Kagame, Mseveni, J. Kabila(Polite Kanambe -Hili ndo jina lake halisi) wote hawa ni ndugu wa damu. Kagame anaendelea kwa ubabe na kupata vitu vingi bure toka DRC kwa mjomba wake Polite mfano Umeme anaotumia bure ni wa DRC alichukua madini mengi sana dhahabi na almasi wakati wa kumsaidia Kabila Laurent. Bado akataka amegewe na sehemu ya ardhi ya DRC Laurent akakataa - akammaliza na kumuweka huyo mpwa wake(Hakutoa hata majeshi yake hadi leo wako DRC) ambaye hadi sasa full ulinzi wake ni Watusi tu. Wacongo hilo wanalojua na ndo maana jamaa ni vigumu sana kuonekana hadharani japo ni Rais, ikitokea kuhutubia anafanya hivyo kwa njia ya TV na Radio. Je, kwa hali hiyo ya burebure na ka nchi kadogo sawa na mkoa mmoja hapa TZ kwa nini asiendelee!? NINAMSHANGAA!! Mimi ningelipa Mshahara kama Gadaffi........... Haya wabishi wa JF mnayajua hayoooo! kazi kwenu