Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Umewahi kutazama filamu za "The Amytville Horrors" zipo nyingi, ya mwisho iliachiwa mwaka 2017. Filamu hizo ni zinatokana na stori ya ukweli sema zingine zimeongezewa chumvi ili kuleta ladha kwa watazamaji lakini ya mwaka 1979 ndio inaakisi vyema uhalisia.
Twende sasa; Mwaka 1974, Ronald "Butch" Defeo Jr katika makazi yao huko Amytville aliwaua watu sita kutoka familia yake mwenyewe.
Katika maelezo yake anasema kwamba katika nyumba yao hiyo alikuwa akisikia sauti za familia yake kichwani zikimwambia awaue na yeye akafanya hivyo ukweli.
Mwaka mmoja baadae baada ya tukio hilo familia nyingine ya bwana Lutz ilihamia katika nyumba hiyo lakini ndani ya siku 28 waliikimbia wakidai kuona mauza uza ya ajabu kwenye nyumba hiyo.
Kufuatia hali hiyo Polisi waliamua kuchunguza, walichofanya ni kutegesha Camera umbali kidogo na nyumba hiyo. Camera hizo ni zile zenye uwezo wa kupiga picha ambazo kwa macho ya kawaida huwezi kuona, Ina uwezo wa kupenya hata katika vitu visivyo onekana kirahisi.
Baada ya kuchukua picha nyingi, Mojawapo ya picha waliyoipata ndio hiyo hapo kama unavyoona. Inaaminika kuwa huyo ni John Matthew, Alikuwa ni mtoto mdogo bado wakati anauawa mwaka 74 na kaka yao ambae ni Ronald.
FAHAMUZAIDI
Twende sasa; Mwaka 1974, Ronald "Butch" Defeo Jr katika makazi yao huko Amytville aliwaua watu sita kutoka familia yake mwenyewe.
Katika maelezo yake anasema kwamba katika nyumba yao hiyo alikuwa akisikia sauti za familia yake kichwani zikimwambia awaue na yeye akafanya hivyo ukweli.
Mwaka mmoja baadae baada ya tukio hilo familia nyingine ya bwana Lutz ilihamia katika nyumba hiyo lakini ndani ya siku 28 waliikimbia wakidai kuona mauza uza ya ajabu kwenye nyumba hiyo.
Kufuatia hali hiyo Polisi waliamua kuchunguza, walichofanya ni kutegesha Camera umbali kidogo na nyumba hiyo. Camera hizo ni zile zenye uwezo wa kupiga picha ambazo kwa macho ya kawaida huwezi kuona, Ina uwezo wa kupenya hata katika vitu visivyo onekana kirahisi.
Baada ya kuchukua picha nyingi, Mojawapo ya picha waliyoipata ndio hiyo hapo kama unavyoona. Inaaminika kuwa huyo ni John Matthew, Alikuwa ni mtoto mdogo bado wakati anauawa mwaka 74 na kaka yao ambae ni Ronald.
FAHAMUZAIDI