Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,204
- 12,700
Hakuna roho inayoendelea kuishi mtu akifa. Kwanza roho ya binadamu ni ile pumzi yake. Neno roho kwa kigiriki inaitwa pneuma ikimaanisha pumzi. Hilo ndilo limezaa neno pneumonia/nimonia.Mwanzo 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Ukiangalia ;
Mwanzo 1:27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mungu alianza kuumba roho , baada ya roho tunaona Mungu akafanya mwili wa mavumbi sasa, baadae Mungu akapulizia pumzi ya uhai, tunaona mtu akawa nafsi hai . Nafsi ni matokea ya Mwili na Roho kuwa na puzmia ya uhai ndio ikaja nafsi kwa kugha nyepesi kuna ufufuno wa nafsi baada ya hiyo acts. Ila tunaona mtu akifa, mwili hurudi mavumbini, roho na nafsi hutoki, vinaenda palipo na ( roho iliyokuwa iki zi control ), kama Roho Mtakatifu basi vitaenda paradise na kama roho zidanganyazo basi itaenda kwa hizo roho zidanganyazo. Nafai ni muhimu sana, dunia itakufaidi nini kama ukapata kila kitu ila nafsi ikaenda motoni