UKUTA ni Mkakati wa CHADEMA kuizuia Serikali isifanye kazi yake

Chabruma

JF-Expert Member
Sep 19, 2013
5,660
1,777
Huu ndio ukweli ambao unapaswa kusemwa wazi wazi. CHADEMA kwa sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamezubaa kutokana na kasi kubwa ya maendeleo anayopiga Rais Magufuli. Kwa sasa wametelekeza hoja yao ya ufisadi na sasa wamegeukia ajenda ambayo hawakuwa nayo wakati wa kampeni.

UKUTA umetangazwa Septemba Mosi, siku ambayo ni ya kazi na hivyo ikiwa maandamano yatafanyika, hakuna kitakachoendelea siku hiyo. Watakuwa wameizuia serikali isifanye kazi yake.

Maandamano ya CHADEMA yatakuwa hayana kikomo. Maana yake ni kwamba serikali itasitisha mambo yote ili ihangaike na UKUTA. Hili halitakubalika.

Niwatahadhalishe ndugu zangu wa CHADEMA kuwa kuongoza nchi si lelemama. Rais Magufuli amepewa mamlaka makubwa kikatiba na ikiwa atatumia mamlaka hayo kudeal na UKUTA hakika kuna watu wataumia sana. Ni tahadhali tu naitoa kwenu wana UKUTA
 
Huu ndio ukweli ambao unapaswa kusemwa wazi wazi. CHADEMA kwa sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamezubaa kutokana na kasi kubwa ya maendeleo anayopiga Rais Magufuli. Kwa sasa wametelekeza hoja yao ya ufisadi na sasa wamegeukia ajenda ambayo hawakuwa nayo wakati wa kampeni.

UKUTA umetangazwa Septemba Mosi, siku ambayo ni ya kazi na hivyo ikiwa maandamano yatafanyika, hakuna kitakachoendelea siku hiyo. Watakuwa wameizuia serikali isifanye kazi yake.

Maandamano ya CHADEMA yatakuwa hayana kikomo. Maana yake ni kwamba serikali itasitisha mambo yote ili ihangaike na UKUTA. Hili halitakubalika.

Niwatahadhalishe ndugu zangu wa CHADEMA kuwa kuongoza nchi si lelemama. Rais Magufuli amepewa mamlaka makubwa kikatiba na ikiwa atatumia mamlaka hayo kudeal na UKUTA hakika kuna watu wataumia sana. Ni tahadhali tu naitoa kwenu wana UKUTA
Kwani ujenzi wa standard gauge ya reli ukianza, maandamano yatauzuiaje? Ndege mbona karibu zinakuja, maandamano yatazuia zisitue?
 
Huu ndio ukweli ambao unapaswa kusemwa wazi wazi. CHADEMA kwa sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamezubaa kutokana na kasi kubwa ya maendeleo anayopiga Rais Magufuli. Kwa sasa wametelekeza hoja yao ya ufisadi na sasa wamegeukia ajenda ambayo hawakuwa nayo wakati wa kampeni.

UKUTA umetangazwa Septemba Mosi, siku ambayo ni ya kazi na hivyo ikiwa maandamano yatafanyika, hakuna kitakachoendelea siku hiyo. Watakuwa wameizuia serikali isifanye kazi yake.

Maandamano ya CHADEMA yatakuwa hayana kikomo. Maana yake ni kwamba serikali itasitisha mambo yote ili ihangaike na UKUTA. Hili halitakubalika.

Niwatahadhalishe ndugu zangu wa CHADEMA kuwa kuongoza nchi si lelemama. Rais Magufuli amepewa mamlaka makubwa kikatiba na ikiwa atatumia mamlaka hayo kudeal na UKUTA hakika kuna watu wataumia sana. Ni tahadhali tu naitoa kwenu wana UKUTA

Propaganda za kizee, kuhamia Dodoma kulikuwa kwenye ajenda ya ccm wakati wa kampeni? Kuzuia mikutano ya kisiasa ilikuwa ni ajenda ya ccm kwenye kampeni? Ajenda ya ccm ilikuwa ni viwanda, je kiko wapi kiwanda kilichojengwa mpaka sasa inaingia mwezi wa 10 toka serekali iwe madarakani? Kipi kilichofanyika kuinua kilimo ambacho ndio kitatoa malighafi ya viwandani mpaka sasa?
 
Kwani ujenzi wa standard gauge ya reli ukianza, maandamano yatauzuiaje? Ndege mbona karibu zinakuja, maandamano yatazuia zisitue?
Kwani kule Libya, Misri na Tunisia hakukuwa na project za maendeleo?
 
Propaganda za kizee, kuhamia Dodoma kulikuwa kwenye ajenda ya ccm wakati wa kampeni? Kuzuia mikutano ya kisiasa ilikuwa ni ajenda ya ccm kwenye kampeni? Ajenda ya ccm ilikuwa ni viwanda, je kiko wapi kiwanda kilichojengwa mpaka sasa inaingia mwezi wa 10 toka serekali iwe madarakani? Kipi kilichofanyika kuinua kilimo ambacho ndio kitatoa malighafi ya viwandani mpaka sasa?
Hatuongelei ajenda za CCM hapa. Soma vizuri uelewe na si kujawa na jazba
 
Huu ndio ukweli ambao unapaswa kusemwa wazi wazi. CHADEMA kwa sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamezubaa kutokana na kasi kubwa ya maendeleo anayopiga Rais Magufuli. Kwa sasa wametelekeza hoja yao ya ufisadi na sasa wamegeukia ajenda ambayo hawakuwa nayo wakati wa kampeni.

