adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,474
- 4,253
Imebainika kuwa Okwi yuko Yanga kwa mkopo kutoka E. Du Sahel na sio kwamba amesaini kandarasi kama mchezaji halali wa Yanga.
Inaelezwa kuwa viongozi wa Yanga walimuomba kwa mkopo Okwi then E.Du Sahel wakakubali wakawaambia waongee na Villa wakubaliane kisha endapo wataafikia E. Du Sahel hawatakuwa na tatizo. Ndipo viongozi wa Yanga wakatia timu Kampala na kumalizana na Villa kwa kuwapa $20000 kama motisha katika hiyo deal then wakamwachia Okwi.
Ingawa Mimi ni shabiki wa mnyama binafsi nawapongeza watani wangu ktk kupigana kukiboresha kikosi chao.
Inaelezwa kuwa viongozi wa Yanga walimuomba kwa mkopo Okwi then E.Du Sahel wakakubali wakawaambia waongee na Villa wakubaliane kisha endapo wataafikia E. Du Sahel hawatakuwa na tatizo. Ndipo viongozi wa Yanga wakatia timu Kampala na kumalizana na Villa kwa kuwapa $20000 kama motisha katika hiyo deal then wakamwachia Okwi.
Ingawa Mimi ni shabiki wa mnyama binafsi nawapongeza watani wangu ktk kupigana kukiboresha kikosi chao.