NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 407
Ukweli ni kuwa JK alikutana na 50 cent katika mkutano wa UN wa ''every woman,every child milenium Development Goals'' na kama ambavyo 50 cent ameanzisha taasisi ya kusaidia tatizo la njaa kwa watoto Afrika. Kwa hiyo nadhani ilikuwa ni kukutana kwao tu,ndio kulipelekea kupiga kwao picha ya pamoja. Na 50 cent alipost picha hiyo katika account yake ya twitter.
Zaidi tembelea www.raprid.com
Zaidi tembelea www.raprid.com