Ukwasi wa mishahara kwa baadhi ya Watumishi.

nadhan h mada ya leo n murua sana,nashangaa mzee magu anavyowafanyia wafanyakaz wanaolipwa kahela mbuzi,alisema atarekebisha mishahara ya watumish kwanza ndo kaamua kuwa minya kwa kuongeza asilimia kubwa kwa makato ya boda na kutowapandisha na kuwapa nyongeza ya mshahara ambapo ipo kihalali! m2 analipwa laki 5 anakatwa kod,boda lkn m2 analipwa m 10 na zaid lakn hakatwi bod wala kod lkn hawa watu kawaweka ktk kund moja la kuish kama mashetan amesahau kama watu wanaokula lak 3 tofaut na anayelipwa m15 na ushee! magu aliwapaka mafuta walimu kwa mgongo wa chupa kuwa ye2 katoka huko atawakumbuka sana la hasha hapo alisha jua kuwa walimu wanaugongwa wa kusahau mapema na wepes kudanganyika kama chama chao cha cwt kinavyowatenda,kaamua kutowaongezea nyongeza ya mshahara,kutowapandisha madaraja il waish kama mashetan! hongera maguu.
 
Wakuu salaam,

Naomba kwa pamoja tujadili hili swala.

Tanzania hii kuna watumishi wanalipwa mpaka 20ml, upande wa pili kuna wanaolipwa laki 3. Hii inatia uchungu sana. Najiuliza tofauti kubwa namna hii tunaenda wapi?? Majuzi nilisoma thread moja humu kuwa wabunge wamefika 10ml(sina uhakika). Hawa wanaolipwa huu mishahara ya ukwasi namna hii wanafanya kazi gani kubwa kiasi hicho ili hali uchumi wetu graph ipo zero. Mathalan wabunge kama kweli watalipwa hicho kiasi, najiuliza wanafanya kazi gani wakati wengine hakuna uwakilishi wowote wanaofanya??

Mfano hawa wabunge wa viti maalam, kazi yao nini?. Ukifika wakati kuchangia mjadala, utasikia wanavyozungumza upuuzi na kuunga mkono hoja za kipuuzi. Kuna haja ya kutazama upya hili swala la wabunge wa viti maalum. Mbaya zaidi hata hawalipi kodi wakati huyu wa laki 3 anakamuliwa haswa!
Miaka ya 1980s SOKOINE Waziri Mkuu wa zamani nasiki alikwenda Tazara kulikuwa na kama mgomo flani...kufika akaanza kuwasikiliza:
wanadai kwanini viongozi wao wanakula canteen safi,nzuri tofauti na wao?wanataka na wao viongozi wao waje kula canteen yao.
Jamaa kwa hasira akaita askari FFU Akawaambia piga wote atakae goma weka ndani...eti badala ya kudai wapewe mazingira mazuri na kuwa na canteeni nzuri eti wao wanataka wale walio juu,waje kula nao chini baasi,badala ya kuomba na wao wapewe nafasi juu...
HIZI Ndo akili za kiafrika za ubinafsi,kuchongeana kazini,utafikiri mwenzako akikosa mshahara wake utapata wewe kumbe hupati
Roho za kimaskini hizi...eti kwanini anakuzidi mshahara....pigania wako kwanza...hizi roho hizi ni shida....yaani Mtu yuko radhi kusema washushe wale mishahara walingane na sisi,na sio kusema na sisi tupandishe tufanane na wale kam tuna sifa lakini.
Weee jamaaaa hutaendelea hata maisha yako binafsi kabisa....
 
Hii Thread inaweza kuwatoa watu machozi, hakuna usawa kabisa ktk mgawanyo wa keki ya Taifa@
 
Miaka ya 1980s SOKOINE Waziri Mkuu wa zamani nasiki alikwenda Tazara kulikuwa na kama mgomo flani...kufika akaanza kuwasikiliza:
wanadai kwanini viongozi wao wanakula canteen safi,nzuri tofauti na wao?wanataka na wao viongozi wao waje kula canteen yao.
Jamaa kwa hasira akaita askari FFU Akawaambia piga wote atakae goma weka ndani...eti badala ya kudai wapewe mazingira mazuri na kuwa na canteeni nzuri eti wao wanataka wale walio juu,waje kula nao chini baasi,badala ya kuomba na wao wapewe nafasi juu...
HIZI Ndo akili za kiafrika za ubinafsi,kuchongeana kazini,utafikiri mwenzako akikosa mshahara wake utapata wewe kumbe hupati
Roho za kimaskini hizi...eti kwanini anakuzidi mshahara....pigania wako kwanza...hizi roho hizi ni shida....yaani Mtu yuko radhi kusema washushe wale mishahara walingane na sisi,na sio kusema na sisi tupandishe tufanane na wale kam tuna sifa lakini.
Weee jamaaaa hutaendelea hata maisha yako binafsi kabisa....


Punguza mihemko mkuu! Hakuna mahali popote niliposema kwamba mshahara wako ushushwe. Soma uelewe kilichoandikwa, na kama huelewei rudia tena ndo uje na mtazamo wako.
 
Back
Top Bottom