Ukweli kuhusu formula ya maisha na mafanikio

Yuko correct sana. Mtu aliyezaliwa kwenye familia yenye uwezo yuko most likely kufanikiwa. Ndiyo maana wao watu wengi kwenye nchi za Afrika, wana uwezo mkubwa wa akili, lakini hawakuwa na uwezo wa fedha wa kujiendeleza kimasomo au kibiashara.
Sasa kama mtu kazaliwa kwenye familia yenye uwezo atakuwa likely kufanikiwa kwenye nini? nakati mtu huyo tayari kazaliwa kwenye mfumo wa mafanikio
 
Hii mada inabidi iende jukwaa la intelligence maana ni pana sana anyway ili kukuza awareness kwenye maswala ya spiritual soma vitabu hivi
~The secret cha Rhonda byren,
~ Seven spiritual law of success cha deepak chopra
~Creative visualization by Shakti Gawain

Unaweza kuanzia na hivyo
Viweke hapa tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiisoma LAW OF CAUSE AND EFFECT ukaielewa vilivyo, halafu UKASOMA VITABU VYA LUCIFERIANISM ukavielewa, NAKUHAKIKISHIA utaacha kuishi maisha YA KU-WISH na Kuanza kuishi MAISHA YA KU-CAUSE AND INFLUENCE RESULTS (CHANGE)
Kwa maneno yako haya mr, Kizibo nimekuelewa vizuri mno

Hapo kwa walio wengi ndo wanapoanzia kufeli na ni kwa 7bu ya ubishi wao tu
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa. Wengi tunahangaika kutafuta mafanikio na vitu nje ilihali nguvu ya kuvivuta hivyo vitu tayari ipo ndani (spiritual power).

Halafu lile kundi linalotazama tu bila kuelewa vitu kama hivi wanakomaa kusema flani ana bahati.

It's not luck!!

Umenigusa sana mkuu. Nimekuwa mtu wa kuitabiri future yangu tokea nikiwa young na mambo kutokea kama ninavyotamka.

Spiritual power
Intelligence
Hardwork

Ukiwa vizuri spiritual power na intelligence, huwa hauhitaji Ile Hardwork ya kupitiliza. Unaweza fanya jambo dogo la kawaida likakuletea pesa siyo ya kawaida.
Kumbe watu wenye uwanda mpana wa mawazo msha kuona hili big up sana mkuu
 
nilivyo soma hayo mambo matatu nimekuja huku maana hakuna anae fikiria hivyo huwa natafuta watu wa namna hii
 
Light can't exist without darkness, but darkness exists without light. That's why, wherever you remove light darkness takes it's place. This meant that, light comes to balance darkness in nature not to remove it
Nimekuelewa sana
 
Uliza huku maswali
Hii mada nimeisoma Mara nyingi lakini bado sijaielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiisoma LAW OF CAUSE AND EFFECT ukaielewa vilivyo, halafu UKASOMA VITABU VYA LUCIFERIANISM ukavielewa, NAKUHAKIKISHIA utaacha kuishi maisha YA KU-WISH na Kuanza kuishi MAISHA YA KU-CAUSE AND INFLUENCE RESULTS (CHANGE)
Kizibo unaonekana unamambo mazito sana ila unashindwa pa kuanzia kuyatelemsha hapa.
 
#19 Nakumbuka mwaka 2003 mdogo wangu alipata division 1 point 8....mshua alifurahi sana sana...cha ajabu alikataa kuendelea na shul ...huku na huku vikao vingi kwake mpaka wazee wa kanisa, kachomoa hataki shule....akafukuzwa dogo kakimbilia zambia baadae congo... kwa sasa ni muuza madini na anatenda za machinery aina mbal mbal nchin zambia na congo... Mm nina degree Mavi matupu nimebaki baraka ya kumuomba omba pesa mara ooh dogo mara vile .....na mwakan anasema anarudi shule sema atasomea marekani maisha haya acha tu..........
 
Bahati ni "mazingira" --- familia yenye kipato, upendo home, shule bora, jamii yenye mwamko, walimu bora, vifaa shuleni, taifa lililotulia katika amani na usalama, uhakika wa ajira ama kujiajiri huko mbeleni, malezi mazuri, afya, na kadhilika.
Sasa nimegundua tatizo lako kama hujalewa bc acha mara moja matumizi mabaya ya kichwa sasa kama hiyo ndo maana ya bahati na sisi watoto wa makapuku tulofanikiwa tusemeje aseeee tumia kichwa au kaa tu kmya ucje onekana hayawan
nilivyo soma hayo mambo matatu nimekuja huku maana hakuna anae fikiria hivyo huwa natafuta watu wa namna hii
Sisi tupo mkuu karibu tuchanganue mambo kwa kina
 
Sasa kama mtu kazaliwa kwenye familia yenye uwezo atakuwa likely kufanikiwa kwenye nini? nakati mtu huyo tayari kazaliwa kwenye mfumo wa mafanikio
Kuna watu wengi sana wanazaliwa kwenye familia za kitajiri lakini maisha yao yanakuwa TOTAL FAILURE -- wengine wanaishia kwenye rehabilitation centres, wengine magerezani, nk
 
Mleta mada Nina maswali mengi kutokana na hoja zako ila kwa Sasa naomba nikuulize swali moja tu,
 
Kuna watu wengi sana wanazaliwa kwenye familia za kitajiri lakini maisha yao yanakuwa TOTAL FAILURE -- wengine wanaishia kwenye rehabilitation centres, wengine magerezani, nk
Ni kweli ila bado sijaelewa hoja yako inasimamia wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom