Ukweli juu ya Uraia wa Emmanuel Papian, Mbunge wa Kiteto

huyo msubi tu, sura walagaleo. Mimi pia msubi wa biharamulo lakini naweza ongea kisukuma, kiha, kisubi na kihaya vzr.


sasa leteni ubaguzi wenu wa kipumbavu kama mtaweza, mlipaswa kubagua 1960's lakini kufikia 2030 kuna chotara wa kichina watakuwa walimu, polisi, wakulima, wafugaji nk wa nchi hii.

hapa kijiji ninachoishi mkoani shinyanga kuna madogo wawili wa kichina wanaongea kisukuma vzr na wapo std 3 Na 6 hawa utawatengaje wakati mama yao ni mnyantuzu wa Meatu na baba yao mchina?


hata dada mmoja wapo wa "malaika mkuu mtarajiwa" amezaa Na mchina ndo maana anawakubali sana shemela zake kina Zee Njee Lee.
 
Nchi nyingi sana duniani zina wahamiaji ambao wanafanya makubwa kuliko hata hao wanaojiita wazawa au wenye nchi
Ni Africa tu ndio utakuta watu wana baguana kwa ukabila na huo ni ujinga.

Mataifa mengi yameendelea kwa kukaribisha watu kutoka nchi zingine na wengi wamekuja na idea za biashara kutoka kwao na kuishi kwa mapenzi yote

Kama mtu hajavunja sheria kwanini tuwe na roho mbaya kiasi hiki?
Wengi sana na % kubwa ya watu ancestry zao sio hapa bali wametoka nchi jirani.

Bila mtaliani tusingejua spaghetti


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Hii jamii imejipenyeza sana nchini..na ni wajanja linapokuja suala la uraia,wanapenda watambulike ni wabongo huku mioyo yao iko kwa RPF

hawana tofauti na wahindi walivyo kwenye uchumi;wao wamejikita kwa utumishi na utawala

wapo kama hawapo vile







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau wa JF siasa.

Kumekuwa na vuguvugu la muda mrefu wilayani Kiteto mkoa wa Manyara kuwa Mbunge wao sio raia wa nchi hii na ana asili kutoka Rwanda.

Vuguvugu hili lilibuka tangu siku nyingi Mbunge huyu akiwa kada mtiifu wa CCM akihangaikia ubunge huku akiwa AFISA KILIMO wa kata moja wilayani kiteto.

Kifupi Mheshimiwa Emmanuel Papian ni mtu wa watu mwenye kupenda watu na hujichanganya sana. Yeye anadai ni mwenyeji wa Kagera kutoka ktk jamii ya wasubi na alikuja kiteto akiwa kijana mdogo akiwa mtumishi wa Umma. Baada ya kuwa na nyota ya kupendwa tena mbali na asili yake ya huko Magharibi mwa nchi alijitosa ktk siasa za kiteto na anaipenda kiteto kuliko chochote.

Wenye chuki naye wanadai sio raia bali alitokana na kambi za wakimbizi huko kagera akiwa miongoni mwa walionufaika na huruma ya Mwl Nyerere ya kuwasaidia na kuwapa uraia watu wa nchi jirani wataabikao na misukosuko ya kisiasa huko kwao.

Hivyo wenye chuki na Mheshimiwa Papian, Munge wa Kiteto CCM, wapuuzwe .
Inaonekana na wewe ni mmoja wa wenye chuki na huyu mheshimiwa.
 
Habari wadau wa JF siasa.

Kumekuwa na vuguvugu la muda mrefu wilayani Kiteto mkoa wa Manyara kuwa Mbunge wao sio raia wa nchi hii na ana asili kutoka Rwanda.

Vuguvugu hili lilibuka tangu siku nyingi Mbunge huyu akiwa kada mtiifu wa CCM akihangaikia ubunge huku akiwa AFISA KILIMO wa kata moja wilayani kiteto.

Kifupi Mheshimiwa Emmanuel Papian ni mtu wa watu mwenye kupenda watu na hujichanganya sana. Yeye anadai ni mwenyeji wa Kagera kutoka ktk jamii ya wasubi na alikuja kiteto akiwa kijana mdogo akiwa mtumishi wa Umma. Baada ya kuwa na nyota ya kupendwa tena mbali na asili yake ya huko Magharibi mwa nchi alijitosa ktk siasa za kiteto na anaipenda kiteto kuliko chochote.

Wenye chuki naye wanadai sio raia bali alitokana na kambi za wakimbizi huko kagera akiwa miongoni mwa walionufaika na huruma ya Mwl Nyerere ya kuwasaidia na kuwapa uraia watu wa nchi jirani wataabikao na misukosuko ya kisiasa huko kwao.

Hivyo wenye chuki na Mheshimiwa Papian, Munge wa Kiteto CCM, wapuuzwe .
Hivi hao wenye chuki wamo If tu?
 
huyo msubi tu, sura walagaleo. Mimi pia msubi wa biharamulo lakini naweza ongea kisukuma, kiha, kisubi na kihaya vzr.


sasa leteni ubaguzi wenu wa kipumbavu kama mtaweza, mlipaswa kubagua 1960's lakini kufikia 2030 kuna chotara wa kichina watakuwa walimu, polisi, wakulima, wafugaji nk wa nchi hii.

hapa kijiji ninachoishi mkoani shinyanga kuna madogo wawili wa kichina wanaongea kisukuma vzr na wapo std 3 Na 6 hawa utawatengaje wakati mama yao ni mnyantuzu wa Meatu na baba yao mchina?


hata dada mmoja wapo wa "malaika mkuu mtarajiwa" amezaa Na mchina ndo maana anawakubali sana shemela zake kina Zee Njee Lee.
Hapo sasa
 
Mwafrika ana shida nyingi sana, na nyingi ya shida hizi zinashambulia ubongo wake. Nimefika Australia nikashangaa hawana kabila, bali kuna watu wanaosadikiwa kuwa ni wazawa wa pale (Aborigin) Canada na USA KADHALIKA, SWALI: hivi... Zungu, Idd Azan na Rostam ni Watanzania, je Leader Sterling na Amri Jamal walikuwa watanzania?
 
Wahaya wengi na makabila mengi UA mipakani wana asili ya nchi za jirani
Tuache kuwa na akili finyu watu wanataka maendeleo nyie mnaleta porojo. Lakini vyombo vichunguze kama siyo raia ilikuaje aingie mpaka kwenye utumishi wa umma kama afisa kilimo?
Hii tabia ya wanyarwanda wahamiaji kujiita wahaya mkome.
Huyu Papian ni mnyarwanda kabisa, ushahidi niliambiwa na nduguye ambaye ni rafiki yangu.
Muangalie vizuri tu wala sura yake haijifichi.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom