Uchaguzi 2020 Ukweli ambao wana CCM hawataki kuusikia: Magufuli hatashinda Urais Uchaguzi Octoba 2020

Niwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.

Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.

Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.

Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.

Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
2020 imeshatoka hiyo!
Kinachofanyika kwa sasa ni kutimiliza matakwa ya kisheria tu.
Watu wanaumiza kichwa watafanikiwaje kumshawishi aongezewe japo miaka mitano itakapofika 2025.
 
nliambiwa kuna mafuriko leo ya lissu ila nnachokiona apa, hmmm! cha msingi mjipange tu 2040 maaana jamaa lazima tumuongezee miaka 10 ingine
 
Niwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.

Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.

Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.

Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.

Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
Kwa tume hii; wapinzani hawapati kitu.
 
Kujenga barabara , kujenga flyover na madaraja sio kabisa kigezo cha kuchaguliwa kuwa rais na wananchi , wakoloni walifanya mambo makubwa zaidi ya hayo...Walichokosea wakoloni walikuwa hawawapi uhuru wananchi ,waliwatesa ,walipewa ajira za kitumwa(kulima plantations) etc

Wananchi wanataka uhuru ,kwasasa uhuru hakuna watu wanaogopa kuandika chochote kwenye mitandao ya kijamii maana kuna sheria kibao za kumziba mwananchi mdomo waliojaribu kusema waziwazi tumeona kina lissu walivyopigwa risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini ,tumeona wapinzani walivyofungwa etc

Kutawala bila kufuata katiba/sheria:- Tumeshuhudia mtu firani akitoa maneno ambayo yanaenda kinyume na katiba kuzuia mikutano ya kisiasa kwa wapinzani huku chama chake kikifanya siasa saa 24 huku kikilindwa na dola ,tumeshuhudia vyama vya upinzani vikinyanyaswa na mamlaka ya usajiri na hatujwahi kusikia hata siku moja SISIEMU kikiandikiwa barua na msajili kitoe maelezo.

Tumeona kwa miaka mi5 hakuna nyongeza yeyote ya mishahara kwa watumishi wa umma kinyume na sheria za kazi/utumishi wa umma unavyotaka kwamba mfanyakazi anakuwa entitled na nyongeza ya mishahara kila mwaka,tumeshuhudia watu wanapandishwa vyeo lakini hakuna nyongeza ya mshahara.

Uchumi kupiga mweleka,katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia uchumi wetu umeipga mweleka kwa kiwango cha SGR ,haihitaji rocket sayansi katika hili,maduka mengi yamefungwa ,biashara nyingi zimefungwa ,masoko ya bidhaa nje zimeshuka, uwekezaji umeshuka.

Kunayanyasa wafanyabiashara wakubwa:-Katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia wafanyabiashara wakubwa wakipitia kwenye mkono wa chuma ,Mo kutekwa na genge la Bashite na kisa kuchotwa mabilioni kama ransom ,tumeshuhudia manji kufungwa na figisu za hapa na pale mpaka kupelekea Qaulity Group kuwa magofu ya kale na soko la mbaazi kushuka kutoka elfu 3 kwa kilo mpaka Tsh 100 , Lema Northern engineering alifungwa tu baada ya mtu kurani kuingia madarakani na kuchotwa mipesa.

Mambo ni mengi sana tunayaacha kwenye kampeni kupiga pini pesa za nssf/ppf ,kuweka kikotoo kipya etc ukifanya mambo ya hovyo yanayoguza/athiri maisha ya wananchi hakika hakuna atakayekupenda hata ujenge lami hadi milangoni na flyover hadi chumbani.
Umeandika kwa uchungu mkubwa na kila ulichokiandika kina ukweli wa asilimia million mia
 
Kujenga barabara , kujenga flyover na madaraja sio kabisa kigezo cha kuchaguliwa kuwa rais na wananchi , wakoloni walifanya mambo makubwa zaidi ya hayo...Walichokosea wakoloni walikuwa hawawapi uhuru wananchi ,waliwatesa ,walipewa ajira za kitumwa(kulima plantations) etc

Wananchi wanataka uhuru ,kwasasa uhuru hakuna watu wanaogopa kuandika chochote kwenye mitandao ya kijamii maana kuna sheria kibao za kumziba mwananchi mdomo waliojaribu kusema waziwazi tumeona kina lissu walivyopigwa risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini ,tumeona wapinzani walivyofungwa etc

Kutawala bila kufuata katiba/sheria:- Tumeshuhudia mtu firani akitoa maneno ambayo yanaenda kinyume na katiba kuzuia mikutano ya kisiasa kwa wapinzani huku chama chake kikifanya siasa saa 24 huku kikilindwa na dola ,tumeshuhudia vyama vya upinzani vikinyanyaswa na mamlaka ya usajiri na hatujwahi kusikia hata siku moja SISIEMU kikiandikiwa barua na msajili kitoe maelezo.

