Ukweli kuhusu kilimo cha machungwa

Ni kweli mkuu,mchungwa wa miaka 3 hata machungwa 10 ni bahati mno,kiukweli yanaanzaga machache sema tu ukichuma kwa ujumla shamba zima la ekari 1 au 2 ndio yaweza fika 600 au 1000 kutokana na ukubwa na wingi wa miti.
Kweli, huyo alikuwa na business nyingine aliyotaka kuiptomote kupitia machungwa
 
Nimesoma kuna ubishani hapa juu ya mchungwa wa miaka mitatu unauwezo wa kuzaa matunda kiasi gani?

Naomba kuongeza maswali hapo, je mchungwa huo mmoja kwa mwaka unazaa mara ngapi? na hizo numbers mnazotaja ni kwa mwaka mzima au kwa msimu kama unazaa zaidi ya mara moja kwa mwaka?

Mimi nina shamba wilaya ya Mkinga sehemu inaitwa Jere, nategema kuanza kupanda Valencia mwakani. naomba kupata majibu ya maswali hayo kwa mwenye uelewa na uzoefu.
 
Nimesoma kuna ubishani hapa juu ya mchungwa wa miaka mitatu unauwezo wa kuzaa matunda kiasi gani?

Naomba kuongeza maswali hapo, je mchungwa huo mmoja kwa mwaka unazaa mara ngapi? na hizo numbers mnazotaja ni kwa mwaka mzima au kwa msimu kama unazaa zaidi ya mara moja kwa mwaka?

Mimi nina shamba wilaya ya Mkinga sehemu inaitwa Jere, nategema kuanza kupanda Valencia mwakani. naomba kupata majibu ya maswali hayo kwa mwenye uelewa na uzoefu.
Miaka mitatu mchungwa ndio unaanza kutoa matondoo si mengi sana ila kadri miaka inavyoenda ndio unazidi kutoa mengi kutegemea utakavyokuwa unalitunza shamba na miti husika.

Kuunga valencia ni mbegu nzuri ila kwa hali ya hewa ya huko Mkinga bado sijajua ila Muheza ndio kwenyewe.
 
Miaka mitatu mchungwa ndio unaanza kutoa matondoo si mengi sana ila kadri miaka inavyoenda ndio unazidi kutoa mengi kutegemea utakavyokuwa unalitunza shamba na miti husika.

Kuunga valencia ni mbegu nzuri ila kwa hali ya hewa ya huko Mkinga bado sijajua ila Muheza ndio kwenyewe.
Mkuu asante kwa maelezo mazuri. Lakini hujajibu maswali niliyouliza, naomba urudie kusoma nilichouliza.
Asante.
 
Nimesoma kuna ubishani hapa juu ya mchungwa wa miaka mitatu unauwezo wa kuzaa matunda kiasi gani?

Naomba kuongeza maswali hapo, je mchungwa huo mmoja kwa mwaka unazaa mara ngapi? na hizo numbers mnazotaja ni kwa mwaka mzima au kwa msimu kama unazaa zaidi ya mara moja kwa mwaka?

Mimi nina shamba wilaya ya Mkinga sehemu inaitwa Jere, nategema kuanza kupanda Valencia mwakani. naomba kupata majibu ya maswali hayo kwa mwenye uelewa na uzoefu.
Kama utapanda mlimao bora kwenye msimu Wa masika mwaka huu, mwaka unaofuata unaufanyia burding, baada ya kuufanyia burding kama utaupa matunzo mazuri basi baada ya miezi 18 unaanza kuzaa Machungwa 2 mpaka 5 au zaidi na mchungwa ukianza kuzaa unazaa mara mbili ila msimu unaotegemea zaidi ni mmoja ni ule unaotoa maua mwezi wa 10 na kuanza kuuzwa mwezi wa nne mpaka wa kumi.
 
Kuna aina nyingi za michungwa ila hapa kwetu tuna aina zifuatatazo.
1/Early and late valensia sifa kuu ni kuwahi au kuchelewa kukomaza matunda nyakati za msimu. Kuweni makini mkiwa mnanunua miche. Uzuri valensia Ganda ni pana hivyo husafirishika kwa urahisi salama salmini na linapendwa sokoni kwa eneo kubwa.
2/ Msasa hapa limetawala mkoa wa Tanga hasa wilaya ya handeni sifa yake ni ganda laini hivyo kusafirisha Mara nyingi ni ishu.
3/ Matombo sweet ni kizazi kinachokuja kutawala sio muda mrefu ila kwa Sasa sio maarufu na halina ushabiki sana maana lina sifa ya katikati tu.
4/ George Washington ni maarufu kama Valensia kwa kuwa ni Exotic au kimataifa ila halina wapenzi wengi hasa watu wa ndani yaani wenyeji wa ndani,ganda kubwa maji kidogo.
5/ Sour Oranges ni aina ya mwisho au machungwa machachu haya sio maarufu sana ila unaweza yaona hapa Tanzania kule malamba mkoani Tanga. Yana sifa ya uchachu na yanapendwa na wahindi sana.


Mlimao ndio chanzo mama cha mimea jamii ya limao yote kwa kutoa miche ya kubebeshea (Rootstock) ikiwa na uwezo wa kukinzana na wadudu na mabadikiko ya hali ya hewa.
Baada ya walau 20-25cm unaweza kuunga au kubud (Bud ni kijicho from the point of English words not horticultural or Botanical). Mlimao unaweza kubebeshwa na mlimao kupata zisizo na mbegu (Lisbon) au zenye mbegu (Rough lemon),ndimu zenye mbegu na zisizo (Tahiti and seeded), Chungwa aina zote_dalansi,pomelo na kumquat.

Miche ya kisasa ipo na ushauri wa kilimo cha mbogamboga na matunda unatolea na huduma za kutembelea/kusimamia mashamba.
Tuma sms whatsup 0714600575.
Au sms ya kawaida 0620598113.
IMG_20201205_142458_8.jpeg
IMG_20201205_140516_7.jpeg
IMG_20201205_135300_9.jpeg
 
Miche ya milimao inapatikana kokote Tupo Tanga ila kwa mikoa Ya Dare salaam, Morogoro,Arusha, kilimanjaro, pwani, Lindi, Mtwara unatumiwa
 
Kuna aina nyingi za michungwa ila hapa kwetu tuna aina zifuatatazo.
1/Early and late valensia sifa kuu ni kuwahi au kuchelewa kukomaza matunda nyakati za msimu. Kuweni makini mkiwa mnanunua miche. Uzuri valensia Ganda ni pana hivyo husafirishika kwa urahisi salama salmini na linapendwa sokoni kwa eneo kubwa.
2/ Msasa hapa limetawala mkoa wa Tanga hasa wilaya ya handeni sifa yake ni ganda laini hivyo kusafirisha Mara nyingi ni ishu.
3/ Matombo sweet ni kizazi kinachokuja kutawala sio muda mrefu ila kwa Sasa sio maarufu na halina ushabiki sana maana lina sifa ya katikati tu.
4/ George Washington ni maarufu kama Valensia kwa kuwa ni Exotic au kimataifa ila halina wapenzi wengi hasa watu wa ndani yaani wenyeji wa ndani,ganda kubwa maji kidogo.
5/ Sour Oranges ni aina ya mwisho au machungwa machachu haya sio maarufu sana ila unaweza yaona hapa Tanzania kule malamba mkoani Tanga. Yana sifa ya uchachu na yanapendwa na wahindi sana.


Mlimao ndio chanzo mama cha mimea jamii ya limao yote kwa kutoa miche ya kubebeshea (Rootstock) ikiwa na uwezo wa kukinzana na wadudu na mabadikiko ya hali ya hewa.
Baada ya walau 20-25cm unaweza kuunga au kubud (Bud ni kijicho from the point of English words not horticultural or Botanical). Mlimao unaweza kubebeshwa na mlimao kupata zisizo na mbegu (Lisbon) au zenye mbegu (Rough lemon),ndimu zenye mbegu na zisizo (Tahiti and seeded), Chungwa aina zote_dalansi,pomelo na kumquat.

Miche ya kisasa ipo na ushauri wa kilimo cha mbogamboga na matunda unatolea na huduma za kutembelea/kusimamia mashamba.
Tuma sms whatsup 0714600575.
Au sms ya kawaida 0620598113.View attachment 1642786View attachment 1642788View attachment 1642789
Hii sour orange ndiyo Grape fruit ambayo pale segera wauzaji wanaliita chungwa dawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom