Hivi Mkuu unasema kweli?
Ukuta wa km 80?...Ni kweli wanahitaji kujilinda kwa namna hiyo?
Labda utuambie ni wa material gani kwanza kama si wa tofali!
Lakini kwa namna yoyote, hiyo tofauti ya kipato kati ya kaburu na wabongo inasikitisha!
Naamini kauli mbiu ya MayMosi kuwa Watanzania wanaonekana WATUMWA katika nchi yao wenyewe!