Kuala Lumpur
Member
- Jul 28, 2017
- 20
- 19
Me si mkereketwa wa siasa, lakin kidogo huwa nafuatilia mambo ya siasa. Hizi purukushani za watu kuhamia ccm ninaziona ona tu kama hivi...Nina maswali mawili wanaoweza kunijibu mtanijibu
1. Je , hivi haiwezekan kuunga mkono jitihada za mh rais ukiwa katka chama chako!? Ni mpaka uingie ccm ndo utaonekana unaunga mkono!?
2. Tanzania yetu rais huongoza kwa awamu, Je awamu ijayo/zijazo akitokea rais mwngine na akafanya tofauti na mnavyoona magufuli anafanya Je,mtarudia Tena upinzani Ama mtaendelea kubaki huko!?
1. Je , hivi haiwezekan kuunga mkono jitihada za mh rais ukiwa katka chama chako!? Ni mpaka uingie ccm ndo utaonekana unaunga mkono!?
2. Tanzania yetu rais huongoza kwa awamu, Je awamu ijayo/zijazo akitokea rais mwngine na akafanya tofauti na mnavyoona magufuli anafanya Je,mtarudia Tena upinzani Ama mtaendelea kubaki huko!?