osama BLD
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 561
- 292
Aisee kumbe anayezungum
ziwa ni Hitra na sio Hitler
Aisee kumbe anayezungum
ziwa ni Hitra na sio Hitler
Anamaanisha watotoKaacha ma-dr. wengi tu
Hitle?Anayezungumziwa ni Hitra, huyo Hitle bado kwanza.
Sidhani kama spelling za hilo jina ni kitu muhimu... hata mnyakyusa akiongea hapa hutaweza andika kwa ufasaha...Wewe ni mpuuzi gani usiyejua kutamka wala kuandika Hitler? Hitra ndio nani au mjombako wa Mugumu?
Labda kama ni jiwe!! Hawezi kuwa hai mpaka leoKuna story zingine zinasema Adolf Hitler alifanikiwa kutoroka na shehena kubwa ya dhahabu yuko hai Brazil mafichoni
asante mkuuu.....Hitle aliuwawa nazani na dereva wake yeye hitle mwenyewe alitoa instructions na mwili wake ukachomwa moto badae warusi walikuja kuupata wakausafirisha kwa siri mpaka kwao alikufa yeye mkewe pamoja na watoto wake
haaaa,,,,,hii kali nyingine sijawahi ata kufikiriaKuna story zingine zinasema Adolf Hitler alifanikiwa kutoroka na shehena kubwa ya dhahabu yuko hai Brazil mafichoni
mkuu, kukosea huwa kupo tu haimaanishi kila anayekosea basi ni mpuuzi. Najua unajua ndo maana umejweza kunirekebisha lakini pia huwezi ukawa wajua kila kitu, na kwakuwa kuna vitu usivyovijua kwa hekima na ustaarabu wangu siwezi nikakuita mpuuziWewe ni mpuuzi gani usiyejua kutamka wala kuandika Hitler? Hitra ndio nani au mjombako wa Mugumu?
Nashukuru kwa hekima na busara zakoSidhani kama spelling za hilo jina ni kitu muhimu... hata mnyakyusa akiongea hapa hutaweza andika kwa ufasaha...
Kama tumemuelewa tunarekebisha alipokosea then tunajadili kinachoeleweka
asante mkuuNi Hitler mkuu..
Hitler ni jina linalochukiwa ujerumani...hakuna mtu yeyote anayeitwa Hitler ujerumani sasa!!..Sijawahi kuisikia ubini wa Hittler, au watoto na ndugu wameamua kuukana ukoo wake
hahaha atakuwa mjombake wa kemakorereWewe ni mpuuzi gani usiyejua kutamka wala kuandika Hitler? Hitra ndio nani au mjombako wa Mugumu?
Hitle aliuwawa nazani na dereva wake yeye hitle mwenyewe alitoa instructions na mwili wake ukachomwa moto badae warusi walikuja kuupata wakausafirisha kwa siri mpaka kwao alikufa yeye mkewe pamoja na watoto wake
Ka picha la kihindi tu, stelingi alifia kwenye mauaSamahani wadau ambao ni manguli wa historia, naomba mnipe ukweli kuhusu mwisho wa vita ya pili ya dunia na kifo cha adolph hitra na alizikwa wapi???
Nisaidieni hili
Hitle huyu si mwanzilishi wa snap chat aah dada au ulikua unamkusudia yule mmatumbiHitle aliuwawa nazani na dereva wake yeye hitle mwenyewe alitoa instructions na mwili wake ukachomwa moto badae warusi walikuja kuupata wakausafirisha kwa siri mpaka kwao alikufa yeye mkewe pamoja na watoto wake
ha ha ha ha ha wewe amini unachoamini mimi hii nimeona leo kwenye documentary national geographic