kagumyamuheto
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 286
- 2
mama nangae nabelimotooo!!!!!!!!!!!!!!
Nimepita hapo saa moja na nusu usiku, yaani dakika chache zilizopita. Askari wa Jiji na polisi jumla hawapungui 100. Magari matano yamepark upande wa baharini yameeasha taa kumulika upande wa pili wa barabara kuliko na ukuta ambao unavunjwa na tingatinga.
Eneo hili liko baada ya hospitali ya agha khan karibu na uwanja wa golf. Kulikuwepo amani na utulivu, askari wamejipanga imara na tingatinga likiendelea kubomoa huo ukuta tartiiibu, kwa uhakika. Askari wawili walikuwa bize wakiharakisha magari kupita kasi, hivyo sikuweza kupiga picha
Naona watu washaanza kushabikia haya mambo ya rule of the junglelakini pamoja na jazba na ushabiki uliopo hebu turudi nyuma na kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Why huo ubomoaji ufanyike usiku wa manane? Wanaogopa nini mchana? Unataka tingatinga litimbe town mchana? Foleni lake utaliweza achilia mbali foleni ya kila siku ya kawaida hapa tingatinga tano na magari ya polisi na mgambo wa jiji, kilichofanyika ni busara kuepusha usumbufu kwani wangebomoa mchana kungetokea nini, matokeo yangekua the same
2. Why tibaijuka au ofisi yake haikutoa clarification yoyote on allegations alizozitoa taher? Hivi unataka kuongea na fisadi wakati amri ilikwishatolewa kitambo na Mkapa kufuta uuzwaji wa kiwanja hicho, Wajua ardhi ni mali ya serikali na ina haki ya kuamua kubadilisha matumizi anytime if necessary?
3. What if taher was right na tibaijuka was wrong, je ni pesa za nani zitalipa hiyo fidia? Kama kutakuwa na issue ya fidia basi na Tibaijuka anahusika sidhani kama anafanya asilolijua na nina amini wizara yake ina wanasheria wanao mshauri, najua wasiwasi wako ni mambo ya Dowans do you know Tanesco ili hire lawyers so that kind of ruling will be offered in order to benefit the so called mafisadi this is why will not pay it
Just curious
Nimepita hapo saa moja na nusu usiku, yaani dakika chache zilizopita. Askari wa Jiji na polisi jumla hawapungui 100. Magari matano yamepark upande wa baharini yameeasha taa kumulika upande wa pili wa barabara kuliko na ukuta ambao unavunjwa na tingatinga.
Eneo hili liko baada ya hospitali ya agha khan karibu na uwanja wa golf. Kulikuwepo amani na utulivu, askari wamejipanga imara na tingatinga likiendelea kubomoa huo ukuta tartiiibu, kwa uhakika. Askari wawili walikuwa bize wakiharakisha magari kupita kasi, hivyo sikuweza kupiga picha
Naona tukiendelea hivi sasa tutakuwa tunaelekea kwenye sexism....... Hongera Tibaijuka.... (her sex does not matter)... na hii ni evidence tosha kwamba viti maalumu vifutwe....... havina maana.wanawake tunaweza,,,
HONGERA SANA MAMA
TUPO NYUMA YAKO TUNAKUOMBEA
Ukuta kuvunjwa sawa... Lakini kwa nini usiku????...