Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
Heshima kwenu wakuu!
Kwanza niseme kuwa sio mtaalamu katika mambo ya magari.
Naomba kujua ukweli kuhusu ubora wa gari unavopungua kadri gari inavozidi kutembea. Ni kilometa ngapi ambazo gari ikishafika hiyo gari inakuwa imepoteza ubora wake?
Naomba ushauri hasa kwa gari aina ya Noah.
Natanguliza shukurani!
Kwanza niseme kuwa sio mtaalamu katika mambo ya magari.
Naomba kujua ukweli kuhusu ubora wa gari unavopungua kadri gari inavozidi kutembea. Ni kilometa ngapi ambazo gari ikishafika hiyo gari inakuwa imepoteza ubora wake?
Naomba ushauri hasa kwa gari aina ya Noah.
Natanguliza shukurani!