Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,196
- 2,151
Vipi ile ya Elon Musk kuvuta bangi kwenye interview stock zikashuka. Hii ilikuaje?
Ukijua utapata faida gan?Natamani kujua kwanini CR7 alitoa soda mezani
Kaa kushoto mbwa wewe kama umeweza kumfananisha mwendazake na ...Ukijua utapata faida gan?
Huu uchambuzi ungetolewa walau siku 1 baada ya tukio ingepeza zaidi...Kaa kushoto mbwa wewe kama umeweza kumfananisha mwendazake na ...
Ndo ulivyofundishwa kujibu wakubwa hivo?Kaa kushoto mbwa wewe kama umeweza kumfananisha mwendazake na ...
Itakuwa kubwa jinga weweNdo ulivyofundishwa kujibu wakubwa hivo?
Takes one to know oneItakuwa kubwa jinga wewe
Anahamasisha ulaji bora. Jamaa aliwah kusema huwa haruhusu mtoto wake anywe coca.Natamani kujua kwanini CR7 alitoa soda mezani
Elon musk si ni CEO wa Tesla na share zilizoshuka zilikua ni za Tesla, so connection hapo iko wazi kabisa.Vipi ile ya Elon Musk kuvuta bangi kwenye interview stock zikashuka. Hii ilikuaje?
Mashabiki wa CR ni watu wa ovyo sana, hawana tofauti na mashabiki wa Sadala, kwa kifupi wengi wao ni mashabiki haohao.
mashabiki wa benzema lazima wamchukie Cr7 alimpoteza sana kijeba
Punguza kiherehere Dada, Ndege vipi ishaindoka kuelekea Lisbon?
Punguza kiherehere shosti ndege inamsubiri benzema
Benzema ni moja striker bora kwenye Dunia kwa sasa, acha kumlinganisha na mviziaji wa Penalty
Hadi muda huu kamzidi goli ngapi Cr7 hapo euro?