ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,085
- 3,434
Salaam wana jf.
Napenda kujua kama kuna ukweli wowote kuhusu mdada kutoruhusiwa kutumia vidonge ama sindano za kuzuia kushika mimba (uzazi wa mpango) mpaka awe tayari ameshajifungua at least mara moja.
Je kuna athari zipi ataweza zipata kama atatumia njia?
Nina mpenzi wangu nilimshauri atumie hizo vitu ili kujikinga na mimba tusozitegemea but kila alipoenda aliulizwa kua ashawahi jifungua alipojibu hapana. Hawakumruhusu kutumia hizo vitu.
Napenda kujua kama kuna ukweli wowote kuhusu mdada kutoruhusiwa kutumia vidonge ama sindano za kuzuia kushika mimba (uzazi wa mpango) mpaka awe tayari ameshajifungua at least mara moja.
Je kuna athari zipi ataweza zipata kama atatumia njia?
Nina mpenzi wangu nilimshauri atumie hizo vitu ili kujikinga na mimba tusozitegemea but kila alipoenda aliulizwa kua ashawahi jifungua alipojibu hapana. Hawakumruhusu kutumia hizo vitu.