Ukweli kuhusu ugomvi wa January Makamba na Lisa Rockefeller

Seacliff

Senior Member
Dec 1, 2010
158
152
Kuna rafiki yangu lawyer kwenye NGO moja hapa NY ambayo yule dada Lisa Rockefeller ni board member, amenidokeza kuhusu issue ya huyu dada na yule kijana wa Bumbuli –January Makamba.

Hii issue imemkera sana huyu dada na anaichukulia serious sana. January na Lisa walikuwa na uhusiano mzuri sana ambao ulishamiri zaidi wakati alipokuwa Marekani kwenye safari na JK ya kuonana na investors na donors.

Lisa pia ndiye aliye-organize na rafiki yake wa “The Economist” kuandika ile piece ya January Makamba ambayo ilikuwa na objective ya kumsaidia kukuza profile yake kwenye kampeni.

Kwa Lisa, January alionekana ni mtu progressive anayependa maendeleo na quite possibly future leader wa Tanzania.

Wakati Lisa alipokuja Tanzania mara ya mwisho akakuta mradi aliotolea hela nyingi kule Mbeya haujafanyika, wakati alipewa guarantee na rafiki yake January kuwa hela hiyo itatumiwa kwenye huo mradi, alikuja juu na kudai accountability.

January apparently akamjia juu na kumtishia kuwa yuko Bongo asilete ukoloni wa Kimarekani. Apparently, alimpa threats nyingi zaidi na kwa sababu ya hizo threats dada Lisa alizipeleka nyumbani na familia ikapiga simu Homeland Security.

Ilibidi wamarekani wa-launch formal investigation ambayo mpaka sasa inaendelea.

Kuna matisho aliyoyatoa January bila kufikiria madhara yake na huyu dada akayachukulia serious na kwa hasira sana. Kumbuka yeye alikuwa anategemea appreciation huku na quite honestly sidhani kama alikuwa na mambo mengine mengi zaidi ya kusaidia.

Sasa hiyo ndiyo inasemekana imemfanya Mkulu ashindwe kumpa ule uwaziri ambao kijana alikuwa ana uhakika wa kuupata.

Kuna habari pia kwamba kijana January amewekwa kwenye list mbaya ya Homeland Security na itakuwa vigumu sana kusafiri huku mpaka hii issue iwe cleared.
 
Kuna rafiki yangu lawyer kwenye NGO moja hapa NY ambayo yule dada Lisa Rockefeller ni board member, amenidokeza kuhusu issue ya huyu dada na yule kijana wa Bumbuli – January Makamba. Hii issue imemkera sana huyu dada na anaichukulia serious sana. January na Lisa walikuwa na uhusiano mzuri sana ambao ulishamiri zaidi wakati alipokuwa Marekani kwenye safari na JK ya kuonana na investors na donors. Lisa pia ndiye aliye-organize na rafiki yake wa "The Economist" kuandika ile piece ya January Makamba ambayo ilikuwa na objective ya kumsaidia kukuza profile yake kwenye kampeni. Kwa Lisa, January alionekana ni mtu progressive anayependa maendeleo na quite possibly future leader wa Tanzania. Wakati Lisa alipokuja Tanzania mara ya mwisho akakuta mradi aliotolea hela nyingi kule Mbeya haujafanyika, wakati alipewa guarantee na rafiki yake January kuwa hela hiyo itatumiwa kwenye huo mradi, alikuja juu na kudai accountability. January apparently akamjia juu na kumtishia kuwa yuko Bongo asilete ukoloni wa Kimarekani. Apparently, alimpa threats nyingi zaidi na kwa sababu ya hizo threats dada Lisa alizipeleka nyumbani na familia ikapiga simu Homeland Security. Ilibidi wamarekani wa-launch formal investigation ambayo mpaka sasa inaendelea. Kuna matisho aliyoyatoa January bila kufikiria madhara yake na huyu dada akayachukulia serious na kwa hasira sana. Kumbuka yeye alikuwa anategemea appreciation huku na quite honestly sidhani kama alikuwa na mambo mengine mengi zaidi ya kusaidia. Sasa hiyo ndiyo inasemekana imemfanya Mkulu ashindwe kumpa ule uwaziri ambao kijana alikuwa ana uhakika wa kuupata. Kuna habari pia kwamba kijana January amewekwa kwenye list mbaya ya Homeland Security na itakuwa vigumu sana kusafiri huku mpaka hii issue iwe cleared.


Mmmh, hii kali!
 
Mhh na hii ni post yako ya kwanza. Inaelekea wewe ni member mzoefu hapa JF ila umeamua kutoka kivingine. kwi kwi kwi kwi kwi.
Mtoto wa nyoka ni chura? Hapana haijawahi kutokea katika historia ya dunia hii chura aliwahi kuzaa nyoka........... possibly unaelewa what I mean. Ni kwa sababu hiyo siwezi kuona ajabu kusoma kitu kama hiki hapa. Hata kama ni uongo lakini inaaminisha kwa sehemu moja au nyingine maana Chura huzaa chura na nyoka huzaa nyoka.
 
Kuna rafiki yangu lawyer kwenye NGO moja hapa NY ambayo yule dada Lisa Rockefeller ni board member, amenidokeza kuhusu issue ya huyu dada na yule kijana wa Bumbuli – January Makamba. Hii issue imemkera sana huyu dada na anaichukulia serious sana. January na Lisa walikuwa na uhusiano mzuri sana ambao ulishamiri zaidi wakati alipokuwa Marekani kwenye safari na JK ya kuonana na investors na donors. Lisa pia ndiye aliye-organize na rafiki yake wa "The Economist" kuandika ile piece ya January Makamba ambayo ilikuwa na objective ya kumsaidia kukuza profile yake kwenye kampeni. Kwa Lisa, January alionekana ni mtu progressive anayependa maendeleo na quite possibly future leader wa Tanzania. Wakati Lisa alipokuja Tanzania mara ya mwisho akakuta mradi aliotolea hela nyingi kule Mbeya haujafanyika, wakati alipewa guarantee na rafiki yake January kuwa hela hiyo itatumiwa kwenye huo mradi, alikuja juu na kudai accountability. January apparently akamjia juu na kumtishia kuwa yuko Bongo asilete ukoloni wa Kimarekani. Apparently, alimpa threats nyingi zaidi na kwa sababu ya hizo threats dada Lisa alizipeleka nyumbani na familia ikapiga simu Homeland Security. Ilibidi wamarekani wa-launch formal investigation ambayo mpaka sasa inaendelea. Kuna matisho aliyoyatoa January bila kufikiria madhara yake na huyu dada akayachukulia serious na kwa hasira sana. Kumbuka yeye alikuwa anategemea appreciation huku na quite honestly sidhani kama alikuwa na mambo mengine mengi zaidi ya kusaidia. Sasa hiyo ndiyo inasemekana imemfanya Mkulu ashindwe kumpa ule uwaziri ambao kijana alikuwa ana uhakika wa kuupata. Kuna habari pia kwamba kijana January amewekwa kwenye list mbaya ya Homeland Security na itakuwa vigumu sana kusafiri huku mpaka hii issue iwe cleared.

Tatizo la ulevi wa madaraka linawafanya watu wengine kuona unyonge wa watanzania unaendelea mpaka wa watu wengine wacha apate joto ya jiwe atajifunza next time.
 
So it is true that Ernesto Sheka is January Makamba! If it's so that dude is BRAINLESS STEEL.
 
Naamini January Makamba yuko Jf anatakiwi kueleza umma wa watanzania juu ya habari hii kama ni ya kutengeneza itambomoa kama hataitolea ufafanuzi
 
January is that arrogant, I can totally believe this. Dangerously arrogant and power hungry in a by hooks and crooks style.

Lisa is just a rich airhead who believes that these African dictator's entourages and hangers on should be responsible just because they spent time faking all that accountability bullshyt at George Mason.

Now that this is brought into this perspective, even by a long shot, that sadly dilapidated article from "The Economist" makes perfect sense. I am glad The Economist is not my source for Africa's news.
 
QUOTE=Kiranga; I am glad The Economist is not my source for Africa's news.

The Economist is a BALONEY newspaper. I don't know what is its stake on African continent. It acts like Uhuru,Habari Leo and Daily News Newspapers! No wonder it wrote an article giving praises to Kikwete and his doomed govt. that it has a blueprint democratic and well governed system in Africa!!
 
Kuna rafiki yangu lawyer kwenye NGO moja hapa NY ambayo yule dada Lisa Rockefeller ni board member, amenidokeza kuhusu issue ya huyu dada na yule kijana wa Bumbuli – January Makamba. Hii issue imemkera sana huyu dada na anaichukulia serious sana. January na Lisa walikuwa na uhusiano mzuri sana ambao ulishamiri zaidi wakati alipokuwa Marekani kwenye safari na JK ya kuonana na investors na donors. Lisa pia ndiye aliye-organize na rafiki yake wa "The Economist" kuandika ile piece ya January Makamba ambayo ilikuwa na objective ya kumsaidia kukuza profile yake kwenye kampeni. Kwa Lisa, January alionekana ni mtu progressive anayependa maendeleo na quite possibly future leader wa Tanzania. Wakati Lisa alipokuja Tanzania mara ya mwisho akakuta mradi aliotolea hela nyingi kule Mbeya haujafanyika, wakati alipewa guarantee na rafiki yake January kuwa hela hiyo itatumiwa kwenye huo mradi, alikuja juu na kudai accountability. January apparently akamjia juu na kumtishia kuwa yuko Bongo asilete ukoloni wa Kimarekani. Apparently, alimpa threats nyingi zaidi na kwa sababu ya hizo threats dada Lisa alizipeleka nyumbani na familia ikapiga simu Homeland Security. Ilibidi wamarekani wa-launch formal investigation ambayo mpaka sasa inaendelea. Kuna matisho aliyoyatoa January bila kufikiria madhara yake na huyu dada akayachukulia serious na kwa hasira sana. Kumbuka yeye alikuwa anategemea appreciation huku na quite honestly sidhani kama alikuwa na mambo mengine mengi zaidi ya kusaidia. Sasa hiyo ndiyo inasemekana imemfanya Mkulu ashindwe kumpa ule uwaziri ambao kijana alikuwa ana uhakika wa kuupata. Kuna habari pia kwamba kijana January amewekwa kwenye list mbaya ya Homeland Security na itakuwa vigumu sana kusafiri huku mpaka hii issue iwe cleared.

Nafikiri ni vyema tukapata link ya hizo taarifa zako ili tupate kuchangia vizuri.....maana hizi habari ni vyeti sana.
Mimi siwezi ku-comment mpaka nipate source za taarifa.....
 
Nafikiri ni vyema tukapata link ya hizo taarifa zako ili tupate kuchangia vizuri.....maana hizi habari ni vyeti sana.
Mimi siwezi ku-comment mpaka nipate source za taarifa.....

source ni rafiki yake huyo aliyemtaja kwenye mstari wa kwanza.
 
Back
Top Bottom