Mimi si mtaalamu wa maswala ya tiba, ila kwa ufahamu wangu nafikiri zipo njia mbali mbali za kupima kama mtu ana maambukizo ya HIV.
Njia ambayo nafikiri tunaitumia sana ni ile ya kupima chemical inayotolewa na WBC kama watahisi kuna virus wamo mwilini, na ya pili ni ile ya kupima virus wenyewe kama wamo kwenye damu.
Swali langu ni je, kwa ile njia ya kupima chemical, kuna uwezekano wa mtu mwenye maambukizi kupima na akaonekana yuko negative?(chukulia mtu huyo kaishi mwaka m1 hajafanya ngono na hana dalili ya kuugua ugonjwa wowote)?
Tafadhali naomba msaada wenu.
Njia ambayo nafikiri tunaitumia sana ni ile ya kupima chemical inayotolewa na WBC kama watahisi kuna virus wamo mwilini, na ya pili ni ile ya kupima virus wenyewe kama wamo kwenye damu.
Swali langu ni je, kwa ile njia ya kupima chemical, kuna uwezekano wa mtu mwenye maambukizi kupima na akaonekana yuko negative?(chukulia mtu huyo kaishi mwaka m1 hajafanya ngono na hana dalili ya kuugua ugonjwa wowote)?
Tafadhali naomba msaada wenu.