kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,297
- 12,597
Ukwaju umeajili watu wengi Sana Tanzania na hasa dar salaam ambako kuna tani nyingi za juice na icream za ukwaju unaopatikana kila kona ya jiji zikiwa zimeandikwa Ukwaju.
Huwa ninajiuliza ni wapi matunda ya ukwaju yanatoka Kwa wingi maana Tanzania hakuna kilimo cha ukwaju, mikwaju iliyoko ni miti ya asili iliyojiotea yenyewe porini, tena wananchi huwa wanaikata na kutengeneza mkaa, inazidi kupungua kwakuwa hakuna wakulima wanaoipanda miti ya mikwaju. Hivyo huwa ninajiuliza ni nchi gani duniani inalima na kuexport ukwaju Kwa wingi kiasi hiki?
Au hizi ice creams sio za ukwaju halisi?
Huwa ninajiuliza ni wapi matunda ya ukwaju yanatoka Kwa wingi maana Tanzania hakuna kilimo cha ukwaju, mikwaju iliyoko ni miti ya asili iliyojiotea yenyewe porini, tena wananchi huwa wanaikata na kutengeneza mkaa, inazidi kupungua kwakuwa hakuna wakulima wanaoipanda miti ya mikwaju. Hivyo huwa ninajiuliza ni nchi gani duniani inalima na kuexport ukwaju Kwa wingi kiasi hiki?
Au hizi ice creams sio za ukwaju halisi?