Tumeona kwa miaka mi5 hakuna nyongeza yeyote ya mishahara kwa watumishi wa umma kinyume na sheria za kazi/utumishi wa umma unavyotaka kwamba mfanyakazi anakuwa entitled na nyongeza ya mishahara kila mwaka,tumeshuhudia watu wanapandishwa vyeo lakini hakuna nyongeza ya mshahara.

Uchumi kupiga mweleka,katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia uchumi wetu umeipga mweleka kwa kiwango cha SGR ,haihitaji rocket sayansi katika hili,maduka mengi yamefungwa ,biashara nyingi zimefungwa ,masoko ya bidhaa nje zimeshuka, uwekezaji umeshuka.

Kunayanyasa wafanyabiashara wakubwa:-Katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia wafanyabiashara wakubwa wakipitia kwenye mkono wa chuma ,Mo kutekwa na genge la Bashite na kisa kuchotwa mabilioni kama ransom ,tumeshuhudia manji kufungwa na figisu za hapa na pale mpaka kupelekea Qaulity Group kuwa magofu ya kale na soko la mbaazi kushuka kutoka elfu 3 kwa kilo mpaka Tsh 100 , Lema Northern engineering alifungwa tu baada ya mtu kurani kuingia madarakani na kuchotwa mipesa.

Mambo ni mengi sana tunayaacha kwenye kampeni kupiga pini pesa za nssf/ppf ,kuweka kikotoo kipya etc ukifanya mambo ya hovyo yanayoguza/athiri maisha ya wananchi hakika hakuna atakayekupenda hata ujenge lami hadi milangoni na flyover hadi chumbani.

Uhuru unaouzungumzia wewe hapa ni ule ya kwamba wa kuwaachia mbuzi kwenye shamba la bibi kila moja ale kwa urefu wa kambaye.
 
Kujenga barabara , kujenga flyover na madaraja sio kabisa kigezo cha kuchaguliwa kuwa rais na wananchi , wakoloni walifanya mambo makubwa zaidi ya hayo...Walichokosea wakoloni walikuwa hawawapi uhuru wananchi ,waliwatesa ,walipewa ajira za kitumwa(kulima plantations) etc

Wananchi wanataka uhuru ,kwasasa uhuru hakuna watu wanaogopa kuandika chochote kwenye mitandao ya kijamii maana kuna sheria kibao za kumziba mwananchi mdomo waliojaribu kusema waziwazi tumeona kina lissu walivyopigwa risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini ,tumeona wapinzani walivyofungwa etc

Kutawala bila kufuata katiba/sheria:- Tumeshuhudia mtu firani akitoa maneno ambayo yanaenda kinyume na katiba kuzuia mikutano ya kisiasa kwa wapinzani huku chama chake kikifanya siasa saa 24 huku kikilindwa na dola ,tumeshuhudia vyama vya upinzani vikinyanyaswa na mamlaka ya usajiri na hatujwahi kusikia hata siku moja SISIEMU kikiandikiwa barua na msajili kitoe maelezo.

Tumeona kwa miaka mi5 hakuna nyongeza yeyote ya mishahara kwa watumishi wa umma kinyume na sheria za kazi/utumishi wa umma unavyotaka kwamba mfanyakazi anakuwa entitled na nyongeza ya mishahara kila mwaka,tumeshuhudia watu wanapandishwa vyeo lakini hakuna nyongeza ya mshahara.

Uchumi kupiga mweleka,katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia uchumi wetu umeipga mweleka kwa kiwango cha SGR ,haihitaji rocket sayansi katika hili,maduka mengi yamefungwa ,biashara nyingi zimefungwa ,masoko ya bidhaa nje zimeshuka, uwekezaji umeshuka.

Kunayanyasa wafanyabiashara wakubwa:-Katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia wafanyabiashara wakubwa wakipitia kwenye mkono wa chuma ,Mo kutekwa na genge la Bashite na kisa kuchotwa mabilioni kama ransom ,tumeshuhudia manji kufungwa na figisu za hapa na pale mpaka kupelekea Qaulity Group kuwa magofu ya kale na soko la mbaazi kushuka kutoka elfu 3 kwa kilo mpaka Tsh 100 , Lema Northern engineering alifungwa tu baada ya mtu kurani kuingia madarakani na kuchotwa mipesa.

Mambo ni mengi sana tunayaacha kwenye kampeni kupiga pini pesa za nssf/ppf ,kuweka kikotoo kipya etc ukifanya mambo ya hovyo yanayoguza/athiri maisha ya wananchi hakika hakuna atakayekupenda hata ujenge lami hadi milangoni na flyover hadi chumbani.
Leta vigezo vinavyo takiwa
 
Kama Rais Mstaaf anakufa kwa malaria vipi ndugu zangu kule Kishapu??
Unazani kama siku zimefika utakwepa. Acheni kukufuru bwana wewe unajua umeandikiwa kifo gani. Urais na ugonjwa ni vitu viwili tofauti sana.
Unafikiri nini kwa Waziri Mkuu wa Israel aliyekaa kwenye Life supporting Machine zaidi ya miaka 2 lakini alienda. Tena acheni kabisa siasa kwenye Msiba.
 
Back
Top Bottom