Nimeona wahanga wengi wakisema walifunguliwa na wasaidizi, Hilo likapelekea niweze kuhusu uwezekano wa kasia kuvunja mlango. Kumbuka mlango unafungwa kutoka nje. Hivyo resistance ni kubwa kama unagongwa kwa nje.
NB: Sitaki kubeza jitihada za Majaliwa bali kama binadamu mwenye akili timamu lazima nievaluate ninayoambiwa.
NB: Sitaki kubeza jitihada za Majaliwa bali kama binadamu mwenye akili timamu lazima nievaluate ninayoambiwa.