Ukuu wa Mikoa: Rais Magufuli alishauriwa vibaya juu ya Elaston Mbwilo

ibesa mau

JF-Expert Member
Sep 17, 2015
2,109
1,692
Kila mtu aliyewahi kufanya kazi na huyu mzee atakubaliana nami kwamba Elaston Mbwilo hakuwa mtu wa kuachwa katika uteuzi wa Ma_RC alio ufanya boss. Rekodi za mbwilo kila sehemu aliyofanya kazi inajulikana kwamba ni mtu anayependa kuwa karibu sana na wananchi,magufuli washauri wake kuna wakati wanafanya makosa .
 
Msifikiri hao anaowateua anakuwa anawafahamu kiundani wengine hata CV zao hana Bali uambiwa hivi tafadhali Fulani na Fulani usimwache kwenye ngazi Fulani ya uteuzi ukikosa hapa MPE pale ana hali mbaya Mpaka sasa hana kazi yoyote, tafadhari usimwache.
 
Kila mtu aliyewahi kufanya kazi na huyu mzee atakubaliana nami kwamba Elaston Mbwilo hakuwa mtu wa kuachwa katika uteuzi wa Ma_RC alio ufanya boss. Rekodi za mbwilo kila sehemu aliyofanya kazi inajulikana kwamba ni mtu anayependa kuwa karibu sana na wananchi,magufuli washauri wake kuna wakati wanafanya makosa .
Ulitaka yupi aachwe?
 
Kuachia madaraka na kupisha wengine ni jambo la msingi,kuna watanzania wengi wanaoweza kufanya kazi vizuri.

Nyerere aliwahi kumtoa Mzee Kawawa kwenye uwaziri mkuu bila sababu yoyote,Mzee Kawawa alikuwa hajafanya baya lolote,ila mwalimu aliamua kumbadilisha tu.
 
Kila mtu aliyewahi kufanya kazi na huyu mzee atakubaliana nami kwamba Elaston Mbwilo hakuwa mtu wa kuachwa katika uteuzi wa Ma_RC alio ufanya boss. Rekodi za mbwilo kila sehemu aliyofanya kazi inajulikana kwamba ni mtu anayependa kuwa karibu sana na wananchi,magufuli washauri wake kuna wakati wanafanya makosa .
Moja ya haki za msingi za raisi ni kufanya maamuzi hata kama anakosea. "Chaguo" lako si lazima liwe lake. Usijali, siku utakapopata fursa aliyo nayo JPJM na wewe utakuwa na haki aliyo nayo na utateua watu huku ukiwaacha nje "wapendwa" wa watu!
 
Msifikiri hao anaowateua anakuwa anawafahamu kiundani wengine hata CV zao hana Bali uambiwa hivi tafadhali Fulani na Fulani usimwache kwenye ngazi Fulani ya uteuzi ukikosa hapa MPE pale ana hali mbaya Mpaka sasa hana kazi yoyote, tafadhari usimwache.
Anawafahamu mkuu, mfano Makala, Zambi, Mwanri, Kilango, Makonda n.k anawafahamu vizuri sana.
 
Kila mtu aliyewahi kufanya kazi na huyu mzee atakubaliana nami kwamba Elaston Mbwilo hakuwa mtu wa kuachwa katika uteuzi wa Ma_RC alio ufanya boss. Rekodi za mbwilo kila sehemu aliyofanya kazi inajulikana kwamba ni mtu anayependa kuwa karibu sana na wananchi,magufuli washauri wake kuna wakati wanafanya makosa .
JE? KWENYE UCHAGUZI MKUU ALIISAIDIA CCM KUSINDA??? KAWAKAMATA UKAWA MARA NGAPI??? KAMA SIVYO HAFAI KUWA MKUU WA MKOA
 
Msifikiri hao anaowateua anakuwa anawafahamu kiundani wengine hata CV zao hana Bali uambiwa hivi tafadhali Fulani na Fulani usimwache kwenye ngazi Fulani ya uteuzi ukikosa hapa MPE pale ana hali mbaya Mpaka sasa hana kazi yoyote, tafadhari usimwache.
ahahaha,eti ana hali mbaya sana!kiuchumi au kihali?
 
Kila mtu aliyewahi kufanya kazi na huyu mzee atakubaliana nami kwamba Elaston Mbwilo hakuwa mtu wa kuachwa katika uteuzi wa Ma_RC alio ufanya boss. Rekodi za mbwilo kila sehemu aliyofanya kazi inajulikana kwamba ni mtu anayependa kuwa karibu sana na wananchi,magufuli washauri wake kuna wakati wanafanya makosa .

Ni wakati wa mabadiliko, mabadiliko hayaji kwa kuzungusha mikono yanataka maamuzi yasiyo ya kawaida pole lakini kubali changamoto za mabadiliko. anaweza pangiwa kazi nyingine pia.
 
Kila mtu aliyewahi kufanya kazi na huyu mzee atakubaliana nami kwamba Elaston Mbwilo hakuwa mtu wa kuachwa katika uteuzi wa Ma_RC alio ufanya boss. Rekodi za mbwilo kila sehemu aliyofanya kazi inajulikana kwamba ni mtu anayependa kuwa karibu sana na wananchi,magufuli washauri wake kuna wakati wanafanya makosa .
Acha kulia lia! Wakati yeye alipoteuliwa kuna watu wengi tu sahihi walioachwa! Sasa ni zamu yake kuachwa! Watu sahihi ni wengi! Hata hivyo, ameshazeeka Huyo! Unataka afie ofisini?
 
Who is perfect 100%?
Acha wengine wafanyike Kwa kazi. Akapumzike salama....
 
Kila mtu aliyewahi kufanya kazi na huyu mzee atakubaliana nami kwamba Elaston Mbwilo hakuwa mtu wa kuachwa katika uteuzi wa Ma_RC alio ufanya boss. Rekodi za mbwilo kila sehemu aliyofanya kazi inajulikana kwamba ni mtu anayependa kuwa karibu sana na wananchi,magufuli washauri wake kuna wakati wanafanya makosa .
Kama alisahau kucheza na media kama kina Mulongo asahau....

Then anatokea wapi huyo?
 
Msifikiri hao anaowateua anakuwa anawafahamu kiundani wengine hata CV zao hana Bali uambiwa hivi tafadhali Fulani na Fulani usimwache kwenye ngazi Fulani ya uteuzi ukikosa hapa MPE pale ana hali mbaya Mpaka sasa hana kazi yoyote, tafadhari usimwache.



Hahaha
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom