Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Waziri awaagiza TAKUKURU kutinga Mererani kuchunguza wizi unaofanyika.
Tuliambiwa kuwa kujenga ukuta ndiyo ingekuwa ni muaraobaini wa kuibiwa kwa madini hasa Tanzanite.
=====
Kachunguzeni wizi wa Tanzanite"-Mchengerwa
-
"Niliwaombe ndugu zangu wa TAKUKURU kumekuwepo na wizi mkubwa sana kwenye eneo letu la Madini Manyara na taarifa hizi sio siri tena ukifika Arusha unapata taarifa ni namna gani wizi unaendelea na rushwa imekuwa ikitamaraki katika eneo hili.
"Sasa niwaagize TAKUKURU nawapa wiki mbili ili muende mkafanye uchunguzi kile kinachoendelea kule Mererani katika mgodi ambao unamilikiwa na serikali na wizi mkubwa unaoendelea kutokana na taarifa ambazo zimeenea katika Mikoa ya Arusha na Manyara ili tuweze kubaini ni kitu gani kinaendelea katika mgodi wetu," amesema Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohammed Mchengerwa, wakati akizindua program tumishi ya Ajira App uliofanyika leo Novemba 19, 2021 jijini Dodoma.
#MtanzaniaDigital
Tuliambiwa kuwa kujenga ukuta ndiyo ingekuwa ni muaraobaini wa kuibiwa kwa madini hasa Tanzanite.
=====
Kachunguzeni wizi wa Tanzanite"-Mchengerwa
-
"Niliwaombe ndugu zangu wa TAKUKURU kumekuwepo na wizi mkubwa sana kwenye eneo letu la Madini Manyara na taarifa hizi sio siri tena ukifika Arusha unapata taarifa ni namna gani wizi unaendelea na rushwa imekuwa ikitamaraki katika eneo hili.
"Sasa niwaagize TAKUKURU nawapa wiki mbili ili muende mkafanye uchunguzi kile kinachoendelea kule Mererani katika mgodi ambao unamilikiwa na serikali na wizi mkubwa unaoendelea kutokana na taarifa ambazo zimeenea katika Mikoa ya Arusha na Manyara ili tuweze kubaini ni kitu gani kinaendelea katika mgodi wetu," amesema Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohammed Mchengerwa, wakati akizindua program tumishi ya Ajira App uliofanyika leo Novemba 19, 2021 jijini Dodoma.
#MtanzaniaDigital