Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Naomba niwatahadhalishe kuwa ushabiki huu hauna mantiki ni kwamba Mama Tibaijuka anacheza ngoma asoijua.Hawa wa pwani kina JK usanii walishazoea sana.Mtegemee siku moja huyu mama atapokea maelekezo ya JK kuwa waache tu hawa ndiyo walezi wa chama.
Wana JF mnakumbuka JEETU PATEL alipokamatwa na kunyimwa mdhamana hata kuruhusiwa kwenda kutibiwa ilikuwa ngoma, lakini wote mnakumbuka alivyoshinda tenda ya kuingiza matrekta mradi wa mabillioni na leo Jeetu ndiyo huyo anamkataba mnono wa kuingiza matrekta tena kwa kushirikiana na mnadhimu wa JWTZ.
nAWAONYA MUACHE USHABIKI KAZI NI MOJA TU ILIYO MBELE YETU.TUDAI KATIBA KWANZA HAYA MAENEO YATARUDI KUPITIA KATIBA INAYOWAJALI WATANZANIA vinginevyo mkubali kuwa mnaanza kutolewa taratibu kwenye mada ya KATIBA NA KULETEWA MADA HOVYOOO HOVYOOO.
Nawahakikishia wale wahindi wanajua kinachoendelea na wanwasiliana na JK kila kukicha.
Wandugu tuamke wala tusipoteze kumsifu mama Tiba kwa kitu kisichotekelezeka ni USANIII WA MCHANA.
mimi nakataa bado namwamini DR.SLAAAA RAIS WANGU
Wana JF mnakumbuka JEETU PATEL alipokamatwa na kunyimwa mdhamana hata kuruhusiwa kwenda kutibiwa ilikuwa ngoma, lakini wote mnakumbuka alivyoshinda tenda ya kuingiza matrekta mradi wa mabillioni na leo Jeetu ndiyo huyo anamkataba mnono wa kuingiza matrekta tena kwa kushirikiana na mnadhimu wa JWTZ.
nAWAONYA MUACHE USHABIKI KAZI NI MOJA TU ILIYO MBELE YETU.TUDAI KATIBA KWANZA HAYA MAENEO YATARUDI KUPITIA KATIBA INAYOWAJALI WATANZANIA vinginevyo mkubali kuwa mnaanza kutolewa taratibu kwenye mada ya KATIBA NA KULETEWA MADA HOVYOOO HOVYOOO.
Nawahakikishia wale wahindi wanajua kinachoendelea na wanwasiliana na JK kila kukicha.
Wandugu tuamke wala tusipoteze kumsifu mama Tiba kwa kitu kisichotekelezeka ni USANIII WA MCHANA.
mimi nakataa bado namwamini DR.SLAAAA RAIS WANGU