ich weiß nicht aber der Tod ist der Tod alles hat sein Ende
Nivea, ukiongea lugha isiyoeleka na wengi humu JF ni sawa na bubu kumnong'oneza kipofu kuhusu taarifa muhimu...ni Angalizo tu na ongera kwa kujaribu kujifunza kidachi .
Mkuu mbona huyu mama ni mjane?inasemekana mume wake alikuwa anafanya kazi TRA na alifariki mwaka 1997,je hii unaiongeleaje[source:gazeti la mwananchi la tarehe 14/10/2012]?
MY Take:
Mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
asante kwa angalizo si umeona wengi wameelewa nakureply ,tatizo hii keyboard ni ya kijerumani so its easy to type kideustch than english ,sorry if it bored you,Nivea, ukiongea lugha isiyoeleka na wengi humu JF ni sawa na bubu kumnong'oneza kipofu kuhusu taarifa muhimu...ni Angalizo tu na ongera kwa kujaribu kujifunza kidachi .
nadhani hii ni information ya uhakika... kuhusu polisi jamii wapo wengi sana mwanza..tena inaonekana vijana hao walitumia bunduki ya kamanda na kummaliza papo papo....ila ninachojiuliza kama kweli walitumwa why walimuacha huyo jike hai??
asante kwa angalizo si umeona wengi wameelewa nakureply ,tatizo hii keyboard ni ya kijerumani so its easy to type kideustch than english ,sorry if it bored you,
Hello Nivea usitie shaka ..waweza taipu kwa maneno ya kiswahili au ndo ushaanza kukisahau? Waweza nunua tarakishi nyingine hapo Rotterdam au Maastritch itategemea hupo mji gani...just kidding...si unajua hapa JF, tunathubutu kuongea kwa uwazi...nakutakia kheri!
Huyu kaaacha mkewe na watoto ndani ya nyumba na kuhangaika na kiburudisho kingine
Wakati mwanamke kaacha mmewe ndani na kwenda kuhangaika na Kamanda
Mungu tusaidie..
mbona povu tena mtoa mada anasema imekuwa ni kawida yake kumrudisha mida hiyo ya usiku, na kama ni uhusiano ni wa muda mrefu , na huyo demu unaambiwa ni wa mtu hivyo nina imani huyo mlinzi licha ya kutumika kama mlizi vilevile alikuwa anatumika kama kuwadi kwa hivyo swala la demu kuwa na namba ya mlinzi sio la kutilia shaka
ich weiß nicht aber der Tod ist der Tod alles hat sein Ende
shenzi sana. deustche warum nicht?
Kumbe ndio maana alimtetea yule polisi mwizi wa afisa uhamiaji, inaonekana kuna kamtandao ka kuiba wake za watu ndani ya geshi la bolish.
napata maswali mengi kuliko majibu! Rco alitaka kumuua afisa wa uhamiaji. Huyo Rco anatuhumiwa kutembea na mke wa afisa huyo. Rpc ameuawa akiwa na mke wa mtu! Inamaana viongozi wa jeshi la polisi huko mwz wanakula wake za watu freely? Hawana wake zao? Vp polisi wadogo?
Marire Na huyu teacher Doreen Lyimo ana uhusiano wowote au aliwahi kuwa na uhusiano wowote na yule Afisa uahamiaji aliyemwagiwa risasi na polisi? movie inaendelea!!!Ukweli ni kwamba ,kamanda alikuwa anatoka Florida hotel kwenye kikao cha harusi ya mjomba yake .....na huyo teacher anaitwa DOREEN LYIMO na inavyosemekana ni moto chini na ni kawaida yake kurudi saa hizo.
Hivi kama ni polisi jamii kwani hilo eneo si linauongozi wa mtaa na kama uongozi wa mtaa upo hao polisi jamii waliokuwa lindo siku hiyo si wanajulikana kwa uongozi wa mtaa kwa nini wasichukuliwe hatua hao polisi jamii?Je polisi jamii huwaga wanakabidhiwa bastola au bunduki?tangu lini?nadhani hii ni information ya uhakika... kuhusu polisi jamii wapo wengi sana mwanza..tena inaonekana vijana hao walitumia bunduki ya kamanda na kummaliza papo papo....ila ninachojiuliza kama kweli walitumwa why walimuacha huyo jike hai??