Ukweli kuhusu tunaoishi nje ya Tanzania

HTML:
Nimeishi nchi kumi na moja za kiafrica pekee, sijawahi kutoka nje ya Africa

Hizo nchi 11 zinapatikana S Africa?


angola,zambia,congo drc,malawi,zimbabwe,namibia,swaziland,lesotho,mozambiq,sa,nk
 
Wapendwa nitatoa maoni yangu binafsi. Wazo la kuwa nje ya nchi au kusettle nyumbani linachangiwa sehemu kubwa na uchumi. Ni sawa na yule aliye-relocate toka Nchinga-Mtwara kuja Dar es Salaam. Lakini pia kuna suala la feeling za ki-binadamu; hebu fikiri.. umeamua kurudi home baada ya kuangaika sana..na hela zako umeweza pata kagari kako kamtumba...umepiga kiyoyozi unapita pale kituoni..watu wamejaa ile mbaya hakuna usafiri..roho inakuuma ..Ok,,, unarudi nyumbani ambako umeweka Kagenerator pale nyumbani..baada ya Tanesco kuishiwa umeme..wakati kagenerator kanaunguruma na unapata mwanga..Nyumba ya jirani hakuna umeme..watoto wachanga wa majirani wanalia unasikia huruma ..dhamira inakusuta.unaangalia utawaze kusaidia jirani..lakini masikini kagenerator kenyewe kadogo..Anyway... una kajumba kako umeweka uzio mzuri..lakini kila siku vibaka wanakusumbua.Unaamua kuchukua wamasai..kesho yake wamasai wanafanya nyumba yako ndio Ngome..wanawaleta wenzao kushinda..Unaona karaha unawatimua..Ok.. Unaanza na ka Investment..uanpata kahela ambako kanakuwezesha kubadili mboga .lakini extended family kuna watoto wanataka shule, ndugu wengi maisha magumu..unajitahidi kusaidia unashindwa... Anayway...Unajaribu kujiliwaza kwa kuangalia TV ..au kusikiliza Taarifa ya habari ..unasikia utumbo wa wanasiasa wanaoshindwa kuwathamini wananchi...wanagombana wenyewe kwa wenyewe chama A and B..Mafisadi na walalahoi..Unaudhika kwani kuna ka chama kanajaribu kuwatetea walalahoi na kuna kachama kanajaribu kuwatumia walahoi hao hao kuwatetea maslahi ya matumbo yao na mafisadi..unakasirika na kuzima TV....Unaamua kuondoka.. unatoka kidogo traffic anakukamata..huna tatizo..lolote..kwani Maisha uliyoishi nje yamekunja ki-discipline..Huyu Traffic anazunguka gari.. ..anajenga hoja,,Fire Extinguisher ni ndogo kwa ukubwa wa gari ..Mnabishana sana..anaishia kukwambia ukweli anataka kahela akapate supu..unakasirika unampa unaondoka huku Moyo ukidunda kama unataka kutoka kwa hasira....Mbele kidogo unasimama ..umeshaamua ku - postpone kurudi settle..home ..Unaandika kwenye Face-book..kwa marafiki zako.. "Aluta -kontinua..Narudi ughaibuni" Binafsi unajipa moyo..wacha nikaangaike kidogo kama miaka miwili au mitatu nitarudi home..Well, ni -round nyingine umeshindwa ku-settle --ingawa ulikuwa na nia ya kweli..

Ndugu zangu, ukiondoka tu Tanzania ..wewe tayari u-second class citizen..hata kama utapata makaratasi, dual citizenship etc. Hasa pale dhamira yako itakapokuwa inakusuta wakati wa lile swali ambalo silipendi... "where r' u from? Unakumbuka ..Nikiwa nyumbani Tanzania hakuna anayeniuliza hilo swali....

