomplish nini na unaamini katika style ipi ya uongozi ili kufikia malengo ya kampuni.

Yani mnafanya kuongoza watu zaidi ya milion 50 ni majaribio.
 
refer my post. Hamna itikadi inayoeleweka. you are proving am right kwamba mnafuata siasa za matukio mkija kushtuka 2020 hii hapa.

Sasa hivi mpo na issue ya Kakobe mmeshasau ya Nassari kuuliwa mbwa wake, ya watu kuvunjiwa nyumba zao, ya ben kupotea, ya TL kupigwa risasi and so on and on....

kwa hiyo CCM imeshinda kwasababu ya itikadi??


Go back to library and do your home work.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom