G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,560
- 8,425
Mleta mada analeta mada ya kipumbavu kakaa kwa kufikiria upumbavu wake kisha akaleta hapa jukwaani analeta hoja pasipo na una ushahid wowote ndio maana nikamjibu analeta hoja za Ki Shetani na mimi nimemjibu kishetani shetani anasema hivi Mungu ni wewe mwenyewe iweje wewe binadamu ugeuke kuwa mungu? kwani mungu anakufa? kama wanavyokufa bindamu? mleta hoja hafikirii kitu cha kusema mpaka akaamuwa kujiita yeye mwenyewe ni mungu kam sio ushetani ni kitu gani?
Duh! Basi msamehe bule bwana,yamkini na yeye ndo imani yake au kajifikirisha