Conclusion -- Umasikini wetu watanzania..na mazingira ya siasa na uchumi wetu vinatuchanganya sana kupata wazo la ku-settle home.. Ingawa, ni kweli ni kuna mifano mizuri ya rafiki zetu wengi wamesha-win baada ya kurudi.yaani wameweza kujibadili ghafla na kukumbatia tena maisha ya nyumbani..Lakini kama kweli ulikulia nyumbani kwenye umasikini.na maisha ya dhiki halafu..tukatoka nje ya nchi Uka-experience kwa kuishi kwa utii wa sheria, Kupata hela kwa kipato halali bila kuomba rushwa, kutokuwa na shaka na vibaka, kutosikia Miziki ya mafisadi..Jamani inakuwa ngumu kuchukua maamuzi ya kurudi nyumbani kwani unajua unaenda kutoa rushwa, unaenda kugombana na utii wa sheria..unaenda kwenye umasikini ule ule ambao unajua ni umasikini wa kujitakia...Yaani inachanganya kweli lakini, All in All...Tutarudi tu..kwani ni nyumbani pekee ambako unakuwa "First Class Citizen"

kuna ukweli mkubwa mno kwenye hili,naona tatizo kubwa la nchi yetu maskiniwengi sana,halafu watu wana njaa sana sasa sijui utasaidia wangapi
mimi shida moja nayopata nikija home nimsaidie nani??unakuta una hela za kugawa mfukoni,sijui tuwekeje mambo hapo
 
Mkuu mbona unaonesha upeo wa chini sana kufikiri? Marcedes Benzi kwa South Africa ni kama Bajaj tu, sio issue, sana sana wanajali model na date of manufacture, na vijana wengi wa kibongo wanaotokea south Africa na vijisenti kidogo 99% ni wauza unga.
Wengi wa watanzania wameajiliwa na wanigeria kufanya biashara ya kuuza matunda, na kwa wanaofanya kazi kwa wazungu pesa unayopata ni from pocket to mouth kufanya serving ni ndoto. kikubwa ni kupiga picha kwenye magorofa na flyovers kuwadanganya vijana wenzao Bongo.

Ila kama Tanzania hata swala la mlo kwako ni tatizo, South Africa is better place for you, utakula vizuri na utanenepa mpaka ******. all in all US na UK hizi mimi naziita ni land of opportunity, kichwa chako kikitulia kwenye nchi hizo u can do something.

ni kweli 90% ya watanzania wanaoishi hapa wanauza unga,lakini cha kushangaza kila siku utawaona vilevile,hamna mabadiliko
 
Maisha Tanzania kwa ujumla wake ni mazuri sana kama mtu ukijipanga vizuri, kwa kuwa kuna kila aina ya vianzio vya maisha kama ardhi nk, na ni rahisi kuanzisha biashara hata ndogondogo kuliko hizi nchi za nje ambazo ni vigumu sana kujikwamua.
 
"........iyo kupata kazi inakuwa Tabu sana matokeo yake wanakuwa ni wezi,majambazi, Wauza unga, kuna watu wengine wanalal nje kwa sababu hawana pesa za kulipa kodi ya nyumba na kodi ya nyumba kwa mwezi ni dola 300 au Dola 500 kwa mwezi ,na mengineyo mengi tu.

Jamani mimi nimeishi nchi nyingi sana na kutembelea baadhi,ninachojiuliza hawa wanaoshindwa yote wakati wamefika kwenye nchi yenye neema zaidi kidogo ya nchi uliyotoka,yaani unashindwa hata kuoa,kuolewa au kufanya chochote ukawa na maisha yaliyo bora kuliko uliyokuwa nayo TZ?Mimi nimeishi Sweden,Finland,UK, Japan,Poland, US kote huko ukitangaza kuolewa na mama Kibonge yaani ni mara moja au kama ukitangaza kumuoa bibi kizee ni mara moja,ukivumilia 10 years huwezi kurudi mtupu,nimeuliza Pretoria kuna mtu anaunganisha watu ingawa bahati mbaya ni kina bibi wa ki Israel wakikuooa inabidi ufanye kazi sana on the bed na yeye kazi ya kupika,kuosha mbwa nk ni juu yako lakini mvumilivu hula mbivu,lakini kwa wali soma nina imani kazi sio shida ila kazi ya kulipwa kiasi gani ndio shida-njooni huku Iceland,ukiingia ni pm,niliolewa 7 yrs lakini sasa mambo yangu si haba na nimerudi nikamuoa mswahili na mambo si mabaya. Ugali na maharage ndio vilivyonifanya nikapata akili-nyumbani pazuri lakini kwa mwenye kujua akiamka anaelekea wapi na ni bora kibaka wa SA au dunia nyingine kuliko wa TZ ukishikwa hata jela hufiki jamaa wameisha kuchoma moto.Mimi popote ninapoweza kuishi bila kubaguliwa au kubaguliwa kwa %ndogo naishi tu kuliko kujidai uzawa ukaenda kufa na njaa.
 
Karibuni Poland and Romania....huku mambo shwari


nikitoka hapo vacation zanguni mitaa ya Kosovo na Albania:happy:
 
Fuateni nasaha za Riz1 - tunaishi kimjinimjini na mtu anaweza kuishi hivyo po pote duniani!
 
Chamoto..I have no problem if I meet someone; and after having few minutes of chat the question about my country of origin arise....That's ok... However, in most cases, things aren't the same. You just pop in car, and immediately someone ask..where are you from..or you just order food in a restaurant and the waiter ask the same. Or in a meeting.. immediately after greetings ..the question pops up.. At the airport.. Customs officers seldom ask same question to those people with the colour other than black, But it is a common question to those blacks...I don't like it at all...You can read the face of them..they are curious to know the reason of you being there..Yes, I am black and definitely have roots in Africa.. I am not running from myself.. I am proudly African..why you need to prove that?...That's why I love home.. no one ask that question...[/QUOTE

My experience there is always someone who is going to treat another as a second class citizen no matter where you are.
 
"........iyo kupata kazi inakuwa Tabu sana matokeo yake wanakuwa ni wezi,majambazi, Wauza unga, kuna watu wengine wanalal nje kwa sababu hawana pesa za kulipa kodi ya nyumba na kodi ya nyumba kwa mwezi ni dola 300 au Dola 500 kwa mwezi ,na mengineyo mengi tu.

Jamani mimi nimeishi nchi nyingi sana na kutembelea baadhi,ninachojiuliza hawa wanaoshindwa yote wakati wamefika kwenye nchi yenye neema zaidi kidogo ya nchi uliyotoka,yaani unashindwa hata kuoa,kuolewa au kufanya chochote ukawa na maisha yaliyo bora kuliko uliyokuwa nayo TZ?Mimi nimeishi Sweden,Finland,UK, Japan,Poland, US kote huko ukitangaza kuolewa na mama Kibonge yaani ni mara moja au kama ukitangaza kumuoa bibi kizee ni mara moja,ukivumilia 10 years huwezi kurudi mtupu,nimeuliza Pretoria kuna mtu anaunganisha watu ingawa bahati mbaya ni kina bibi wa ki Israel wakikuooa inabidi ufanye kazi sana on the bed na yeye kazi ya kupika,kuosha mbwa nk ni juu yako lakini mvumilivu hula mbivu,lakini kwa wali soma nina imani kazi sio shida ila kazi ya kulipwa kiasi gani ndio shida-njooni huku Iceland,ukiingia ni pm,niliolewa 7 yrs lakini sasa mambo yangu si haba na nimerudi nikamuoa mswahili na mambo si mabaya. Ugali na maharage ndio vilivyonifanya nikapata akili-nyumbani pazuri lakini kwa mwenye kujua akiamka anaelekea wapi na ni bora kibaka wa SA au dunia nyingine kuliko wa TZ ukishikwa hata jela hufiki jamaa wameisha kuchoma moto.Mimi popote ninapoweza kuishi bila kubaguliwa au kubaguliwa kwa %ndogo naishi tu kuliko kujidai uzawa ukaenda kufa na njaa.



mzee napongeza hiyo idea uliyotoa hapo,lakini kwa south africa ni ngumu sana swala la kuoa,
hata mie nilijaribu kuoa lakini did not work out,kilichonisaidia ni kufikiri na kutenda kilichonileta hapa
nafikiri ulaya ni rahisi kuoa na ku win but not sout africa.
unless ufanye kama wanavyofanya wanigeria kuoa kwa ajili ya kumbebesha unga mwanamke
 
Chamoto..I have no problem if I meet someone; and after having few minutes of chat the question about my country of origin arise....That's ok... However, in most cases, things aren't the same. You just pop in car, and immediately someone ask..where are you from..or you just order food in a restaurant and the waiter ask the same. Or in a meeting.. immediately after greetings ..the question pops up.. At the airport.. Customs officers seldom ask same question to those people with the colour other than black, But it is a common question to those blacks...I don't like it at all...You can read the face of them..they are curious to know the reason of you being there..Yes, I am black and definitely have roots in Africa.. I am not running from myself.. I am proudly African..why you need to prove that?...That's why I love home.. no one ask that question...

You missed the point, hulipendi swali hilo kwa sababu una complex fulani, neno la kwamba "I am proudly African" ni neno lina sema una complex, kwanini uwaze kuwa uko proud na uafrika?
Mtu yeyote anayeonekana ni tofauti ktk mazingira fulani kuna uwezekano kabisa mkubwa wa kuwauliza unatoka wapi? mbona sie wazungu huwa tunawauliza kila siku wanatoka wapi na nchi gani na huwa wanaonekana kujivunia kutaja nchi zao, kwanini sisi tukwazike kutaja nchi zetu?
 
kuna ukweli mkubwa mno kwenye hili,naona tatizo kubwa la nchi yetu maskiniwengi sana,halafu watu wana njaa sana sasa sijui utasaidia wangapi
mimi shida moja nayopata nikija home nimsaidie nani??unakuta una hela za kugawa mfukoni,sijui tuwekeje mambo hapo

Kwahiyo huko uliko mambo safi kuliko TZ, sasa mbona unawabaia wasije huko ili baadae usiwagawie pesa?
 
Post yako ina contradiction. Unasema kuna watanzania hapo South Africa wana biashara kubwa kubwa, halafu tena unasema watanzania hapo South Afrika mambo yao siyo mazuri na unadiscourage wengine wasikimbile nje wakati wewe mwenyewe unaish nje. Ni ujumbe gani unaojaribu kutuma.

Kumbuka kuwa kila mtu ana njia yake ya maisha. Ingawa kuna uliowaacha Tanzania wana maisha mazuri leo, vile vile kuna uliowaacha ambao wana maisha mabaya sana. Equally well, kuna waliokimbilia nje ambao maisha yao ni mazuri sana, wakati kuna waliokimbia nje ambao maisha yao siyo mazuri. Acha watu wajiamulie wenyewe kuhusu maisha yao.

Kuna wabongo wanapeta kwa sana tu nje ya nchi kwa kazi za maana na mishahara minono lakini kuna baadhi wana dhana kwamba kwa vile hawasikiki basi Watanzania wote wanaoishi nchi za nje ni wabeba box tu. Tena hao wenye kazi za maana wamejenga jina zuri sana kwa nchi yetu kwamba ni wachapa kazi hodari na si walalamishi, lakini kwa kuwa hawasikiki basi wote wa nje ni wabeba box tu!
 
Huku niipo kuna watu wengine tunaishi kimazabe,wengine tunaishi kihalali,kuna watu wenye maisha mazuri na wengine wana struggle kama ambavyo ilivyo tanzania.
Ila,nimekaa miaka mingi hapa US na nimetembelea states karibu 35,sijaona mtanzania homeless! acheni kudangany'a watu! but to some of us life is so tough compared to my college mates back home.
But for some reasons of my own....I JUST LOOVE WALKING ON THESE STREETS.
Mkuu uko wapi hapo amerika? Watu wanazungumzia South africa wewe unazungumzia mambo ya Amerika?Kwani huko amerika hakuna Watu wanaoishi nje kulala lala ovyo mitaani? mbona unasema maneno ya uongo mkuu?
 
Kuna wabongo wanapeta kwa sana tu nje ya nchi kwa kazi za maana na mishahara minono lakini kuna baadhi wana dhana kwamba kwa vile hawasikiki basi Watanzania wote wanaoishi nchi za nje ni wabeba box tu. Tena hao wenye kazi za maana wamejenga jina zuri sana kwa nchi yetu kwamba ni wachapa kazi hodari na si walalamishi, lakini kwa kuwa hawasikiki basi wote wa nje ni wabeba box tu!
Mkuu wengi wao ni wabeba Mabox ukienda Uingereza utawakuta Wengi Watanzania Wanafanya ya kubeba Mabox kubeba Zege Mkuu wewe kwani upo wapi? unayajuwa maisha ya south africa? kwa kisomo cha Darasa la Saba au Form 4 Ya Tanzania huwezi kupata kazi nzuri south Africa au hata Uingereza lazima Ubebe Mabox tu mkuu upo na mimi? Wengi wasafiri hawana kisomo ndio maana wanakimbilia nje ya nchi mkuu unajuwa hiyo?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu wengi wao ni wabeba Mabox ukienda Uingereza utawakuta Wengi Watanzania Wanafanya ya kubeba Mabox kubeba Zege Mkuu wewe kwani upo wapi? unayajuwa maisha ya south africa? kwa kisomo cha Darasa la Saba au Form 4 Ya Tanzania huwezi kupata kazi nzuri south Africa au hata Uingereza lazima Ubebe Mabox tu mkuu upo na mimi? Wengi wasafiri hawana kisomo ndio maana wanakimbilia nje ya nchi mkuu unajuwa hiyo?

Hata UK mimi nawafahamu wengi wanaofanya kazi zinazohitaji elimu ya nguvu, wengi wa hao unaowasema ni wale wakimbizi waliodai kukimbia manyanyaso baada ya uchaguzi wa 1995 na waliingia UK kama wakimbizi toka Bongo na wengi hawakuwa na elimu ya maana.
 
Wapendwa nitatoa maoni yangu binafsi. Wazo la kuwa nje ya nchi au kusettle nyumbani linachangiwa sehemu kubwa na uchumi. Ni sawa na yule aliye-relocate toka Nchinga-Mtwara kuja Dar es Salaam. Lakini pia kuna suala la feeling za ki-binadamu; hebu fikiri.. umeamua kurudi home baada ya kuangaika sana..na hela zako umeweza pata kagari kako kamtumba...umepiga kiyoyozi unapita pale kituoni..watu wamejaa ile mbaya hakuna usafiri..roho inakuuma ..Ok,,, unarudi nyumbani ambako umeweka Kagenerator pale nyumbani..baada ya Tanesco kuishiwa umeme..wakati kagenerator kanaunguruma na unapata mwanga..Nyumba ya jirani hakuna umeme..watoto wachanga wa majirani wanalia unasikia huruma ..dhamira inakusuta.unaangalia utawaze kusaidia jirani..lakini masikini kagenerator kenyewe kadogo..Anyway... una kajumba kako umeweka uzio mzuri..lakini kila siku vibaka wanakusumbua.Unaamua kuchukua wamasai..kesho yake wamasai wanafanya nyumba yako ndio Ngome..wanawaleta wenzao kushinda..Unaona karaha unawatimua..Ok.. Unaanza na ka Investment..uanpata kahela ambako kanakuwezesha kubadili mboga .lakini extended family kuna watoto wanataka shule, ndugu wengi maisha magumu..unajitahidi kusaidia unashindwa... Anayway...Unajaribu kujiliwaza kwa kuangalia TV ..au kusikiliza Taarifa ya habari ..unasikia utumbo wa wanasiasa wanaoshindwa kuwathamini wananchi...wanagombana wenyewe kwa wenyewe chama A and B..Mafisadi na walalahoi..Unaudhika kwani kuna ka chama kanajaribu kuwatetea walalahoi na kuna kachama kanajaribu kuwatumia walahoi hao hao kuwatetea maslahi ya matumbo yao na mafisadi..unakasirika na kuzima TV....Unaamua kuondoka.. unatoka kidogo traffic anakukamata..huna tatizo..lolote..kwani Maisha uliyoishi nje yamekunja ki-discipline..Huyu Traffic anazunguka gari.. ..anajenga hoja,,Fire Extinguisher ni ndogo kwa ukubwa wa gari ..Mnabishana sana..anaishia kukwambia ukweli anataka kahela akapate supu..unakasirika unampa unaondoka huku Moyo ukidunda kama unataka kutoka kwa hasira....Mbele kidogo unasimama ..umeshaamua ku - postpone kurudi settle..home ..Unaandika kwenye Face-book..kwa marafiki zako.. "Aluta -kontinua..Narudi ughaibuni" Binafsi unajipa moyo..wacha nikaangaike kidogo kama miaka miwili au mitatu nitarudi home..Well, ni -round nyingine umeshindwa ku-settle --ingawa ulikuwa na nia ya kweli..

Ndugu zangu, ukiondoka tu Tanzania ..wewe tayari u-second class citizen..hata kama utapata makaratasi, dual citizenship etc. Hasa pale dhamira yako itakapokuwa inakusuta wakati wa lile swali ambalo silipendi... "where r' u from? Unakumbuka ..Nikiwa nyumbani Tanzania hakuna anayeniuliza hilo swali....

Conclusion -- Umasikini wetu watanzania..na mazingira ya siasa na uchumi wetu vinatuchanganya sana kupata wazo la ku-settle home.. Ingawa, ni kweli ni kuna mifano mizuri ya rafiki zetu wengi wamesha-win baada ya kurudi.yaani wameweza kujibadili ghafla na kukumbatia tena maisha ya nyumbani..Lakini kama kweli ulikulia nyumbani kwenye umasikini.na maisha ya dhiki halafu..tukatoka nje ya nchi Uka-experience kwa kuishi kwa utii wa sheria, Kupata hela kwa kipato halali bila kuomba rushwa, kutokuwa na shaka na vibaka, kutosikia Miziki ya mafisadi..Jamani inakuwa ngumu kuchukua maamuzi ya kurudi nyumbani kwani unajua unaenda kutoa rushwa, unaenda kugombana na utii wa sheria..unaenda kwenye umasikini ule ule ambao unajua ni umasikini wa kujitakia...Yaani inachanganya kweli lakini, All in All...Tutarudi tu..kwani ni nyumbani pekee ambako unakuwa "First Class Citizen"

Mkuu kuna siku niko kwenye subway tumejazana......nikaona wazungu wanasoma magazeti, halafu kucheki gazeti ambalo mmoja anasoma....nikaona picha ya binti albino mikono yake imekatwa.......halafu kuangalia vizuri....nikaona tukio hilo lilitokea Tanzania......nakumbuka moyo ulinipiga pa....kijasho chembamba kwa mbaali kikaanza kunitoka.....hapo nikafikiria moyoni kuwa nikiulizwa tu kuwa unatoka TZ.......nahisi ningeukana utanzania kwa mara ya kwanza....lakini uzuri swali hilo halikuulizwa kama ilivyo kawaida ya watu hawa kutoongea kwenye public transport........

Jamani licha ya kuwa nyumbani ni nyumbani kuna matukio mengi sana ambayo yanavunja moyo yanataarifiwa......

But bado naamini home is Best....
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom