Ukweli kuhusu Tundu Lissu; Anapenda watu, ni mtetezi wa haki

Anatetea watu pamoja na mafisadi na wakwepa kodi!


Ndani ya mahakama kuu hata wale wenye kesi za kuua kwa kukusudia wanapewa nafasi ya kuwakilishwa na wakili. Na kama mshtakiwa hana uwezo wa kuweka wakili serikali kwa gharama zake inamwekea wakili amtetee. Unashangaa nini "fisadi" akitetewa? Hiyo ni haki ya msingi ya kibinadamu kwa mshtakiwa wa aina yeyote.

Hata wewe jingalao mfano ukibakwa na Lizaboni wakati wa kutimiza majukumu yenu hapo Lumumba jua kuwa akihitaji wakili atatetewa hata kama shtaka hilo ni baya na wewe hujafurahishwa na uliyotendewa.
 
Kaona anakubalika na misukule tu imebidi akodi majeshi ya familia. Unadhani angesemaje zaidi ya hayo?
 
Ndani ya mahakama kuu hata wale wenye kesi za kuua kwa kukusudia wanapewa nafasi ya kuwakilishwa na wakili. Na kama mshtakiwa hana uwezo wa kuweka wakili serikali kwa gharama zake inamwekea wakili amtetee. Unashangaa nini "fisadi" akitetewa? Hiyo ni haki ya msingi ya kibinadamu kwa mshtakiwa wa aina yeyote.
Hata wewe jingalao mfano ukibakwa na Lizaboni wakati wa kutimiza majukumu yenu hapo Lumumba jua kuwa akihitaji wakili atatetewa hata kama shtaka hilo ni baya na wewe hujafurahishwa na uliyotendewa.
Hana moral authority ya kuitwa mtetezi wa haki bali mtetezi wa wahalifu!
 
Nilitaka kujitoa JF lakini kwa data hizi nimefurahi sana kweli CDM hawana nia njema na nchi hii!!
Hongera, sasa hujaeleweka ulitaka kujitoa jf, sasa kilichokurudisha ni nini? Kwako wenye nia njema hawa waliouza rasilimali zetu sio? Acha upunguani wa akili.
 
Ni mafisadi mangapi yamepandishwa kizimbani tangu serikali iliyopo iingie madarakani?

Hayo mafisadi yamefanya huo ufisadi Lissu akiwa rais wa nchi?

Kwanini wewe ni mjinga hivyo?
lissu kutetea mafisadi hoja kubwa mkuu
 
Leo wakati naanglia itv nikaona anmtetea sepenga nikjisemea sijui kavuta ngapi manaake mwisho wa siku wanalia mkwanja mrefu
 
Back
Top Bottom