sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Natamani niwe naweka kafungu hako kanako zungumzia vichwa vyangu vya habar ila nashindwa kwa sababu siwezi chora kupitia simu please kama kuna mjuzi anaisaidie.
Mzee Mengi anaelezea jinsi mzimu wa ujamaa wa Nyerere ulivyoendelea kumwandama mpaka kupelekea Mwalimu Nyerere kuntaja kwenye vikao vya CCM ambapo alibakia kuwa na nguvu baada ya kupoteza nguvu ya kuwa Rais kwa kustaafu.
Mzee Mengi anasema Nyerere alihofu sana mtu mmoja kuwa tajiri kati ya watu wote kuwa ni hatari kwa Taifa.
Zaidi Mwalimu Nyerere alionesha uwoga sana kwa Mengi kwa kuona kama anaweza kuwa tajiri na nguvu kisiasa kuliko Rais wa nchi.
Mzee Mengi anaelezea jinsi mzimu wa ujamaa wa Nyerere ulivyoendelea kumwandama mpaka kupelekea Mwalimu Nyerere kuntaja kwenye vikao vya CCM ambapo alibakia kuwa na nguvu baada ya kupoteza nguvu ya kuwa Rais kwa kustaafu.
Mzee Mengi anasema Nyerere alihofu sana mtu mmoja kuwa tajiri kati ya watu wote kuwa ni hatari kwa Taifa.
Zaidi Mwalimu Nyerere alionesha uwoga sana kwa Mengi kwa kuona kama anaweza kuwa tajiri na nguvu kisiasa kuliko Rais wa nchi.