Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,497
- 15,756
Ufinyu wa akili.kama mtu ametoka nje na anafanya kazi ya kukuletea maendeleo kuna ubaya gani?Hii jamii imejipenyeza sana nchini..na ni wajanja linapokuja suala la uraia,wanapenda watambulike ni wabongo huku mioyo yao iko kwa RPF
hawana tofauti na wahindi walivyo kwenye uchumi;wao wamejikita kwa utumishi na utawala
wapo kama hawapo vile
Sent using Jamii Forums mobile app