Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Mwenye pesa na elimu ana clear view; mwenye pesa au asiye na vyote wako obstructed kabisa.Fedha nyingi bila upeo imefanya apitilize asione mbele.
Uwe na fedha na elimu . ndio maana ya pic
Nenda mbele zaidi muheshimiwa.Huyo anaiona hadi kesho.😂😂😂😂Fedha nyingi bila upeo imefanya apitilize asione mbele.
Uwe na fedha na elimu . ndio maana ya pic
Nenda mbele zaidi muheshimiwa.Huyo anaiona hadi kesho.😂😂😂😂Fedha nyingi bila upeo imefanya apitilize asione mbele.
Uwe na fedha na elimu . ndio maana ya pic
Mm nadhani mwenye pesa ameona sana ad amepitiliza, hvy huwezi kumfananisha na ambaye hana pesa kabisa.Mwenye pesa na elimu ana clear view; mwenye pesa au asiye na vyote wako obstructed kabisa.
NB: Ukiwa na pesa bila elimu ni uzembe wa kiwango cha SGR; ukiwa na elimu bila pesa ni kutoelimika kwa kweli.
Hata siku ya kuzika mchungaji anatoa neno moja tu " Bwana ametoa Bwana ametwaa" unazikwa na habar yako inaishia hapo.Huyoo wa mwisho Hana Elimu Hana hela ndo wale wakifa historia ya marehemu inakuwa fupi mstari mmoja.
MAREHEMU ALIZALIWA AKAZURURA ZURURA AKAFA.