Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,524
- 3,422
TRA wanafanya kazi nzuri sana ya kukusanya kodi lakini kwenye suala la kodi za majengo hasa maeneo ya Vijijini ni vizuri zoezi hili likaenda sambamba na utoaji namba za majengo na pia urasmishaji wa maeneo.
Mathalani mtu anadaiwa kodi ya jengo tena yenye riba juu lakini anandikiwa mtaa na Kijiji tu ila ploti na namba ya nyumba inayodaiwa haijulikani jambo hili linaweza likaruhusu mianya ya ubadhirifu kwa pande zote.
Mathalani mtu anadaiwa kodi ya jengo tena yenye riba juu lakini anandikiwa mtaa na Kijiji tu ila ploti na namba ya nyumba inayodaiwa haijulikani jambo hili linaweza likaruhusu mianya ya ubadhirifu kwa pande zote.