Ukweli kuhusu "Kaskazini kuendelezwa na Wanakaskazini"

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
26,053
33,907
"Mikoa ya Kaskazini iliendelezwa kwa juhudi ya Wanakaskazini"

Huo ni Ukweli unaoleta furaha kwa Wanakaskazini na Maumivu kwa wana mikoa mingine.

Nitaelezea kwa Ushahidi ulio wazi kabisaaa!

Kwanza msingi wa maendeleo ni ELIMU NA MAARIFA.

Ni wazi kuwa mikoa/makabila yenye wasomi wengi ni ile iliyowapokea wamissionary mapema na kuwakabidhi Ardhi. Katika hiyo ardhi kila walipojenga Kanisa basi walijenga na shule au hospitali nzuri.

Mikoa hiyo ni Kilimanjaro, Arusha, Kagera na Mbeya. Hiyo ilitokea hasa katika miaka ya 1885 - 1900

SASA TUKIACHA ERA HIYO:

Wananchi binafsi wa Arusha na Kilimanjaro wana spirit na asili ya utafutaji wa elimu na mali na Maendeleo kwa juhudi sana (Hustles indeed)

Mifano ifuatayo inathibitisha hayo:-

1) KUJALI ELIMU

Kufikia uhuru wa Tanzania, tayari Kilimanjaro ilikuwa na shule (Kongwe) zenye sekondari kabisa zaidi ya 38 na vyuo baadhi Shule hizo ni kama lyamungo, Majengo, Kleruu College, MUCCOBS, Marangu TC n.k

Hizo zilijengwa kwa juhudi ya Wazazi na chama kahawa KNCU

Arusha kulikuwa tayari na shule zilizojengwa kwa Juhudi za wazazi kama Moringe Sokoine, Mringa Middle School, Monduli TC (ingawa pia serikali iliweka nguvu), Arusha Sec.school, Ilboru Sec. School iliyojengwa pamoja na kanisa la KKKT mwaka 1904

Kwa kuwajuza zaidi Ilboru sec.school na kanisa la Ilboru zilijengwa na wanawake (wamama wa kimasai) kutoka Kimandolu, Levolosi na Ilboru yenyewe, na ushahidi upo.

Pia Chama cha kahawa ARCU ilichangia sana maendeleo ya Arusha.

- Miji midogo wakati huo kama Monduli, Marangu, Machame, Ilboru na Akheri zilijengwa na juhudi ya wazee wa huko.

* Mfano tu, Monduli iliamuliwa kuwa mji mahali ilipo na Wazee wachache wa monduli akiwepo Sokoine.

Can you imagine mwaka 1970 tayari Sokoine alishaanzisha jengo kubwa kuwa Halmashauri ya Monduli kabla hata serikali haijaamua halmashauri iwe wapi.

Kina Lowassa na wengine walikuja tu kuendeleza zaidi.

* Kwa Upande wa Kilimanjaro, hasa Marangu akina Mareale walikuwa Mbali tu kiasi cha kuweza kujiongoza bila serikali ya JMT.

Mji wa Moshi ulikuwa mbaali kimaendeleo siku nyingi.

2) UHUSIANO WA KARIBU WA WANAKASKAZINI

Kingine kilichoiendeleza Kaskazini ni Interaction ya kuoana watu wa Kilimanjaro na wenyeji wa Arusha mjini, kwani wali utilize ardhi vizuri kuanzia enzi na enzi.

(Hata leo hii ukichunguza utagundua watoto wengi wa familia hizo ndio wamejaa serikalini, kwenye migodi ya madini, biashara n.k)

3) KUTOKUTEKWA NA USHIRIKINA

Wanakaskazini hawana asili ya "Ushirikina" na ukisikia mchaga, mmasai ama mwarusha analoga basi ujue amenunua uchawi.

Hakuna uchawi wa kutumia paka, Jini au Vifuu bila faida yoyote.

Mikoa kama Tabora chini ya machifu wao walipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo kama alivyofanya chief fundikira (wajomba wa Samwel Sitta) na matunda yanaonekana hadi kuwasomesha akina Samwel Sitta (Hayati)

Mikoa mingine imekuja kuamshwa na hizi shule za kata, halafu inalialia kuwa Kaskazini inapendelewa.

Wengine Dini zao ziliwanyima Fursa ya kuishika Elimu dunia leo wanalialia na kuikumbatia elimu dunia.

Kumbukeni...Azimio la Arusha likija Arusha tyr Arusha ilikuwa na majengo makubwa na shule za kuwatosha watoto wa Chuga.

Someni Historia, Fanyeni tafiti kabla ya kuanza kulialia.
 
"Mikoa ya Kaskazini iliendelezwa kwa juhudi ya Wanakaskazini"

Huo ni Ukweli unaoleta furaha kwa Wanakaskazini na Maumivu kwa wana mikoa mingine.

Nitaelezea kwa Ushahidi ulio wazi kabisaaa!

Kwanza msingi wa maendeleo ni ELIMU NA MAARIFA.

Ni wazi kuwa mikoa/makabila yenye wasomi wengi ni ile iliyowapokea wamissionary mapema na kuwakabidhi Ardhi. Katika hiyo ardhi kila walipojenga Kanisa basi walijenga na shule au hospitali nzuri.

Mikoa hiyo ni Kilimanjaro, Arusha, Kagera na Mbeya. Hiyo ilitokea hasa katika miaka ya 1885 - 1900

SASA TUKIACHA ERA HIYO:

Wananchi binafsi wa Arusha na Kilimanjaro wana spirit na asili ya utafutaji wa elimu na mali na Maendeleo kwa juhudi sana (Hustles indeed)

Mifano ifuatayo inathibitisha hayo:-

1) KUJALI ELIMU

Kufikia uhuru wa Tanzania, tayari Kilimanjaro ilikuwa na shule (Kongwe) zenye sekondari kabisa zaidi ya 38 na vyuo baadhi Shule hizo ni kama lyamungo, Majengo, Kleruu College, MUCCOBS, Marangu TC n.k

Hizo zilijengwa kwa juhudi ya Wazazi na chama kahawa KNCU

Arusha kulikuwa tayari na shule zilizojengwa kwa Juhudi za wazazi kama Moringe Sokoine, Mringa Middle School, Monduli TC (ingawa pia serikali iliweka nguvu), Arusha Sec.school, Ilboru Sec. School iliyojengwa pamoja na kanisa la KKKT mwaka 1904

Kwa kuwajuza zaidi Ilboru sec.school na kanisa la Ilboru zilijengwa na wanawake (wamama wa kimasai) kutoka Kimandolu, Levolosi na Ilboru yenyewe, na ushahidi upo.

Pia Chama cha kahawa ARCU ilichangia sana maendeleo ya Arusha.

- Miji midogo wakati huo kama Monduli, Marangu, Machame, Ilboru na Akheri zilijengwa na juhudi ya wazee wa huko.

* Mfano tu, Monduli iliamuliwa kuwa mji mahali ilipo na Wazee wachache wa monduli akiwepo Sokoine.

Can you imagine mwaka 1970 tayari Sokoine alishaanzisha jengo kubwa kuwa Halmashauri ya Monduli kabla hata serikali haijaamua halmashauri iwe wapi.

Kina Lowassa na wengine walikuja tu kuendeleza zaidi.

* Kwa Upande wa Kilimanjaro, hasa Marangu akina Mareale walikuwa Mbali tu kiasi cha kuweza kujiongoza bila serikali ya JMT.

Mji wa Moshi ulikuwa mbaali kimaendeleo siku nyingi.

2) UHUSIANO WA KARIBU WA WANAKASKAZINI

Kingine kilichoiendeleza Kaskazini ni Interaction ya kuoana watu wa Kilimanjaro na wenyeji wa Arusha mjini, kwani wali utilize ardhi vizuri kuanzia enzi na enzi.

(Hata leo hii ukichunguza utagundua watoto wengi wa familia hizo ndio wamejaa serikalini, kwenye migodi ya madini, biashara n.k)

3) KUTOKUTEKWA NA USHIRIKINA

Wanakaskazini hawana asili ya "Ushirikina" na ukisikia mchaga, mmasai ama mwarusha analoga basi ujue amenunua uchawi.

Hakuna uchawi wa kutumia paka, Jini au Vifuu bila faida yoyote.

Mikoa kama Tabora chini ya machifu wao walipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo kama alivyofanya chief fundikira (wajomba wa Samwel Sitta) na matunda yanaonekana hadi kuwasomesha akina Samwel Sitta (Hayati)

Mikoa mingine imekuja kuamshwa na hizi shule za kata, halafu inalialia kuwa Kaskazini inapendelewa.

Wengine Dini zao ziliwanyima Fursa ya kuishika Elimu dunia leo wanalialia na kuikumbatia elimu dunia.

Kumbukeni...Azimio la Arusha likija Arusha tyr Arusha ilikuwa na majengo makubwa na shule za kuwatosha watoto wa Chuga.

Someni Historia, Fanyeni tafiti kabla ya kuanza kulialia.


Asante sana kwa uchambuzi makini wenye mashiko. Ni vema kabla mtu hajarusha lawama akakaa chini na kutafakari badala ya kuibuka na kudai kaskazini inapendelewa. Watu wajue kuwa siku zote wenyeji wa kaskazini sio watu wa kuendekeza majungu na upigaji porojo. Sio watu wa kukaa kufuatilia maisha ya wengine, bali kila mtu yuko bize kuangalia maisha yake na maendeleo ya familia yake. Kipimo cha kuitwa "mpuuzi" kwa Arusha na Kilimanjaro ni kuishi kwa kufuatilia maisha ya watu na kuacha kujishughulisha na masuala yenye tija.
 
mimi sio wa kaskazini,lakini sio siri napenda spirit ya watu wa kaskazini mwa Tz ktk kutafuta maendeleo.pia nakuwa inspired na spirit ya wahaya ktk kutafuta elimu.

huu ni mtizamo wangu,simlazimishi mtu yoyote asiye wa kaskazini kukubaliana nami.
 
Sometimes nasema acha Magufuri ashift the york to lake zoners nao wafaidi mema ya nchi hii baada ya miaka mingi.

Miaka nenda rudi northerners wameinflitrate umafia wao serikalini na kua na nguvu ya ushawishi sehemu muhimu za uchumi wa nchi hivyo kasikazini ikawa inapendelewa katka kila kitu, kuanzia wakati waziri mkuu akiwa msuya akapeleka umeme huko kwao milimani na porini hata hakuna watu, akaja sumaye, Lowassa nk.

Ukija kwa mawaziri wa fedha kina mramba ambao walijaza wakaskazini BOT, TRA, wizara ya fedha kwa kigezo kua wao tu ndio wamesoma mambo ya biashara.

Nimeshangaa watu wanamshambulia Magu kujenga Uwanja wa ndege wa kimataifa chato ila wakasahau ya kina msuya kupelekea nyani umeme miaka hiyo huko milimani, Kwenye rasilimali za nchi hii lake zone ni tajiri kuliko kasikazini.
Ktk post yote umenifurahisha hapo uliposema marangu(wachaga)waliweza kujiongoza bila JMT.Niliwahi kusikia wachaga walikuwa na Rais wao na serikali yao je hii ni kweli?Nijibu ili niendelee kudadisi
 
lami hadi machame
 

Attachments

  • IMG_20161226_163240.jpg
    IMG_20161226_163240.jpg
    177.2 KB · Views: 68
Faida za elimu bure ni kuigeuza Tanzania yote kuwa ni nchi yenye watu wenye kuweza kuhoji.

Siku zote maendeleo huja ikiwa watu wanaanza kuhoji mambo wanayoyaona yakitokea. Na huwezi kuhoji ukaeleweka kama huna elimu.

Tanzania ya miaka 15 ijayo itakuwa na usawa mkubwa sana kimaendeleo, kila ambapo kutafikiwa na elimu, maana yake uwezo wa fikra unakuwa umetajirishwa. Ukishatajirishwa basi kuwepo kwa vitu kama barabara za lami, umeme na maji safi, ni vitu ambavyo upatikanaji wake ni suala la muda tu.
 
Wale kina mama wa kimasai waliojenga Ilboru Sec na Kanisa ambao sasa hivi kama wapo hai watakuwa na miaka kuanzia 105 ,kizazi chao kilijulikana kama kina mama wa matofali

R.I.P wote waliotangulia mbele za haki
Mkuu funguka kidogo. Ofcourse mimi nakubaliana hilo, mikoa mingine wivu ni tatizo. Familia nyingi sana mikoa ya kanda ya ziwa zimeteketea kwa sababu eti walisomesha. Northerners mimi sina tatizo nao kabisa, na ninasema kama rais wa awali angekuwa ni northerner nadhani tungekuwa na uchumi bora ulioimarika kwa sababu ya shauku ya northerners ya maendeleo. Ila kwa sasa naamini serikali ya awamu ya 5 haiwezi kupendelea kabisa, inatenda haki kila kanda
 
Sometimes nasema acha Magufuri ashift the york to lake zoners nao wafaidi mema ya nchi hii baada ya miaka mingi.

Miaka nenda rudi northerners wameinflitrate umafia wao serikalini na kua na nguvu ya ushawishi sehemu muhimu za uchumi wa nchi hivyo kasikazini ikawa inapendelewa katka kila kitu, kuanzia wakati waziri mkuu akiwa msuya akapeleka umeme huko kwao milimani na porini hata hakuna watu, akaja sumaye, Lowassa nk.

Ukija kwa mawaziri wa fedha kina mramba ambao walijaza wakaskazini BOT, TRA, wizara ya fedha kwa kigezo kua wao tu ndio wamesoma mambo ya biashara.

Nimeshangaa watu wanamshambulia Magu kujenga Uwanja wa ndege wa kimataifa chato ila wakasahau ya kina msuya kupelekea nyani umeme miaka hiyo huko milimani, Kwenye rasilimali za nchi hii lake zone ni tajiri kuliko kasikazini.
Una matatizo si bure

Kawawa alikuwa wapi asipeleke maendeleo?

Je Pinda alikuwa wapi?
 
Kama mkuu alivyo elezea kupitia tafiti yake... Mimi ni mkazi wa kaskazini na ofcoz nimetembelea mikoa mingi nchini mikoa ya pwani na kanda ya ziwa tofauti ya IQ za watu wa mikoa hii ukilinganisha na kaskazini kiujumla.. Watu wa mikoa iyo upenda kuridhika wanaridhika na hata maendeleo kidogo bt northern we didn't.. Alaf Mikoa ya Arusha na moshi ofcoz Arusha tuna infraction na wakenya so many ideas of life we share mfano kama mm ni mmasai bt ninandugu zangu wanaishi Kenya na kule ni wazawa wa uko so watu wengi wa kaskazini wana ndugu na wakenya dat why we share some ideas to use our brain to make a better day...
 
Naona mashambulizi kwa sisi "Northeners" yanazidi kushamiri. Sitetei ukanda ila ni muhimu kwetu kama Wakaskazini kuwa wamoja zaidi kuliko kipindi chochote bila kujali dini na makabila yetu huku. Ni vyema tuzidi kushirikiana na kusaidiana inapobidi, tusiangalie huyu ni mchaga, muarusha, mmeru,mmasai,mpare,muiraqw,Msonjo, wasambaa, wadigo nk. Tuendelee kushikamana na kuendelea kujazana spirit ya maendeleo.
Si lengo langu kutenga kanda zingine, ila wanaonekana wazi kuwa na chuki za wazi kwa kanda yetu hii.
 
Ktk post yote umenifurahisha hapo uliposema marangu(wachaga)waliweza kujiongoza bila JMT.Niliwahi kusikia wachaga walikuwa na Rais wao na serikali yao je hii ni kweli?Nijibu ili niendelee kudadisi
Fuatilia historia vizuri kabla ya uhuru wa Tanganyika wakati Nyerere alipoenda UN kutafuta uhuru wa Tanganyika alionana na Mareale akiwa UN pia kutafuta uhuru wa eneo lake lakini Nyerere alimzidi ujanja akadai kuwa uhuru anaoutafuta unahusisha hata eneo lake (Mareale), hivyo uhuru ukatolewa mmoja kwa Tanganyika badala ya nchi mbili. Baada ya hapo ili kuondoa mgongano Nyerere alimpeleka UK kuendeleza maisha huko ili asilete chokochoko.
Maendeleo yalikuwa Moshi kwa muda mrefu sana kabla ya uhuru. Ukifuatilia utakuta kuwa hata ikulu ya Moshi ilijengwa kabla ya ile ya Dar (Walikuwa wamejipanga mapema kuwa nchi).
Ukweli watu hii kaskazini Moshi-Arusha wanapenda kwao sana na wanajijali, %ge kubwa ni wajanja kubwa (comparatively); naturally aliyekuzidi amekuzidi tu, kumfikia wewe uliyechelewa kwa sababu moja au nyingine, uwezekano upo but siyo kwa majungu na kupiga domo but kutambua udhaifu wako na kujipanga bila kinyongo. Ukianza wivu na kulipiza visasi hutafika popote ila utaambulia vumbi tu na watu wako kama unao!
Kama unafuatilia historia pia eitha wajua aua hujui tafuta facts kuhusu Dodoma.
Nitakumegea kidogo:- Nyerere alimpa jukumu Malecela kuendeleza Dodoma ili iwe makao makuu mapema sana akidhani kuwa kwa sababu ilikuwa kwao angefanya vizuri but outcome siri anaijua Malecela mwenye alivyo mdisappoint Mzee mwenzake na ninadhani it was a serious disappointment ilyofanya mpango wa Nyerere kuhamia Dom kuwa kama ulivyokuwa.
Mambo ni mengi yanayofanya maeneo mbalimbali ya nchi yetu kuwa na tofauti kimaendeleo. Zipo issue za kisiasa, kidini(aina ya misionaries walioingia eneo husika na namna walivyopokelewa), location, nk
Sorry nimeandikannikiwa sijatulia sana!!!
Itaendelea...
 
Fuatilia historia vizuri kabla ya uhuru wa Tanganyika wakati Nyerere alipoenda UN kutafuta uhuru wa Tanganyika alionana na Mareale akiwa UN pia kutafuta uhuru wa eneo lake lakini Nyerere alimzidi ujanja akadai kuwa uhuru anaoutafuta unahusisha hata eneo lake (Mareale), hivyo uhuru ukatolewa mmoja kwa Tanganyika badala ya nchi mbili. Baada ya hapo ili kuondoa mgongano Nyerere alimpeleka UK kuendeleza maisha huko ili asilete chokochoko.
Maendeleo yalikuwa Moshi kwa muda mrefu sana kabla ya uhuru. Ukifuatilia utakuta kuwa hata ikulu ya Moshi ilijengwa kabla ya ile ya Dar (Walikuwa wamejipanga mapema kuwa nchi).
Ukweli watu hii kaskazini Moshi-Arusha wanapenda kwao sana na wanajijali, %ge kubwa ni wajanja kubwa (comparatively); naturally aliyekuzidi amekuzidi tu, kumfikia wewe uliyechelewa kwa sababu moja au nyingine, uwezekano upo but siyo kwa majungu na kupiga domo but kutambua udhaifu wako na kujipanga bila kinyongo. Ukianza wivu na kulipiza visasi hutafika popote ila utaambulia vumbi tu na watu wako kama unao!
Kama unafuatilia historia pia eitha wajua aua hujui tafuta facts kuhusu Dodoma.
Nitakumegea kidogo:- Nyerere alimpa jukumu Malecela kuendeleza Dodoma ili iwe makao makuu mapema sana akidhani kuwa kwa sababu ilikuwa kwao angefanya vizuri but outcome siri anaijua Malecela mwenye alivyo mdisappoint Mzee mwenzake na ninadhani it was a serious disappointment ilyofanya mpango wa Nyerere kuhamia Dom kuwa kama ulivyokuwa.
Mambo ni mengi yanayofanya maeneo mbalimbali ya nchi yetu kuwa na tofauti kimaendeleo. Zipo issue za kisiasa, kidini(aina ya misionaries walioingia eneo husika na namna walivyopokelewa), location, nk
Sorry nimeandikannikiwa sijatulia sana!!!
Itaendelea...
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Fuatilia historia vizuri kabla ya uhuru wa Tanganyika wakati Nyerere alipoenda UN kutafuta uhuru wa Tanganyika alionana na Mareale akiwa UN pia kutafuta uhuru wa eneo lake lakini Nyerere alimzidi ujanja akadai kuwa uhuru anaoutafuta unahusisha hata eneo lake (Mareale), hivyo uhuru ukatolewa mmoja kwa Tanganyika badala ya nchi mbili. Baada ya hapo ili kuondoa mgongano Nyerere alimpeleka UK kuendeleza maisha huko ili asilete chokochoko.
Maendeleo yalikuwa Moshi kwa muda mrefu sana kabla ya uhuru. Ukifuatilia utakuta kuwa hata ikulu ya Moshi ilijengwa kabla ya ile ya Dar (Walikuwa wamejipanga mapema kuwa nchi).
Ukweli watu hii kaskazini Moshi-Arusha wanapenda kwao sana na wanajijali, %ge kubwa ni wajanja kubwa (comparatively); naturally aliyekuzidi amekuzidi tu, kumfikia wewe uliyechelewa kwa sababu moja au nyingine, uwezekano upo but siyo kwa majungu na kupiga domo but kutambua udhaifu wako na kujipanga bila kinyongo. Ukianza wivu na kulipiza visasi hutafika popote ila utaambulia vumbi tu na watu wako kama unao!
Kama unafuatilia historia pia eitha wajua aua hujui tafuta facts kuhusu Dodoma.
Nitakumegea kidogo:- Nyerere alimpa jukumu Malecela kuendeleza Dodoma ili iwe makao makuu mapema sana akidhani kuwa kwa sababu ilikuwa kwao angefanya vizuri but outcome siri anaijua Malecela mwenye alivyo mdisappoint Mzee mwenzake na ninadhani it was a serious disappointment ilyofanya mpango wa Nyerere kuhamia Dom kuwa kama ulivyokuwa.
Mambo ni mengi yanayofanya maeneo mbalimbali ya nchi yetu kuwa na tofauti kimaendeleo. Zipo issue za kisiasa, kidini(aina ya misionaries walioingia eneo husika na namna walivyopokelewa), location, nk
Sorry nimeandikannikiwa sijatulia sana!!!
Itaendelea...
Ahsante kwa ufafanuzi mzuri.Nilikuwa najiuliza kwanini asilimia kubwa ya wenyeviti wa vyama vya siasa ni wachaga?Kumbe wanaendeleza pale Mareale alipoishia na kila december ni lazima kuizuru nchi yao kupata baraka.Sasa mtadai tena uhuru au mmesharidhika na shamba la bibi?!!
 
Back
Top Bottom