Unajua hapa nadhani its good kuonyesha mfano to set a precedent among watu ambao wanachukua vitu vya manufaa ya umma for their own private issues...... (kwahiyo nadhani hicho kiwanja kurudi kuwa open space ni kwa manufaa ya umma) Pili nadhani hata kama jamaa aliuziwa hicho kiwanja which was open space in the first place nadhani some illegality ilitake place.
Good point mkuu but inawezekana amendments zilifanyika wizarani au halmashauri kuwa baadhi ya maeneo ya wazi yauzwe kwa watu wayaendeleze maana serikali imeshindwa kuyahudumia inakuwaje hapo mkuu!!!