Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,041
- 1,323
Habari wana jf
Mimi nikiwa kama mtanzania mzalendo ambaye naipenda nchi yangu ndugu zangu wapenda maendeleo tuukemee UKUTA kwa nguvu zetu zote.. Nimetembea sana ndani ya hizi wiki tatu zilizopita mikoa mbali mbali na hata kuna baadhi ya wilaya nimepita ki ukweli jeshi la polisi liko imara UKUTA utabomolewa watu watavunjwa miguu na hata wengine kupoteza maisha yao kwa vitu vya kijinga kabisa eti UKUTA ..UKUTA ndo nini???.
Ifike sasa watanzania tushtuke wewe unaejidai kwenda kuandamana kwa kivuli cha UKUTA eti UKUTA ndugu yangu jihurumie wewe na familia yako "" kinachosikitisha zaidi unakuta MTU kwake hakuna sukari cha ajabu anataka nae aandamane we kwa nini huo muda usiutumie kutafuta pesa kwa ajili ya familia yako ipate sukari.....et Unakimbilia kuandamana wenzako kina Mbowe teyari wana maisha yao Mazuri watoto wao wanasoma shule nzuri, kwake kaacha sukari sasa wewe jidai kuandamana ukivunjwa mguu ndo utakuwa mwisho Wako ..na kupelekea familia yako kupata taabu hao wanaowaambia muandamane mkisha vunjika miguu hao wanaowaambia muandamane nawaambieni wata watupa kama takatataka.....maana teyari watakuwa washawatumienii ....
Tuutokomeze UKUTA kwa nguvu zoteeeeee.........
Natokeaga "Busega"
Mimi nikiwa kama mtanzania mzalendo ambaye naipenda nchi yangu ndugu zangu wapenda maendeleo tuukemee UKUTA kwa nguvu zetu zote.. Nimetembea sana ndani ya hizi wiki tatu zilizopita mikoa mbali mbali na hata kuna baadhi ya wilaya nimepita ki ukweli jeshi la polisi liko imara UKUTA utabomolewa watu watavunjwa miguu na hata wengine kupoteza maisha yao kwa vitu vya kijinga kabisa eti UKUTA ..UKUTA ndo nini???.
Ifike sasa watanzania tushtuke wewe unaejidai kwenda kuandamana kwa kivuli cha UKUTA eti UKUTA ndugu yangu jihurumie wewe na familia yako "" kinachosikitisha zaidi unakuta MTU kwake hakuna sukari cha ajabu anataka nae aandamane we kwa nini huo muda usiutumie kutafuta pesa kwa ajili ya familia yako ipate sukari.....et Unakimbilia kuandamana wenzako kina Mbowe teyari wana maisha yao Mazuri watoto wao wanasoma shule nzuri, kwake kaacha sukari sasa wewe jidai kuandamana ukivunjwa mguu ndo utakuwa mwisho Wako ..na kupelekea familia yako kupata taabu hao wanaowaambia muandamane mkisha vunjika miguu hao wanaowaambia muandamane nawaambieni wata watupa kama takatataka.....maana teyari watakuwa washawatumienii ....
Tuutokomeze UKUTA kwa nguvu zoteeeeee.........
Natokeaga "Busega"