UKUTA umetangazwa Septemba Mosi, siku ambayo ni ya kazi na hivyo ikiwa maandamano yatafanyika, hakuna kitakachoendelea siku hiyo. Watakuwa wameizuia serikali isifanye kazi yake.

Maandamano ya CHADEMA yatakuwa hayana kikomo. Maana yake ni kwamba serikali itasitisha mambo yote ili ihangaike na UKUTA. Hili halitakubalika.

Niwatahadhalishe ndugu zangu wa CHADEMA kuwa kuongoza nchi si lelemama. Rais Magufuli amepewa mamlaka makubwa kikatiba na ikiwa atatumia mamlaka hayo kudeal na UKUTA hakika kuna watu wataumia sana. Ni tahadhali tu naitoa kwenu wana UKUTA
Vita ya namna hiyo haina mshindi. Acha ianze huko barabarani kwa polisi kuua raia wanaotembea kwa miguu bila hata toothpick. Shangilieni matarajio hayo kwa kuwa mnaamini ninyi hamtahusika. Ila kumbukeni kuwa watakuwemo rafiki zenu, na ndugu zenu wengine humo humo. Baada ya 'mauaji' hayo ndipo kila mtu aliyekuwa anacheka atakapobaini kuwa haikufanyika DNA testing kabla ya kufyatua risasi. Na baada ya hapo 'vita' hiyo ikihamia mitaani hapo hapatakuwa na mwenye tishirt ya kijani wala nyekundu. Tusishangilie umwagaji damu as if ni sherehe. Biashara hiyo ikianza, haitasimama. Rais na Mawaziri, wakuu wa miko, wilaya na makamanda wa Polisi wanategemea nguvu. Ila ni kama wamesahau kwamba wanataka kuelekeza nguvu kwa raia wale wale...

Tutaona mwisho wake.
 
Huu ndio ukweli ambao unapaswa kusemwa wazi wazi. CHADEMA kwa sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamezubaa kutokana na kasi kubwa ya maendeleo anayopiga Rais Magufuli. Kwa sasa wametelekeza hoja yao ya ufisadi na sasa wamegeukia ajenda ambayo hawakuwa nayo wakati wa kampeni.

UKUTA umetangazwa Septemba Mosi, siku ambayo ni ya kazi na hivyo ikiwa maandamano yatafanyika, hakuna kitakachoendelea siku hiyo. Watakuwa wameizuia serikali isifanye kazi yake.

Maandamano ya CHADEMA yatakuwa hayana kikomo. Maana yake ni kwamba serikali itasitisha mambo yote ili ihangaike na UKUTA. Hili halitakubalika.

Niwatahadhalishe ndugu zangu wa CHADEMA kuwa kuongoza nchi si lelemama. Rais Magufuli amepewa mamlaka makubwa kikatiba na ikiwa atatumia mamlaka hayo kudeal na UKUTA hakika kuna watu wataumia sana. Ni tahadhali tu naitoa kwenu wana UKUTA


Mbona mambo madogo tu, kwani mikutano inamzuia vipi maghu, hivi umeshajiuliza kikinuka utasalimika? Na tulishasema wakina mama mbaki nyumbani kipindi sisi tunadai democracy
 
Ukishikwa panapouma lazima uhangaike..hakika ccm wanakili kuwa wamekutana na vichwa vyenye akili vinavyolipenda taifa hili na havipendi kuona watu wachache wenye mihemuko katika kuongoza nchi hi wakitaka kujimilikisha nchi ilihali hawana hati miliki..."alisema alisema alisema Mwalimu..vijana sharti muanze mchakamchaka kuikomboa nchi hii"(kibwagizo)
 
Huu ndio ukweli ambao unapaswa kusemwa wazi wazi. CHADEMA kwa sasa wamevurugwa. Wamechanganyikiwa na wamezubaa kutokana na kasi kubwa ya maendeleo anayopiga Rais Magufuli. Kwa sasa wametelekeza hoja yao ya ufisadi na sasa wamegeukia ajenda ambayo hawakuwa nayo wakati wa kampeni.

UKUTA umetangazwa Septemba Mosi, siku ambayo ni ya kazi na hivyo ikiwa maandamano yatafanyika, hakuna kitakachoendelea siku hiyo. Watakuwa wameizuia serikali isifanye kazi yake.

Maandamano ya CHADEMA yatakuwa hayana kikomo. Maana yake ni kwamba serikali itasitisha mambo yote ili ihangaike na UKUTA. Hili halitakubalika.

Niwatahadhalishe ndugu zangu wa CHADEMA kuwa kuongoza nchi si lelemama. Rais Magufuli amepewa mamlaka makubwa kikatiba na ikiwa atatumia mamlaka hayo kudeal na UKUTA hakika kuna watu wataumia sana. Ni tahadhali tu naitoa kwenu wana UKUTA
sawa mkuu
 
Back
Top Bottom